Story: Shemeji Monika

Matanga

JF-Expert Member
Nov 13, 2019
2,281
3,973
James alikuwa ndio kwanza amemaliza elimu yake ya kidato cha sita, akiwa anangojea matokeo akaamua kutoka kwao kijijini na kutembelea mjini ili angalau aone dunia invyokwenda, pia aliamini mjini kuna fursa nyingi ambazo hazitamuacha akae bure kama ambavyo amekaa kijijini. Mjini alipokelewa vizuri na kaka yake (mtoto wa baba yake mkubwa), ambaye alikuwa ni mwalimu katika shule moja ya sekondari pale mjini. Kaka yeke huyu likuwa na mke mrembo sana na mtoto mmoja wa takribani miaka 12.

Sasa wacha nielekee kibaruani, nikirudi nitakutembeza uone mji mdogo wangu? Paul, kaka yake James alimuaga mdogo wake akaenda kazini na kumuacha James akibaki na shemeji yake tu maana hata Peter, mtoto wa Paul, alikuwa amekwenda shule tayari. Basi James akarudi chumbani na kuendelea kusoma kitabu chake ?think big? ambacho alikuwa akikirudia mara ya tatu sasa kwani hakikuisha utamu, pia hakuwa na kingine cha kusoma? James, James? ilisikika mlangoni sauti ambayo bila shaka ilikuwa ya Monica, shemeji yake James akiita huku akigonga mlango wa chumba alichokuwemo James? naam?

James akaitika huku akiacha haraka kufanya ambacho alikuwa akikifanya na kutii wito ule. ? Naomba unisaidie kuingiza mkaa ndani? Alielezea shemeji mtu mara baada ya James kufungua mlago, na James hakuwa na kipingamizi, akaelekea nje ambapo kulikuwa na gunia la mkaa ambalo inaonekana ndo lilikuwa limenunuliwa tu. ? Sasa shemeji utaliweza kweli hili? James aliuliza baada ya kuona kuwa gunia lile lilikuwa kubwa sana kwa shemeji yake kuachiwa upande mmoja wa kubeba pekeyake.. ? Nitajitahidi, tutalifikisha tu? Alijibu Monica na kazi ya kubeba ikaanza.

Ilikuwa ni kazi ngumu sana kwa Monica, aliweza kunyanyua kidogo tu na kila baada ya hatua tatu akalitua chini na kupumzika, wakati wakiingia ndani khanga ya Monica idondoka, ndani alikuwa na kagauni cha kulalia ambacho kalikuwa kafupi sana, juu ya magoti, lakini Monica akapuuza kuikota Khanga ile na kuendelea na kazi waliyokuwa wakiifanya, kwa macho ya wizi James alikuwa akiyaangalia maumbile ya Monica ambayo kwakweli yalikuwa na nguvu ya kumtikisa mwanaume yeyote aliye rijali, kagauni kalE kaliweza kuonesha ndani na James aliweza kuiona vizuri chupi nyeupe ambayo Monica aliiva siku hiyo, japo alijifanya kama haangalii.

Wakaufikisha mkaa ule ambapo ulipaswa kuwekwa kisha James akaanza safari ya kurudi chumbani. ?unakaa sana ndani ya wewe mume wangu, mwisho uje ukute mke kaibiwa huku? alitania Monica na James akacheka na kujibu ?sasa kama sina cha kufanya si bora nijifiche ndani ili mke asijue kama mumewe hana kazi!!?, Monica akacheka kisha akamjibu' ?njoo ukae hapa uangalie movie bwana?, akamuwashia TV na kumuacha achague CD ambayo angependa kuiangalia, akamuweke kisha akaendelea na mambo yake mengine. Baada ya kama nusu saa Monica akamuijia James akiwa amependeza sana na kumuaga? sasa shem mimi naenda Salon, kuwa na uhuru hapa ni kwako? alisema Monic? kubadilisha hiyo ikiisha si unajua?? akauliza swali huku akiichukua Remote kutaka kumuonesha James namna ya kubadili CD kwenye deki?

Siwezi kushindwa, uzuri wa vitu vya mzungu vinajieleza vyenyewe? James alijibu huku akipokea ile Remote na Monica akaondoka kimuacha James akitazama kwa uchu maumbile yake huko nyuma ambako kulikuwa na ?chura? ya maana ambayo ilikaa vizuri ndani ya ile suruali ya jeans ya kubana ambayo alikuwa amevaa Monica. James alijikuta kuanza kumtamani Monica ingawa alijitahidi kuzipuuza fikra hizo maana alikuwa akimuheshimu mno Paul ambaye alikuwa na upendo wa dhati kwake ingawa hawakuwa ndugu wa tumbo moja. Baada ya Monica kuondoka, James akaikumbuka CD yake ya ngono ambayo hakuwa hata amewahi kuiangalia toka ainunue akiwa kidato cha tano, maana kwao kijijini hakukuwa hata na umeme, hivyo alipokuja mjini akaibeba akitegemea kuiangalia kama atapata nafasi hiyo, sasa aliona kama ameipata nafasi tayari, hivyo akaenda chumbania na kuichukua ile CD na akafanikiwa kuiingiza ndani ya deki kisha akaanza kuiangalia kwa sauti ya chini sana.

Baada ya dakika kama 10 tu toka aanze kuangalia umeme ukakatika, hapo ndipo James alipopata homa akijaibu kutumia kila njia kutaka kuitoa CD ile kwenye deki lakini jitiha zake ziligonga ukuta, ikambidi akae akisali umeme urudi haraka ili aweze kuitoa CD ile kabla wenyeji wake hawajarudi. Mpaka majira ya saa 8 mchana umeme ulikuwa bado haujarudi ambapo Paul alirudi kutoka kazini na kumtaka James watoke, James hakuwa na namna zaidi ya kutoka na kaka yake huku akiwa hajui nini kitatokea huko nyuma, safari hii dua yake ikabadilika kutoka kuomba umeme urudi na kuwa umeme usirudi.

Safari ya James na Paul ikawachukua mpaka kwenye kituo kimoja ambapo walikuta wanafunzi wengi wakifundishwa masomo mbalimbali. ?hii ni biashara yangu, hapa tunafundisha masomo yote kwa ngazi ya sekondari? alielezea Paul huku James akiitikia tu, akili yake ilikuwa imevurugwa na majanga aliyoyaacha nyumbani? Wewe bwana si umesoma PCM, kuna uhaba wa walimu wa Physics hapa kama unaweza nikupe nafasi uwe unafundisha vijana wa o'level? Paul alishauri na James akakubali haraka maana alikuwa anapenda sana kazi ya ufundishaji na aliamini atafanya vizuri na kujitengenezea kipato. ?sawa, kama uko tayari tumebakiza hatua moja, inakubidi kupewa darasa tuone uwezo wako kabla ya kuamua kukupa kazi? Alielezea Paul na James akakubali, kisha Paul akamchukua James mpaka kwenye ofisi ndogo ambapo walimkuta kijana wa rika moja tu na James,?vipi sir Mdharuba?? alisalimia Paul, ?poa brother, shikamoo? akajibu kijana yule na kisha kupewa maelezo kuhusu James akimtaka kumtafutia muda ambao atapata darasa kwaajili ya majaribio?

Tuna kipindi cha Physics fom 3 leo saa 10 na nusu, nadhani angekitumia hiki? alielezea sir Mdhauba ambaye alikuwa ndio msimamizi wa shughuli za pale na wote wakakubaliana kukitumia kipindi hicho kwaajili ya James kujaribiwa uwezo wake, wakati huu ilikuwa ni kama saa 9 na robo, hivyo James akatka kujua atafundisha nini na akautumia muda huo kujiandaa. Saa 10 na nusu ilipofika James akaingia darasani na ?kupiga pindi? pindi huku Paul na Mdharuba wakimuangalia, baada ya kipindi wote wakaukubali uwezo wake na kumpa kazi ?tunalipa elefu 4 kwa kipindi, kwahiyo itategemea unapta vipindi vingapi kwa siku, sawa?? alielezea Paul na James akakubali bila kipingamizi, kisha wakaondoka. Safari yao ikaenda kukomea tena kwenye bar ambapo Paul aliagiza pombe akimtaka na James kuagiza lakini James alikataa kwani hakuwa mnywaji wa vilevi.

Baada ya Paul kulewa aakaanza kuonesha tabia za ajabu ambazo James hakuwahi kudhani kama kaka yake huyo anazo, akaanza kushika makalio ya wahudumu wa pale bar, na kuanza kupigia simu wanawake wake wa nje ambao alikuwanao,mwisho mmoja wao akaja na akaondokanaye huku akimchukulia James bodaboda na kumtaka atangulie nyumbani, akabaki nikijiuliza Paul anakosa nini kwa Monica mpaka anafanya mambo ya ajabu namna ile, yeye alimuona Monica kama mwanamke ambaye angekuwa wake angetulia mpaka mwisho, kwanini Paul anmafanyia hivi? aliendelea kujiuliza.

Alipofika nyumbani James alikuta taa inawaka na hofu ikanitawala, maana iliashiia umeme kurudi, akaikaingia ndani na kumkuta shemeji yake akiwa amekaa sebuleni akiwasubiri.. ?mwenzio umemuacha wapi?? aliuza Monica, ?ameniambia kuna jambo anafuatilia bado mjini mimi nitangulie? alidanganya James, Monica akaonekana kutoamini maelezo yale ila akapuuza na kumkaibisha shemeji yake chakula huku yeye akirudi kukaa pale sebuleni na kuwasha TV, James akainuka kuelekea kwenye chakula huku akimuona shemeji yake akichukua remote ya deki, hapo akaona nguvu za miguu zikimuisha, ila akajikaza na kuendelea na safari ya kuelekea kula.

Shem hii CD ni yako? swali kutoka kwa Monica likapenya masikioni mwa James wakati akiendelea kula, moyo ukampasuka,kashindwa hata kutoa jibu.

Usikose sehemu ya pili
 
zigo jipya JF kumenoga ni mwendo wa vigongo tu
huku khubu huki shemeji monika wallah weekend angu inaisha pw sanab
 
SHEMEJI MONICA

SEHEMU YA PILI

Halikuwa swali gumu kwa James kwa maana jibu alikuwanalo, ugumu ulikuwa kulitoa hilo jibu, ?CD ipi?? James akajifanya kuuliza swali ambalo Monica alilipuuza, James akaendelea kula chakula ambacho alikuwa anakimeza kama dawa tu, utamu wa chakula uliibwa na mawazo juu ya janga lililokuwepo mbele yake.

Baada ya kumaliza kula James akaamua kuelekea chumbani kwake kuficha uso wake, ila hili nalo lilikuwa na ugumu maana kufika chumbani kwake ilibidi apite pale sebuleni ambapo shemeji yake alikuwepo, mwisho akaamua kupita, liwalo na liwe. Wakati akikatisha pale sebuleni James aligundua kuwa shemeji yake alikuwa akiiangalia CD ile ya ngono, basi yeye akajikausha na kuchapa mwendo kuuelekea mlango wa chumba chake. ?unaenda kulala shem?? swali likamtoka Monica na kumlazimu James kusimama kulijibu japo hakugeuka kumtizama muulizaji,?ndio,wacha nipmzike nimechoka sana leo? alijibu James ingawa hakuwa na uhakika kama kweli nakwenda kulala huko chumbani. ?acha zako bwana,unaniacha na nani sasa usiku wote huu? Hebu njoo ukae hapa? alisema Monica huku akimuelekeza James kwenda kushirikiana na yeye kulikalia kochi alilokuwa amekalia, kochi ambalo lilitengenezwa kwa matumizi ya watu wawili.

Agizo lile lilimshitua sana James,moyoni akawaza kuwa wito ule lazima ulitokana na moja kati ya mambo mawili,labda shemeji yake anamuita kwenda kumsema kwa tabia mbaya ambayo ameionesha au atakuwa amemtamani kimapenzi, sio jambo la kawaida mwanamke kumualika mwanaume washirikiane kuangalia kanda za ngono. Basi james akatii wito, akaenda na kukaa kwenye ile nafasi moja iliyobakia kwenye kochi baada ya nyingine kuwa imekwishatumiwa na shemeji yake, wakaendelea kutazama video ile ingawa James alijifanya kama yeye hakuwa na haja ya kungalia kilichokuwa kinaendelea, muda mwingi alikuwa akiangalia chini kwa aibu. ?napenda sana mwanaume anayefanya mapenzi romantic kama huyu, halafu daah! Mdile wake umeshibaaa, huyo dada anafaidi kweli?

James alishangaa kuona Monica anajaribu kuifanya video ile kama maigizo ya Kanumba, yani anategemea tuanze kuyajadili haya?? alijiuliza James ambaye aliamua kukaa kimya kama ambaye hakusikia maneno ya Monica. Mara Monica. Mara Monica akasimama,kisha akamwambia James ?nakuja sasa hivi, usiondoke? kisha akaelekea chumbani kwake, huku nyuma James alibaki njia panda,akajiuliza atoe ile CD au aiache, mwisho akaamua kuacha kila kitu kama kilivyokua maana hakujua matokeo ya kubadili mazingira aliyoyaacha shemeji yake. Baada ya dakika kama tano Monica akamudia James, lakini muonekano wake ulibadilika sana kutokana na kubadili mavazi, alikuwa amevaa kitop cha rangi ya pink ambacho kiliyaacha mabega yake wazi, ndani ya kitop kile chepesi hakukuwa na sidiria kwani James aliweza kuziona chuchu zikiwa zimesimama dede kama zinataka kukitoboa kitop kile, chini Monica alikuwa amevee khanga nyeupe ambayo ilikuwa na maua ya blue, Monica akamvuka James akielekea kwenye jokofu, huku akimuuliza James utakunywa nini mume??

Wakati huu James alikuwa akimeza mafunda mazito ya mate akiangalia ufundi wa muumbaji,mirindimoiliyokuwa ikionekana nyuma kwa Monica iliashiria kuwa ndani ya khanga ile aliyokuuwa amevaa hakukuwa na vazi lingine lolote, khanga ile haikuwa na uwezo wa kuzuia maumbile ya Monica kuonekana, James alijikuta amepagawa tayari. Basi James akaagiza Juice, na Monica akaonekana akijongea kuelekea alipo James akiwa na glas mbili za juice, wakati akija James alifaidi hips zake ambazo zilikuwa zimeujenga mwili wake kike hasa, huu ulikuwa ugonjwa mkubwa sana kwa James, alipenda sana wanawake wenye hips zenye afya njema. Monica akafika na kuweka Juice mezani kisha akarudi kukaa kwenye kochi, baaada ya sekunde chache kukaa pia akaona hakufai na kuanza kumlalia James mapajani, James akajikuta akiingiwa na ubaridi fulani uliotokana na uoga, kabaki amejikunyata asijue cha kufanya, mkao huu pia ulimchukua Monic dakika moja tu kabla hajaamka tena na kuanza kumkumbatia James, chuchu zake zikipitapita mwilini mwa James na kuzidi kumpagawisha, akajikuta akisimamisha kila kilicho na uwezo wa kusimama mwilini mwake,sasa alikuwa akitaka apewe hicho ambacho anaingishiwa, lakini akili ikamkumbusha kuwa yule alikuwa shemeji yake ?shemeji sio vizuri, mimi namuheshimu sana kama Paul? alisema James huku akijinasua kutoka kwenye kumbato lile la Monica, wakabaki wakitazamana, Monica akatabasamu jambo ambalo liliziongezea nakshi lipsi zake ambazo zilikuwa zinatamanisha kunyonya wakati wote, ?we unadhani kaka akiju...? James akajaribu tena kujilazimisha kuzungumza lakini ulimi wa Monica ukamkata kauli, Monica akaanzisha uchokozi wa ulimi kwa ulimi na James akajikuta hana upinzani tena, akamuachia Monica kuwa dereva wa gari lile na yeye kubaki kuwa abiria ingawa hakujua gari lile lilikuwa linaelekea wapi,wala hakutaka kujua tena.

Wakati zoezi la kunyonyana likiendelea Monica akawa naulalii mwili wa James kwa viganja na vidole vyake, James alikuwa mpole tu akiendelea na kazi yake ya kunyonyana. Monica akafungua suruali ya James na ndani ya sekunde chache akakipata alichokuwa anakitafuta ?mmmh! Yote yako hii?? alitania Monica akiwa ameshika bakora ya James kama ameiteka vile, James alikuwa amebalikwa katika idara ile, kama angekutana na mwanamke asiye mzoefu asingethubutu kukubali kuingia vitani kupambana na silaha nzito namna ile,lakini Monica hakuonekana kuiogopa hata chembe, kwanza alionekana kuipenda kwa dhati.

Monica akafanikiwa kuuchomoa ulimi wake kinywani mwa James akauamishia masikioni na shingoni kwa James,akampagawisha kijana wa watu kwa nncha ya ulimi wake kutalii maeneo hayo huku aki uvutavuta uume wa James kama anakamua maziwa ya ng'ombe. Haikuchukua hata sekunde ishirini Monica akasikia umoto mkononi mwake, James alikuwa amemwaga tayari, na sasa akili zake zikawa zimrudia na kwa mara nyingine akajiona alikuwa akifanya jambo ambalo halikuwa sahihi.

Uume wake ukashuka, na akajikuta nnje ya mchezo, alitamani kumwambia Monica aache anachokifanya ila hakuweza kusema na hakujua ni kwanini, Monica akajaribu kumrudisha mchezoni kwa dakika kadhaa ila haikuonekana kusaidia. Monica akaacha alichokuwa anakifanya na kusimama, moyoni James akashukuru akijua zoezi limeahirishwa lakini akashangaa kuona Monica akijivua ile top aliyokuwa amevee na kisha kuifungua ile khanga akabaki kama alivyozaliwa, halafu akamsaula na yeye akabaki kama alivyozaliwa.

Jicho lilikuwa limemtoka James akiona kila kitu clear kabisa, alijiona kama alikuwa anaota. Monica akamsukumi kwenye kochi akakaa na yeye akakaa juu yake, mnara wa James ukajikuta umesoma network tena. Monica akauchukua na kujizamishia chumvini huku akikaa vizuri mapajani mwa James. James akahisi kautelezo chenye joto fulani zuri kakiukaribisha uume wake ndani ya Monica, hapohapo akajikuta akishusha wazungu kwa mara ya pili.

Monica akamuangalia kwa jicho baya sana,alionekene kukerwa na kitendo kile ila akakipuuza na kundelea kucheza singeli pale mapajani kwa James, lakini ndani ya dakika chache akashindwa kuendelea kwanu mnara wa James haukuwa hata na chembe ya network.

Hii ni mara yako ya kwanza kufanya mapenzi James?? aliuliza Monica akionekana kabisa kuwa alikuwa na uhakika wa kupata jibu la ndio. James akajihisi aibu kidogo kwa swali lile ?umejuaje?'? akajibu kwa swali James ambaye ni kweli hakuwahi kushiriki kitendo cha aina ile kabla,?learner hajifichi,sasa itabidi nikupe darasa, na baada ya hapo utakuwa mwalimu? alisema Monica huku akimpapasa James na mara mlango ukagongwa, sauti ya mgongaji ilikuwa ya Paul, wote wakapagawa kila mmoja akikimbilia nguo zake, James akakimbia na zakwake chumbani kwake akimuachia Monica msala wake.

Akiwa chumbani James alisikia Monica akimkaribisha ndani mumewe vizuri kama hakuna chochote kilichotokea, ?karibu mezani upate chakula mume wangu? James alisikia kwa mbali Monica akimkaribisha mumewe chakula baada ya kumpokea, akaamua kupuuza maongezi yao na kubaki akiwaza yake. Alijiona mkosaji sana kwa kitendo alichokifanya na shemeji yake, aliona hakumtendea haki kaka yake ambae kama sio yeye angekuwa anapambana na maisha ya kijijini.

Akaamua kuwa asingerudia tena kufanya jambo kama lile, nusu saa baadae James akazima taa na kuamua kulala,lakini kabla usingizi haujamchukua akasikia mlango wake unagongwa polepole, mgongaji hakutoa sauti yoyote zaidi ya kugonga mlango, akaamua kuitikia mwito ule mlangoni, akawasha taa na kufungua mlango, macho yakamtoka kukutana na Monica akiwa uchi, kama alivyozaliwa, umbile lake zuri liking'aishwa na weupe wake wa asili ambao ulikuwa ukimtoa roho James ?uko tayari kwa darasa?? aliuliza Monica akirembua macho kimahaba

usikose sehemu ya 3
 
Sikia shem, kilichotokea leo ni makosa mkubwa sana na tunapaswa kuyajutia,sio kuyarudia kwa makusudi? Alisema James kwa msisitizo wa hali ya juu, kichwani alikuwa akijiuliza kaka yake alikuwa wapi wakati shemeji yake huyu anafanya mambo ya hatari namna ile. James akajaibu kufunga mlango lakini Monica akawahi kuuzuia, ?kweli unaniacha nikalale na ukame? Kuwa na huruma bwana? alisema Monica kwa sauti ya kudeka lakini James akajitahidi kuishinda nafsi, maana tayari mnara wake ulishaanza kutoa huduma lakini uoga ulizizidi hisia za matamanio. ?nenda kajipoze kwa mumeo aisee, ondoka usije ukaniletea matatizo? alisema James?

Paul amelala na amelewa, hawezi kuamka sahivi, mbona unanifanyia hivyo lakini? alihoji Monica lakini James akajibu kwa kuufunga mlango kwa kustukiza, akafunga kabisa kwa funguo na kurudi kitandani, Monica akabaki kaduwaa pale mlangoni, hakuamini kama anaweza kukataliwa na mwanaume rijali kwa ujio aliomwendea nao James, akaamua kukubali matokeo na kurudi chumbani kwake ambapo alimkuta mumewe amelala akikoroma vibaya, akamuangalia kwa hasira sana kisha akaelekea bafuni ambapo hakwenda kuoga tu bali pia kutuliza mzuka wake kwa njia za asili ambazo alikuwa akizitumia mara nyingi ashki inapomzidia, kwani mumewe alimpa haki yake siku ambayo yeye alikuwa na uhitaji, na mara zote zoezi liliisha pale ambapo mume anakuwa karidhika, hakuwa akijua kama kitendo kile kina ushiriki wa watu wawili na kila mmoja wao anatakiwa kufurahia kinachofanyika.

Asubuhi James alichelewa sana kuamka, hii ilitokana na kuchelewa kulala ambako kulitokana na mawazo mengi juu ya kitendo ambacho alikifanya na shemeji yake? Sasa nadhani umeshakuwa mwenyeji, leo utaenda pekeyako pale kituoni, mimi nitakupitia jioni? Paul alikuwa akitoa maelezo wakati akimuaga mdogo wake ambaye alionekana bado ana usingizi. Baada ya kuagana na Paul, James akaelekea bafuni ambapo alioga haraka akajiandaa kwa kutoka, ?natoka kidogo shem? aliaga James baada ya kukutana uso kwa uso na shemeji yake ambaye alikuwa ndio sababu ya kuondoka kwake mapema yote ile, alikuwa anakimbia vitimbwi vyake ambavyo alijua fika kama angebaki asingeweza kuviepuka.

Mbona mapema hivyo? Paul si amesema wewe unaenda kzini mchana?? alihoji Monica ambaye macho yake yalionesha kutojutia hata kidogo jambo walilofanya. ?natakiwa kwenda mjini kununua baadhi ya vitendea kazi ambavyo sina, pia natakiwa kupata sehemu tulivu niandae somo la leo? alijribu kujitetea James ambaye alikuwa hata hawezi kumtazama shemeji yake kutokana na aibu aliyokuwanayo juu yake. ?we sema hutaki kukaa na mimi tu, hapo mjini pana umbali gani mpaka upaendee asubuhi yote hii? Ndo kwanza saa tatu, ngojea kweny saa 6 nitakupeleka? alishauri Monica lakini James akashikilia msimamo wake na kuondoka.

Akiwa amekaa kwenye bustani fulani nzuri ndani ya jiji akipunga upepo huku macho yake yakifaidi urembo wa wadada mbalimbali ambao walikuwa wakija na kutoka katiaka bustani zile, James alikuwa akingojea muda usogee aelekee kwenye kibarua chake kile ambacho kilikuwa bado kipya kabisa, nidhamu ya kazi bado ilikuwa ipo kwenye kiwango cha juu kabisa, hakutaka kuchelewa. Mara simu yake ikaita, akaitoa na kuangalia mpigaji, akakuta ni Sir Mdharuba, akaipokea na kuanza kuzungumza naye, Sir Mdharuba akamueleza juu ya mwanamke ambaye alikuwa amekwenda pale kituoni kuona kama anaweza kupata mwalimu ambaye anaweza akawa namfundishia binti yake nyumbani, hivyo Sir Mdharuba alitaka kujua kama James angeweza kuifanya kazi ile ili ajiongezee kipato, James akajibu kuwa angeweza kuifanya ile kazi na Sir Mdharuba akamtaka kuchukua usafiri na kufika kituoni haraka sana ili akapatane na mama wa binti ambaya alipaswa kuwa mwanafunzi wake.

James akafika ofisini na kukutana na mama akiwa na binti yake, binti huyo alikuwa na mrembo sana, James hakutamani kuyaweka macho yake mbali na binti yule baada ya kumuangalia. ?huyu ni mwanangu, anaitwa Julieth, anasoma St. Chritine girls form 5, so tuliuwa tunatafuta mwalimu awe anakuja kumfundishia nyumbani? alielezea mama yake binti yule mrembo. ?unasoma Kombi gani dada?? James akauliza kwa sauti ya upole ambayo ilikuwa na nia ya kumshawishi mama yule kuwa yeye ni kijana mstaarabu. ?PCM? alijibu Julieth ambaye sauti yake ilifanana sana na muonekano wake, sauti kama hizi huwa zinatosha kumfanya msichana kuwa mrembo, sasa Julieth kwake ilikuwa ziada tu, alikuwa ameumbika hasa?

Okay so ulikuwa unataka kusoma masomo yote matatu au?? aliuliza James. ?hapana, nataka kusoma PURE tu, am not good in it at all? alisema Julieth akimaanisha anataka kusoma somo la hesabu,somo ambalo mara nyingi huwa ugonjwa kwa wadada hasa wadada warembo? Okay, tutasoma ila nataka ufute kwanza wazo la kwamba Maths ni ngumu, hukupata tu waalimu wazuri, sasa umepata mwalimu na tatizo limeisha? alisema James kwa utani na wote wakacheka. Baada ya kubadilishana namba za simu James akawatoa wageni wake mpaka ambapo ilikuwa imepaki gari yao. ?unaweza kuondoka tu na gari, mimi dereva wa ofisini atanichukua pale kwenye mgahawa? alisema mama Julieth kumwambia mwanae, ?lakini please go home, usipitie pengine popote? aliongezea akimkabidhi mwanae funguo, akaondoa gari ile huku akiwaacha James na mama yake kila mtu akichukua njia yake.

James alijikuta amempenda sana binti yule lakini alijiona kama hakuwa na nafasi mbele yake maana alionekana waziwazi kuwa mtoto wa ushuani, hawa huwa wanaenda na waishua wenzao, sio mtoka kijijini kama mimi, aliwaza James ambaye alikwenda ofisini kupiga story na Sir Mdharuba akingojea muda wa kipindi chake ufike? Haya sasa nimekupa pasi safi kabisa, akushinde mwenyewe mtoto mzuri yule? alitania Sir Mdharuba ambaye alionekana kuwa mtu wa totoz sana, James akacheka tu na kubadili mada.

Baada ya kumaliza kipindi James akatoka na kumpigia Julieth kutaka maelekezo zaidi ya kufika kwao, kama ambavyo walikuwa wamekubaliana. ?kwani wewe uko wapi?? aliuliza Julieth baada ya James kumwelezea lengo la kumpigia. ?mimi ndo natoka ofisini? alijibu kwa kifupi James, basi Julieth akamuelekeza kwenye mgahawa ambao ulikuwa karibu akimtaka amsubiri hapo akamchukue. Baada ya dakika kama kumi Julieth akawa amefika, na akashangaa kumuona James akiwa amesimama nje ya Mgahawa ule, akshusha kioocha gari na kumuita, safari hii alikuwa amekuja na gari tofauti na ile ya mwanzo. ?mbona umesimama nje sasa? si ungeingia ukapumzika?? alihoji Julieth akiondoa gari baada ya James kuingia?aah! Hii migahawa yenu haiaminiki, unaweza ukanywa juice tu wakakudai elfu 20, nikaona nikungoje nje nisije nikavuliwa shati bure? alisema James na Julieth akacheka sana? jamani, nilikuwa nakuja kulipia chochote ambacho ungetumia? alisema Julieth ndani ya kicheko. ?ndo ungejieleza vizuri sasa, mi nimeogopa bwana?.

Safari yao ikkomea kwenye jumba moja la kifahari maeneo ya ushuani, Julieth akapiga honi, geti likafunguiwa na mtu ambaye bila shaka alikuwa na mlinzi kutokana na sare alizokuwa amevaa. James akaongozana na Julieth kuelekea ndani ya jumba lile ambalo James huonaga kwenye TV tu majumba ya aina ile. James akakaibishwa vizuri, akapewa na Juice kisha wakapumzika kwa kama dakika 20 kabla ya kazi ya kufundishana kuanza. Julieth hakuwa kilaza kama ambavyo James alimdhania mwanzo, alionekana kuwa na kichwa kizuri sana ila hakuwa na mapenzi na somo lenyewe, James aliligundua hilo mara moja na kuamua kufundisha katika hali ya kutaniana sana na kuuhusu Julieth amzoee ila baadae ampende, maana aliamini kuwa ukimpenda mwalimu lazima ulipende somo lake na hiyo ingekuwa dawa tosha kwa Julith.

?kwakweli siamini, logic imenitesa sana hii huko shule, kumbe ni rahisi hivi?? alisema Julieth wakati akimtoa James baada ya kumaliza kipindi. ?mwalimu wako hakujua namna ya kukufundisha, nakuhkikishia hakuna hesabu ngumu, ukiniamini katika hilo basi umepona? alisema James kisha wakaagana, Julieth alionekana mwenye furaha sana, tabasamu halikuisha usoni kwake, James alitamani kuendelea kumuangalia tu lakini ndo hakukuwa na sababu ya kubaki pale ili aendelee kumuangalia kwani kipindi kilikuwa kimeisha kwa siku hiyo.

James alifika nyumbani majira ya saa 2 usiku, akamkuta Monica nyumbani akiwa pekeyake, cha ahabu siku hiyo Monica aionekana kumnunia, alikuwa tofauti sana na jinsi alivyomuacha asubuhi. James akampa salam ambayo aliijibu kama hataki, James akaamua kumpuuza na kuingia chumbani kwani hakuona kama alifanya kosa kukataa ujinga wake.

Alipofika chumbani katoa simu yake ambayo hakuwa amejishughulisha anyo kwa muda mrefu sana, alipoingalia akagundua kulikuwa na sms 4, akazifungua na kugundua 3 zilikuwa za Monica na moja ilikuwa ya Julieth, akaanza na ile ya Julieth ambayo ilikuwa imeandikwa ?nimekupenda sana Teache James, wewe unajua namna ya kunifundisha, natamani ungenifundisha na vitu vingine?, James akashangazwa sana na ujumbe ule, akajiuliza kama kweli ulikuwa ukimanisha ambacho alikuwa anakifikiria au ulikuwa na maana nyingine ?atakuwa anataka kuongeza somo huyu, labda anataka nimfundishe na Physics au Chemistry? aliwaza James huku akiijibu sms ile ?usiwe na shaka, ni wewe tu niko vizuri pia kwenye Physics na Chemistry?

Kisha akafungua sms za Monica, moja iliandikwa ?mambo? Uko wapi?' nyingine ilisomeka ?uwahi kurudi tuje kuendelea na darasa letu, unajua hujakamilika kama mwanaume kama hujui mabo yetu yale? nyingine ilisomeka ?mbona hujibu sms zangu? hapa ndipo akagundua kwanini Monica amenuna, alifikiri kuwa sms zake hazikujibiwa makusudi. Wakati akiendelea kulitafakari hili mara sms ikaingia, ilikuwa inatoka kwa Julieth ?mimi sina tatizo lolote kwenye Physics wala Chemistry, wala sihitaji msaada wako upande huo?, sms ile ikamuacha James njia panda, akabaki akijiuliza kitu gani anataka mtoto huyu? Au fikra zangu za awali zilikuwa sahihi? ?sasa unataka nikufundishe nini kingine?'? akauliza kwa sms James baada ya yeye kutokuwa na majibu ya uhakika, akabaki kaikodolea macho simu yake akingojea kwa hamu jibu la Julieth, ?mapenzi?

Julieth akajibu kaujumbe kafupi tu, lakini kalitosha kuikologa akili ya James, akabaki akijiuliza anachokiona kweli au ndoto, akiwa kaikati ya mawazo ujumbe mwingine ukaingia ?sio siri nimekupenda na nataka uwe wangu ila sijui chochote kwenye mapnzi, nategemea uwe mwalimu wangu?, James hakuamini anachokiona, ni kweli alimpenda sana Julieth ila hakudhani anaweza naye anaweza kumtaka mtu kama yeye,sasa nitamfundisha nini ikiwa mimi mwenyewe sina nijualo?

Alijiuliza James, mwisho akachukua simu yake na kutuma ujumbe? Samahani, nikiwa kazini sishiki simu, ila niko tayari kwa darasa? kabla hajaituma akajiuliza mara mbilimbili kama aitume sms ile ama laa, mwisho akafumba macho na kubonyeza kitufe cha kutuma. Baada ya sekunde chache ujumbe wake ukajibiwa ?kama unataka kujifunza nitakufundisha ila kwa mashariti matatu? James akajaribu kutabiri hayo mashariti lakini akafeli mwisho akaamua kutuma tena ujumbe ?masharti gani tena hayo?

Usikose sehemu ya 4.
 
Halikuwa swali gumu kwa James kwa maana jibu alikuwanalo, ugumu ulikuwa kulitoa hilo jibu, ?CD ipi?? James akajifanya kuuliza swali ambalo Monica alilipuuza, James akaendelea kula chakula ambacho alikuwa anakimeza kama dawa tu, utamu wa chakula uliibwa na mawazo juu ya janga lililokuwepo mbele yake.

Baada ya kumaliza kula James akaamua kuelekea chumbani kwake kuficha uso wake, ila hili nalo lilikuwa na ugumu maana kufika chumbani kwake ilibidi apite pale sebuleni ambapo shemeji yake alikuwepo, mwisho akaamua kupita, liwalo na liwe. Wakati akikatisha pale sebuleni James aligundua kuwa shemeji yake alikuwa akiiangalia CD ile ya ngono, basi yeye akajikausha na kuchapa mwendo kuuelekea mlango wa chumba chake? Unaenda kulala shem? Swali likamtoka Monica na kumlazimu James kusimama kulijibu japo hakugeuka kumtizama muulizaji,?ndio,wacha nipmzike nimechoka sana leo? alijibu James ingawa hakuwa na uhakika kama kweli nakwenda kulala huko chumbani. ?acha zako bwana,unaniacha na nani sasa usiku wote huu?

Hebu njoo ukae hapa? alisema Monica huku akimuelekeza James kwenda kushirikiana na yeye kulikalia kochi alilokuwa amekalia, kochi ambalo lilitengenezwa kwa matumizi ya watu wawili. Agizo lile lilimshitua sana James,moyoni akawaza kuwa wito ule lazima ulitokana na moja kati ya mambo mawili,labda shemeji yake anamuita kwenda kumsema kwa tabia mbaya ambayo ameionesha au atakuwa amemtamani kimapenzi, sio jambo la kawaida mwanamke kumualika mwanaume washirikiane kuangalia kanda za ngono.

Basi James akatii wito, akaenda na kukaa kwenye ile nafasi moja iliyobakia kwenye kochi baada ya nyingine kuwa imekwishatumiwa na shemeji yake, wakaendelea kutazama video ile ingawa James alijifanya kama yeye hakuwa na haja ya kungalia kilichokuwa kinaendelea, muda mwingi alikuwa akiangalia chini kwa aibu. ?napenda sana mwanaume anayefanya mapenzi romantic kama huyu, halafu daah! Mdile wake umeshibaaa, huyo dada anafaidi kweli? James alishangaa kuona Monica anajaribu kuifanya video ile kama maigizo ya Kanumba, yani anategemea tuanze kuyajadili haya?? alijiuliza James ambaye aliamua kukaa kimya kama ambaye hakusikia maneno ya Monica. Mara Monica.

Mara Monica akasimama,kisha akamwambia James ?nakuja sasa hivi, usiondoke? kisha akaelekea chumbani kwake, huku nyuma James alibaki njia panda,akajiuliza atoe ile CD au aiache, mwisho akaamua kuacha kila kitu kama kilivyokua maana hakujua matokeo ya kubadili mazingira aliyoyaacha shemeji yake. Baada ya dakika kama tano Monica akamudia James, lakini muonekano wake ulibadilika sana kutokana na kubadili mavazi, alikuwa amevaa kitop cha rangi ya pink ambacho kiliyaacha mabega yake wazi, ndani ya kitop kile chepesi hakukuwa na sidiria kwani James aliweza kuziona chuchu zikiwa zimesimama dede kama zinataka kukitoboa kitop kile, chini Monica alikuwa amevee khanga nyeupe ambayo ilikuwa na maua ya blue, Monica akamvuka James akielekea kwenye jokofu, huku akimuuliza James ?utakunywa nini mume?? wakati huu James alikuwa akimeza mafunda mazito ya mate akiangalia ufundi wa muumbaji,mirindimoiliyokuwa ikionekana nyuma kwa Monica iliashiria kuwa ndani ya khanga ile aliyokuuwa amevaa hakukuwa na vazi lingine lolote, khanga ile haikuwa na uwezo wa kuzuia maumbile ya Monica kuonekana.

James alijikuta amepagawa tayari. Basi James akaagiza Juice, na Monica akaonekana akijongea kuelekea alipo James akiwa na glas mbili za juice, wakati akija James alifaidi hips zake ambazo zilikuwa zimeujenga mwili wake kike hasa, huu ulikuwa ugonjwa mkubwa sana kwa James, alipenda sana wanawake wenye hips zenye afya njema. Monica akafika na kuweka Juice mezani kisha akarudi kukaa kwenye kochi, baaada ya sekunde chache kukaa pia akaona hakufai na kuanza kumlalia James mapajani.

James akajikuta akiingiwa na ubaridi fulani uliotokana na uoga, kabaki amejikunyata asijue cha kufanya, mkao huu pia ulimchukua Monic dakika moja tu kabla hajaamka tena na kuanza kumkumbatia James, chuchu zake zikipitapita mwilini mwa James na kuzidi kumpagawisha, akajikuta akisimamisha kila kilicho na uwezo wa kusimama mwilini mwake,sasa alikuwa akitaka apewe hicho ambacho anaingishiwa, lakini akili ikamkumbusha kuwa yule alikuwa shemeji yake ?shemeji sio vizuri, mimi namuheshimu sana kama Paul? alisema James huku akijinasua kutoka kwenye kumbato lile la Monica, wakabaki wakitazamana.

Monica akatabasamu jambo ambalo liliziongezea nakshi lipsi zake ambazo zilikuwa zinatamanisha kunyonya wakati wote, ?we unadhani kaka akiju...? James akajaribu tena kujilazimisha kuzungumza lakini ulimi wa Monica ukamkata kauli, Monica akaanzisha uchokozi wa ulimi kwa ulimi na James akajikuta hana upinzani tena, akamuachia Monica kuwa dereva wa gari lile na yeye kubaki kuwa abiria ingawa hakujua gari lile lilikuwa linaelekea wapi,wala hakutaka kujua tena. Wakati zoezi la kunyonyana likiendelea Monica akawa naulalii mwili wa James kwa viganja na vidole vyake, James alikuwa mpole tu akiendelea na kazi yake ya kunyonyana. Monica akafungua suruali ya James na ndani ya sekunde chache akakipata alichokuwa anakitafuta ?mmmh! Yote yako hii?? alitania Monica akiwa ameshika bakora ya James kama ameiteka vile.

James alikuwa amebalikwa katika idara ile, kama angekutana na mwanamke asiye mzoefu asingethubutu kukubali kuingia vitani kupambana na silaha nzito namna ile,lakini Monica hakuonekana kuiogopa hata chembe, kwanza alionekana kuipenda kwa dhati. Monica akafanikiwa kuuchomoa ulimi wake kinywani mwa James akauamishia masikioni na shingoni kwa James,akampagawisha kijana wa watu kwa nncha ya ulimi wake kutalii maeneo hayo huku aki uvutavuta uume wa James kama anakamua maziwa ya ng'ombe. Haikuchukua hata sekunde ishirini Monica akasikia umoto mkononi mwake.

James alikuwa amemwaga tayari, na sasa akili zake zikawa zimrudia na kwa mara nyingine akajiona alikuwa akifanya jambo ambalo halikuwa sahihi. Uume wake ukashuka, na akajikuta nnje ya mchezo, alitamani kumwambia Monica aache anachokifanya ila hakuweza kusema na hakujua ni kwanini, Monica akajaribu kumrudisha mchezoni kwa dakika kadhaa ila haikuonekana kusaidia. Monica akaacha alichokuwa anakifanya na kusimama, moyoni James akashukuru akijua zoezi limeahirishwa lakini akashangaa kuona Monica akijivua ile top aliyokuwa amevee na kisha kuifungua ile khanga akabaki kama alivyozaliwa, halafu akamsaula na yeye akabaki kama alivyozaliwa. Jicho lilikuwa limemtoka.

James akiona kila kitu clear kabisa, alijiona kama alikuwa anaota. Monica akamsukumi kwenye kochi akakaa na yeye akakaa juu yake, mnara wa James ukajikuta umesoma network tena. Monica akauchukua na kujizamishia chumvini huku akikaa vizuri mapajani mwa James. James akahisi kautelezo chenye joto fulani zuri kakiukaribisha uume wake ndani ya Monica, hapohapo akajikuta akishusha wazungu kwa mara ya pili. Monica akamuangalia kwa jicho baya sana,alionekene kukerwa na kitendo kile ila akakipuuza na kundelea kucheza singeli pale mapajani kwa James, lakini ndani ya dakika chache akashindwa kuendelea kwanu mnara wa James haukuwa hata na chembe ya network.

Hii ni mara yako ya kwanza kufanya mapenzi James?? aliuliza Monica akionekana kabisa kuwa alikuwa na uhakika wa kupata jibu la ndio. James akajihisi aibu kidogo kwa swali lile ?umejuaje?'? akajibu kwa swali James ambaye ni kweli hakuwahi kushiriki kitendo cha aina ile kabla,?learner hajifichi,sasa itabidi nikupe darasa, na baada ya hapo utakuwa mwalimu? alisema Monica huku akimpapasa James na mara mlango ukagongwa, sauti ya mgongaji ilikuwa ya Paul, wote wakapagawa kila mmoja akikimbilia nguo zake, James akakimbia na zakwake chumbani kwake akimuachia Monica msala wake.

Akiwa chumbani James alisikia Monica akimkaribisha ndani mumewe vizuri kama hakuna chochote kilichotokea, ?karibu mezani upate chakula mume wangu? James alisikia kwa mbali Monica akimkaribisha mumewe chakula baada ya kumpokea, akaamua kupuuza maongezi yao na kubaki akiwaza yake. Alijiona mkosaji sana kwa kitendo alichokifaya na shemeji yake, aliona hakumtendea haki kaka yake ambae kama sio yeye angekuwa anapambana na maisha ya kijijini.

Akaamua kuwa asingerudia tena kufanya jambo kama lile, nusu saa baadae James akazima taa na kuamua kulala,lakini kabla usingizi haujamchukua akasikia mlango wake unagongwa polepole, mgongaji hakutoa sauti yoyote zaidi ya kugonga mlango, akaamua kuitikia mwito ule mlangoni, akawasha taa na kufungua mlango, macho yakamtoka kukutana na Monica akiwa uchi, kama alivyozaliwa, umbile lake zuri liking'aishwa na weupe wake wa asili ambao ulikuwa ukimtoa roho James ?uko tayari kwa darasa?? aliuliza Monica akirembua macho kimahaba
 
James alipata mshituko kidogo kuona sasa wameingia upande wa masharti, ila akajikaza na kuanza kuandaa ujumbe wenye lengo la kutaka kujuzwa hayo masharti ili aone kama atayamudu ama laa!, lakini kabla hata hajamaliza kuandika ujumbe ule aliona mlango wake ambao hakuwa ameufunga kwa ndani ukifunguliwa na shemeji yake, Monica akaingia. Sura ya Monica ilikuwa imetawaliwa na tabasamu tofauti na ambavyo James alitegemea kwani dakika chache zilizopita alimpita pale sebuleni na hakuna hata na tone la uchangamfu? Kwanza kabisa, kama unataka kuuwa mwanafunzi wangu lazima uniheshimu na kufuata kila ninachokwambia? alianza kuelezea masharti yake huku akikaa pembeni ya James pale kitandani?

Pili usirudie tena kuchunia sms zangu, na tatu tukiwa wenyewe nisisikie ukiniita shemeji? Aliweka kituo Monica akamuangalia James machoni, James naye akakaza na kuendelea kumuangalia, jambo ambalo mwanzo hakuliweza! Mwisho Monica akajifaya kujilaza mapajani mwa James ili kukwepa macho yake, kwani yalishamshinda tayari. ?mbona husemi sasa kama umekubaliana na masharti au umeyekataa?? aliuliza Monica akimpigapiga James vingumi vya kimahaba, tayari Mnara wa James ulishaanza kusoma kitambo sana, hata Monica alishalijua hilo kwani ulishaanza kujaribu kumnyanyua kutoka pale mapajani. ?mimi kama mwanafunzi kazi yangu ni kumtii tu mwalimu, nitakataaje sheria zako sasa? Kwanza nikikataa nitakuwa nimevunja sheria namba moja tayari?

James aliongea kwa sauti yenye mtetemeko fulani ulioashiria tayari akili yake ilianza kuhama lakini alikuwa akijaribu kujikaza. Baada ya Monica kuona msukumo wa mnara wa James umezidi, akafungua zipu ya suruali ya James na kuushika, kisha akawa anauminyaminya polepole huku akimsemesha James, ?ni kosa kubwa sana kwa mwanaume kumaliza haja zake kabla mwanamke hajafika? alisema Monica akimtizama James kwa macho ya kurembua?

Siku zote mwanamke anatakiwa atangulie kufika, hii ni kutokana na maumbile, mara nyingi mwanaume akifika mshine inasinyaa hivyo mwanamke anabaki njiani, lakini akiangulia mwanake, anaweza kungojea mpaka mwanaume naye afike? aliongeza maelezo Monica, maelezo ambayo yalipunguza maswali ya James japo mengine yalibakia. ?nimekuelewa vizuri, ila sijui kama kuna namna ya kuzuia kufika ikiwa tayari kufika kwenyewe kumenitaka, wanasemaga hilo jambo halizuiliki? alielezea James,akijaribu kuunganisha mawazo ambayo amewahi kuyapata kwenye maongezi? Kukojoa haraka kunatokana na uoga na kupania sana, ukiweza kuyaepuka hayo utaweza kumridhisha mwanamke? alielezea Monica ingawa James hakuwa amempata sawasawa, ?sijaelewa? James akataka ufafanuzi zaidi, muda wote huu Monica alikuwa akiendelea na uchokozi wake kwenye mjeledi wa James.

Anamaanisha kama utafanya ukiwa unajua hutakiwi kumaliza haraka na ukakosa kujiamini, hivyo ukawa unafanya ukiwa na uoga wa kukojoa haraka, huchukui round. Pia kuweka akili na nguvu zako zote kwenye kitendo ndo kupania na hapo lazima utawahi kukojoa? alielezea Monica na James akamuelewwa ingawa hakujua maneno yale yalikuwa yana ukweli kiasi gani ?kwa mfano juzi, niliposhika tu hii kitu ulikojoa, lakini leo mpaka sasa hujakojoa kwakuwa hujaweka akili yote hapa, akili nyingine inasikiliza maongezi, basi siku zote ndivyo tendo linvyopaswa kufanywa,lazima uwe na uwezo wa kujitoa mchezon, hasa upojiona unakaribia kumwaga sumu wakati mwenzio hajafika? Maelezo haya yakawa yamemfungua macho James, akajiona ameelewa somo vizuri hata akajikuta hajui cha kuuliza. Monica akausogeza uso wake ulipokuwa uso wa James, kinywa chake kikafanikiwa kukipata cha James na nyonyana nyonana ikaanza. Wakati ile shughuli ya kunyonyana ikiendelea.

Monica akauchukua mkono wa James na kuuvutia kwake, khanga yake ilikuwa imeshafunguka siku nyingi, hivyo akauelekeza kupenya kwenye kufuli yake na kukutna na hadhina ambayo ilikuwa imefichwa ndani, vidole vya James vikajikuta vikishawishika kuanza utalii ndani ya eneo lile na kusababisha Monica kuanza kutoa visauti ambavyo hakuwahi kabisa kuvitumia kwenye maongezi ya kawaida, James akaanza kuhisi eneo lile likiloa kwa utelezi ambao hakujua ulitoka wapi, Monica naye akajikuta akizungusha kiuno huku akizidi kukisogelea kidole cha James huku akimkumbatia James kwa nguvu. Mara Monica akajichomoa kutoka kwa James na kumsukumia kitandani.

James akabaki amelala chali na Monica akaanza kumvua suruali, kisha boxer ikafuata na kukutana na mnara ukiwa uko tayari kwa mapambano, Monica akautemea mate kidogo na kuupaka ili kuulainisha kisha akapanda juu ya James na kumruhusu nyoka aingie pangoni, kisha feni ikaanza kupepea taratibu huku ikizidi kasi kadri muda ulivyozidi kwenda, hatimaye James akijiona atashindwa mapambano sekunde chache zijazo, akajitahidi kujizuia lakini akaona kama hawezi? nako.....joaaaa, na...ko...joaaaaa? alisema kwa sauti ya kukwamakwama James na kukojoa kwenyewe kukafuatia, Monica ambaye alihisi umoto fulani ukiingia pangoni kwake akakazana kuzungusha huku akiwa ameng'ang'ania James kama alikuwa akitaka kupenye na kutoka mgoongoni kwake, jitihada hizo zikamsaidia kufika. Akachomoka juu ya James na kwenda kuwasha feni, kisha akarudi kitandani na kujilaza chali akisikilizia upepo wa feni, ?pole, nimeshindwa? alisema James kwa aibu, akiona alikuwa ametoa boko kwa mara nyingine. ?usijali, umejitahidi sana, hata hivyo sio mbaya kwa bao lakwanza? alisema Monica huku akianza kumpapasa papasa tena shemeji yake huyu ambaye aliamua kumgeuza mchepuko.

Kwahiyo sijafaya vibaya?? aliliza James akitaka kuhakiki usalama wake. ?bao la kwanza huwa ni gumu sana kulizuia, nitakupa max kwenye bao la pili? alisema Monica na kumfanya James kutambua kumbe zoezi lile halikuwa limeisha kama ambavyo alidhani yeye. ?jambo lingine ambalo unapaswa kujifunza ni kuwa kwenye mapenzi hakuna kinyaa? alianza somo jipya Monica huku akiisuguasugua mashine ya James ambayo ilianza kuitikia kwa mbaaliii!, wakati mwingine ili kumpa mwenzako raha ya kiwango cha juu inabidi kutumia ulimi wako kwenye maeneo mbalimbali ya mwili wake,hasa maeneo nyeti, cha muhimu ni kuzingatia usafi ili kurahisisha zoezi hilo? alisema Monica kisha akaichukua koni ya James na kuanza kuinynyo.

James alibaki ameduwaa, mwili wake ukaingiwa na kabaridi cha uoga. Alikuwa amesikia mara nyingi habari za kwenda chumvini kwenye maongezi, lakini mara zote amekuwa akilipinga jambo hilo akiona kuwa sio kitendo cha kiungwana, hivyo hakutegemea kama katika kaisha yake ataingia chmvini kwa mtu, wala hakutegemea kuona koni yake ikinyonywa, ila sasa alikuwa ndani ya hatua moja tayari, aliwaza pengine yeye angetakiwa kufuta kwa kuingia chumvini kwa Monica. Ndani ya muda mfupi Monica akagundua kuwa James hakuwa huru kwenye kitendo alichokuwa anafanya, kaacha kwanza ?nataka nikufundishe 'French Kiss'? alisema Monica na James akaona bora ajifunze hilo kuliko kitendo kile ambacho hakuwa huru kabisa kwenye kukifanya. ?hilo kiss la kifaransa ndo likoje?? aliuliza James akjifanya kutafsiri jina lile. ?Liko kama namba 69?

Alijibu kwa kifupi Monica, jibu lile likazidi kumchanganya James baadala ya kumsaidia. ?namba 69 ikoje kwani? alihoji James. ?wewe utakuwa 6 na mimi nitakuwa 9, tukikutana tunatengeneza 69, yani wakati mimi nkunyonya na wewe unaendelea kuninyonya? sasa James akawa ameelewa, ila hakutaka jambo hilo litokee. ?hiyo tutajifunza siku nyingine? alisema James kujaribu kuliepuka janga lile. ?mara hii umesahau masharti yangu?? aliuliza Monica kujaribu kumkumbusha kuwa walikubaliana kuwa atakuwa akifuata kila atakacho elekezwa. James akawa mdogo na kuamua kuacha mambo yaende kama ambavyo Monica alitaka. Lakini kabla hawajafanya chochote wakasikia mlango mkubwa wa nyumba ile ukigongwa, alikuwa na Paul akigonga na kuita kwa sauti ya ulevi. Monica na James wakaacha haraka walichokuwa wakifanya na Monica akajisitiri harakaharaka na kwenda kumfungulia mumewe.

Huku nyuma James akachukua simu yake na kukutana na sms za kutosha kutoka kwa Julieth, sms za mwanzo zilikuwa za kujieleza namna gani alimpenda, baadae alipoona hajibiwi tena akajaribu kupiga lakini simu pia haikupokelewa, akili yaake ikamwambia mwalimu wake huyu hakupendezwa na maongezi yale hivyo akawa anatuma hivyo akawa anamtumia sms za kumtaka amsamehe kwa kumkosea adabu, James akajaibu kumjibu ili kumtoa wasiwasi, akielezea kuwa yeye pia alimpenda na wala hakukosea kuelezea hisia zake, alipoaribu kutuma ujumbe huo ukagoma kwenda, kifurushi chake cha muda wa hewani kilikuwa kimekwisha muda wake, na tayari ulikuwa ni usiku mwingi, asingeweza kupata vocha. Hivyo akaamua kulala huku akiomba Mungu Monica asirudi kwani likuwa akiuogopa sana mchezo wa Monica kwenda chumbani kwake ikiwa mumewe yupo, na Mungu akajibu maombi yake kwani baada ya kama daakika 5 akaona ujumbe wa Monica kwenye simu yake ?usiku mwema bwana, mi nalala? akashukuru sana na yeye akalala.

Asubuhi James aliamka na kuendelea na mambo yake kama kawaida, akatamani kununua vocha ili awasiliane na Julieth ila akaamua kuwa kwakukuwa ataenda nyumbani kwao kwaajili ya kipindi, hana sababu ya kuharakisha.

Monica siku hiyo alitoka mapema akamuacha James pekeyeke akimtaka kuacha ufunguo kwenye duka la jirani kama ataondoka kabla hajarudi.

James akaendelea na taratibu zake mpaka ulipofika muda wa kwenda kibaruani kwake. Alishangaa kumkuta Julieth ofisini akiwa mekaa na Sir Mdharuba. ?umeona? Nilikwambia muda wake ukifika atakuja tu? alisema Sir Mdharuba huku akicheka. ?sasa si ungenipigia niharakishe kuja baada ya mgeni wangu kufika Sir?? alihoji James. ?sikuona haja ya kufanya hivyo maana kama alikuja ofisini bila kupeana ahadi basi alijiandaa kusubiri? alijieleza Sir Mdharuba ambaye huwa ana asili ya ubishi. ?Sir James naomba tuongee mara moja nina haraka? alisema Julieth akitangulia nje na James akafuata ?najua nimkukosea sana Sir James, na wala sikulaumu kwa kukataa kunisamehe, ila nakuomba chondechonde usiwaeleze wazazi wangu habari hizi? akaweka kituo Julieth ambaye macho yake yalionesha kuwa alikuwa amelia sana na wakati huu pia alikuwa karibu kulia. ?

Noo Julieth, hujanikosea, please nenda nyumbani, nikija tutaongea zaidi? alisema James ambaye hakutaka kabisa maongezi yale yafanyike pale. ?Sir pleeeease, sitorudia teena? alisema Julieth ambaye bado aliendelea kuamini James alikuwa amechukizwa na tabia yake, safari hii hakuweza kuyazuia machozi kuchuruzika. ?I love you Julieth, please nenda nyumbani, tutakuja kuongea vizuri mpenzi? James akaaribu kidogo kubadili uzungumzaji na kweli mtunda yakaonekana kwani Julieth hakuongeza neno, akaianza safari ya kurudi nyumbani kwao.

Usikose sehemu ya 5
 
Siku hiyo James alifundisha hiyo basi tu, lakini akili yake yote ilikuwa kwa Julieth, alitamani muda ufike mapema ili aende kukutana naye na kulianzisha rasmi penzi lao.

Baada ya kipindi hakupoteza muda, akamuaga Sir Mdharuba na safari ya kuelekea nyumbani kwa kina Julieth ikaanza. Ndani ya dakika kumi tu akawa amefika kwani alikwenda kwa usafiri wa bodaboda, akapokelewa na mlinzi wa getini na kuruhusiwa kuingia ndani ambapo alimkuta Julieth akiwa amekaa mzee ambaye kwa umri wake James alihisi kuwa alikuwa ni baba yake, na kweli alikuwa sahihi. ?karibu mwalimu? alikaribisha mzee yule akiupamba uso wake kwa tabasamu la ukarimi ambalo lilimfanya James nae kulitoa lakwake bila hiyari yake, ?naitwa Mr. Priscus, mimi ni baba yake Julieth? alijitambulisha mzee yule ambaye alisimama na kumpa mkono wake James. ?bila shaka wewe ni mwalimu James, Julieth amenieleza sana kuhusu wewe, na amefurahia sana huduma yako? alielezea mzee Priscus akimkaribisha James kwenye kochi ambapoa alikaa na maongezi ya hapa na pale yakaanza. James akagundua kuwa baba yake Julieth alikuwa ni balozi wa nchi hii kwenye nchi moja ya Ulaya, hivyo hakuwa mkaaji wa muda mrefu hapa nchini, alikuwa amekuja kuisaimia tu familia yake. Baada ya maongezi ya hapa na pale ukafika wakati wa James kufanya ambacho kilikuwa kimempeleka pale, na Julieth akamtaka waelekee chumbani kwake ambapo somo lingefanyika siku hiyo kwani hakutaka kumsumbua baba yake ambaye alikuwa akiangalia TV pale sebuleni, James akatii na kuongozana na Julieth mpaka chumbani kwake.

Kilikuwa chumba kikubwa ambacho kilikuwa na vitu vya thamani sana ndani yake, mpangilio wa chumba pia ulikuwa wa kuvutia sana. Hatua kama nne kutoka kilipokuwa kitanda kulikuwa na meza mbayo ilikuwa na vifaa mbalimbali vya kusomea ambavyo vilikuwa vimepangwa vizuri, pia kulikuwa na viti viwili ambavyo bila shaka vilikuwa kwa matumizi sambamba na meza ile na vifaa vya kusomea ambavyo vilikuwepo mezani. James na Julieth wakakalia viti vile na kipindi kikaanza, lakini James aligundua kuwa Julieth hakuwa kwenye kipindi siku hiyo, muda mwingi aliutumia kumuangalia usoni baadala ya kuangalia kilichokuwa kinafundishwa, lakini James akajifanya kama alikuwa halioni hilo, hakuwa tayari kuanzisha chochote kutokana na uoga kama ilivyokuwa kawaida yake, kipindi kikaendelea. Baada ya dakika kama tano tu uzalendo ukamshinda Julieth ?kwanini uliamua kunichunia baada ya kukueleza hisia zangu?? alihoji Julieth akimkazia macho James. ?hapana sikukuchunia, kifurushi changu kiliisha na nilikuwa nyumbani tayari na muda ulikuwa umeenda, nikashindwa kupata vocha? alijitetea James. ?mmh! Sio kweli, mbona hata baada ya kukucha hukufanya chochote?? aliuliza Julieth kwa sauti ya kudeka. ?hebu tumalizie kusoma kwanza kisha tutaongea vizuri? alishawishi James lakini ndo kama aliua kipindi kwani Julieth alihama kutoka mezani mapaka kitandani huku akisema ?aah! Mi hata sijisikii kusoma leo, tuongee tu?. James hakuwa na namna zaidi ya kutoka pale kwenye meza na kumfuata Julieth pale kitandani ?nilijua lazima jioni nitakuja na tutaongea, sikuona ulazima wa kukutafuta asubuhi, kama nilikuudhi nisamehe basi mpenzi? alianza 'kujibebisha' James akijaibu kuifanya sauti yake kuwa romantic huku akimshikashika Julieth maeneo ya nyuma ya shingo yake kumfariji, hakujua kama Julieth alikuwa na udhaifu mkubwa kwenye maeneo hayo, alimuona tu akianza kuwa mpole na kukakamaza mwili kama askari amekutana na mkubwa wake wa kazi. James akagundua haraka kuwa huko anakoelekea atazua matatizo, akaacha haraka sana, lakini alikuwa amechelewa, alikuwa 'ameliamsha dude' tayari, akashangaa kumuona Julieth akiamka pale kitandani kimyakimya na kwenda kufunga mlango vizuri kwa funguo, kisha akarudi na kukaa pembeni yake huku akimuangalia kwa macho ambayo yalieleza kila ambacho kilikuwa kikiendelea ndani ya moyo wake. ?Julieth hapa ni nyumbani kwenu na wazazi wako wapo, sio vizur...? Alijaribu kuongea maneno ya kukwepa Jukumu lile ambalo aliona kama lilikuwa hatarishi lakini kabla hajamalizia maneno yake tayari kinywa cha Julieth kilikuwa kimekutana na chakwake huku Julieth akimkumbatia kwanguvu. James akajikuta hana maamuzi tena, kwani akili yake ilimruka, akawa anafikiria kwa kutumia mnara wake ambao haukutaka kusikia habari nyingine yoyote ila kula tunda lile ambalo lilikuwa limejipeleka lenyewe kwa mlaji likiwa limeiva na kutengeneza rangi ya kuvutia macho ya mlaji. Akiendelea na lile zoezi la kunyonyana ambalo alilianzisha Julieth, James akawa wa anapandisha juu sketi ya Julieth kisha akakutana na kufuli lake ambalo hata hakuwa amejua rangi yake kwani macho yake yalikuwa yamefumbwa yakifaidi utamu uliokuwa ukiendelea na mkono ambao ulikuwa na uwezo wa kufanya kazi ya ziada haukuwa na macho, akaishusha kufuli ile mpaka maeneo ya mapajani na akaona inatosha kwani mkao wao haukuweza haukumruhusu kwenda zaidi ya hapo, akapeleka kidole kirefu zaidi ya mkono wake wa kulia mpaka chumvini kwa Julieth lakini akakutana na hali ambayo hakuitarajia, njia haikuwa inatosheleza kupita kama alivyodhani, akajaribu kuongeza muda kidogo, Julieth akaruka na kuchomoka kwenye 'denda' lililokuwa likiendelea ?mwenzio sijawahi kufanya, leo ndo mara ya kwanza? alisema Julieth kwa sauti ya kimahaba na macho yake yalikuwa yamelegea sana. Habari hii ilikuwa tata kwa James, hata 'mzuka' wa kuendelea na chezo lile ukakata, yeye mwenyewe alikuwa mwanafunzi tu kwenye mambo haya na hakuwa amewahi kumbikiri mwanamke kabla, ataanzaje leo katika mzingira yale hatarishi? ?sasa kama wewe bado ni bikra, tusifanyie hili jambo hapa, tunaweza kukamatwa? alisema Jamesa ambaye aligundua anaweza kumwambia chochote Julieth na akamuamini kwani hakuwa akijua chochote. ?hakuna mtu ataingia chumbani kwangu, kwanza nimefunga mlango? alisema Julieth, akaweka kituo kidogo na kumtizama James machoni, ?mpango wangu ulikuwa kutomjua mwanaume mpaka niolewe ila baada ya kukutana na wewe nataka kufanya, 'so please'? alisema Julieth kwa hisia kali sana, alionekana kulitaka sana penzi la James. ?ahsante sana kwa kuamua kunipa mimi hiyo zawadi, ila nakwambia sio 'good idea' kufanyia hapa, especially kwa hii mara ya kwanza, kama kweli unanipenda naomba unielewe,vinginevyo unaweza kuniweka matatizoni? alijieleza James. Maneno yale ya mwisho yakaonekana kumshawishi Julieth ambaye alikubaliana na matakwa ya James, ?basi hug me please? aliseme Julieth macho yake yakionekana kulengwa na machozi akimtaka James amkumbatie jambo ambalo James alilitekeleza bila ubishi, wakakumbatiana kwa muda, mwisho wakajilaza kitandani wakiwa wamekumbaliana. ?nakupenda sana Julieth na kama Mungu akiruhusu nitapenda uwe mke wangu? James alijitahidi kusema maneno matamu ili kumfariji mpenzi wake huyu mpya ambaye alionekana wazi kutoridhishwa na maamuzi yaliyofanyika. ?nakupenda pia James, ni muda mrefu sana sijapenda kama ambavyo nimekupenda wewe? alisema Julieth na akashindwa kuyazuia machozi yake. ?no no no, don't cry baby? alisema James huku akimfuta machozi Julieth na kumkubatia tena.

James alikaa na Julieth mule chumbani kwake mpaka akavusha hata muda ambao kipindi kilipaswa kuisha. Julieth alimuelezea juu ya mpenzi wake aliyepita ambaye ndiye pekee aliyewahi kuwanaye, alikuwa ni kijana mwenye asili ya Kiarabu ambaye alikutana naye wakati akisoma O'level, shule zao zilijenga mazoea ya kutembeleana na kufanya mitihani ya pamoja ili kujipima uwezo. Julieth na kijana huyo ambaye alimtaja kama Farid walishindwana kwa sababu kuu mbili, moja ikiwa tofauti ya dini zao lakini ya pili ilikuwa kushindwa kwa Farid kutekeleza malengo ya Julieth ambaye hakutaka kumpa uhondo mpaka ndoa, mwisho Farid alijaribu kumbaka Julieth baada ya kuona kupewa penzi kistaarabu ni jambo ambalo halikuwepo. ?yani alinitamkia kabisa kuwa hawezi kufanya upumbavu wa kusubiri mpaka ndoa wakati aliona kabisa ndoa kati yetu haikuwepo kutokana na tofauti zetu za dini? alielezea Julieth story ambayo hakupenda kuielezea kwa watu kwani aliona ni ya aibu pia ilikuwa ikimsababishia kulia. ?pole sana, hakufanikiwa lakini?? aliuliza James ambaye alikuwa ameguswa sana na story ile. ?hapana, rafiki yake ambaye tulikuwa kwao wakati hayo yakiendelea alinihurumia, akafanikiwa kuzuia rafiki yake nami nikapata nafasi ya kukimbia? alielezea Julieth huku akifuta machozi. ?wewe ni mwanaume wa tofauti sana, kwani wanaume hutaka mapenzi tu kwa mwanamke lakini nimegundua kwako hicho sio kipaombele? alisema Julieth na kumfanya James ahisi kuwa huenda hiki kilichomkuta huko nyuma ndicho kilisababisha akataka sana kumpa penzi akidhani kama hatompa huenda akamkosa kama alivyomkosa Farid. ?kufanya tedo ni kitu cha ziada tu kama unampenda mtu kwa dhati, kitu cha kwanza ni kuhakikisha anaendelea kuwa wako kwa gharama yoyote, mimi niko tayari kusubiri mpaka mpaka ndoa, wala sitokuwa na lalamoko lolote, alisema James ili kumtoa wasiwasi mpenzi wake huyo. ?no, nimechagua mwenyewe kufanya na wewe, usininyime tafadhali? alisema Julieth.

?Jamani mko hai humo ndani?? ilikuwa sauti ya mama yake Julieth akiuliza huku akigonga mlango. Muda ulikuwa umeenda sana James na Julieth wakiwa wamejifungia mule ndani. Walishtuka wakaona kitasa cha mlango kikinyongwa kama mtu aliyeko nje alitaka kuufungua mlango ule, ?mmmh! Mbona mmejifungia?? alihoji mama yake Julieth kwa wasiwasi.

Usikose sehemu ya 6
 
SHEMEJI MONIkA

SEHEMU YA 6

Pale ndani James alishaanza kuchanganyikiwa, maneno ya mama Julieth yake yalionesha kuwa alikuwa na mashaka ya nini kinafanyika nyani, hasa baada ya kuona mlango umefungwa, ?tuko busy? alijibu Julieth kwa sauti ya juu. ?njooni basi angalau mpate chakula kwanza, muda umeenda? alisema mama Julieth na kusababisha James kuangalia saa yake na kugundua kuwa ilikuwa saa mbili na nusu usiku. ?tunamalizia? alijibu Julieth na mama yake akaondoka. ?inabidi niondoke, tutawaudhi wazazi sasa? alisema James huku akisimama, Julieth naye akasimama na kumpiga busu zito mdomoni, kisha akatangulia kufungua mlango James akifuata nyuma yake. ?karibu tujumuike mezani mwalimu? alisema baba yake Julieth ambaye alikuwa kwenye safari ya kutoka eneo la kupumzikia pale sebuleni, kuelekea eneo la chakula. ?asante mzee muda umeenda sana, nitakula siku nyingine? alijibu James kwa kifupi akiendelea na safari yake ya kwenda nje. ?kwa heshima yangu naomba tupate mlo wa pamoja leo? alisema baba yake Julieth, maneno ambayo James hakuwa na nguvu ya kuyapinga. Wakajumuika mezani na kupata chakula, chakula kilikuwa kitamu kikitawaliwa na mazungumzo ya hapa na pale, baba yake Julieth alikuwa mcheshi sana na alikuwa hakauki simulizi z kuchekesha, hivyo muda wote wa chakula walikuwa wakicheka kwa furaha. James aligundua Julieth ambaye walikuwa wamekaa kwenye meza wakitazamana alikuwa akitumia mudamwingi kuuangalia zaidi ya kula na macho yao yalipogongana alitabasamu, ikambidi James kujitahidi kumkwepa kwani alidhani wazazi wa Julieth wangeweza kusoma jambo pale. Baada ya chakula hakuna ambaye alikuwa na sababu nzuri ya kumzuia James asiondoke, japo mama yake Julieth alimtaka kumpa namba zake za simu ili iweze kurahisisha mawasilano kama angemuhitaji, jambo ambalo James alilitekeleza bila wasiwasi wowote.

Alipofika nyumbani James alishangaa kumkuta kaka yake, ilikuwa ni mapema mno kwa kaka yake kuwepo nyumbani, maana toka alipofika kwenye mji ule kaka yake alikuwa akichelewa sana kurudi nyumbani na hurudi akiwa amelewa, lakini siku hii hakuonekana kama aliyelewa. ?naona umekuwa mwenyeji sana sasa? alisema kaka yake James huku akitabasamu. ?yeah, sasa mtu haweza kunipoteza mji huu? alijibu James, wakacheka. ?sasa wameanza hata kuniibia mume, dalili mbaya hizi za kurudi mida hii? alitania Monica. ?pengine mume anakuwa nje anakutafutia, acha wivu? alijibu kaka yake James ambaye dongo lile la mkewe japo lilikuwa utani lakini linnamlenga yeye zaidi. ?shemeji karibu chakula? alisema Monica akimuelekeza James kuelekea mezani kupata chakula, hali ya meza ilionesha kuwa wengine wote walikuwa wamekula tayari. ?asante shem, ila nimeshakula tayari huko nitokako? alijibu James. ?jamani jamani dalili mbaya hizi? alitania tena Monica, wote wakacheka. ?shikamoo bamdogo? alisalimia Peter, mtoto wa Paul ambaye alikuwa akitokea chumbani, Peter alikuwa amekuja siku hiyo kutokea shule ambako alikuwa akisma 'boarding'. James akafurahi sana kumuona mtoto huyu wa kaka yake ambaye hakuwa ameonana naye kwa kipindi kirefu, wakasalimiana na kuulizana maendeleo ya shule. ?hii ni suprise kwelikweli, sikujua kama kinaja anakuja leo? alisema James. ?we huoni leo baba yake mapemaaa yuko nyumbani, kama sio ujio wa mwanae angekuwa hapa saa hizi?? alilenga dongo lingine Monica ingawa alilitoa kama anatania. James hakupenda hali ile ya Monica kuwa anamrushia mume wake vimaneno, alijiona kama alikuwa na mchango mkubwa kwenye kusababisha Monica afanye vile kutokana na mambo ambayo wamekuwa wakiyafanya, pengine yamepelekea kumuona mume wake hana maana yoyote,pamoja na kuwa asilimia kubwa ya matatizo yale aliyasababisha yeye mwenyewe (kaka yake James). James akajikuta amepata wazo la ghafla, akaona kuendelea kuwepo mule ndani kunaweza kusababisha mpsuko siku moja, hasa kutokana na mambo ambayo amekuwa akiyafanya na shemeji yake, akaona utatuzi ni kuhama mule ndani. ?jamani mimi nilikuwa nawaza kupanga chumba nianze kujifunza maisha? alijaribu kuliingiza wazo lake kwenye vichwa vya wenyeji wake hawa ili kuona litapokelewaje. ?kwanini umefikia uamuzi huo, kuna jambo lolote limekukera?? alihoji kaka yake ambaye habari hizi zilikuwa za ghafla sana kwake, hakutegemea kuona mdogo wake huyu akiondoka kwake hivi karibuni. ?hapana, nimeishi kwa amani sana ndani ya nyumba hii, na ninashukuru sana ila nadhani ni wakati wa mimi kujaribu kuwa mkomavu na kujitegemea? alielezea vuzuri James na kaka yake akamuelewa haraka. ?au kwasababu Peter karudi umeona chumba hakiwatoshi?? alichangia Monica. ?kwani Peter ni tembo? Chumba chote kile kinaachaje kututosha?? alijibu James kiutani na wote wakacheka. ?lakini huna muda mrefu utaenda chuo, sasa huoni kama hiko chumba hata hutokikaa?? alihoji tena Monica ambaye James alitarajia upinzani mkali kutoka kwake. ?maamuzi yangu ni kutokwenda tena kijijini, maisha yangu yatakuwa hapa, hata kama nitakuwa nakwenda chuo likizo zote nitakuwa hapa kwahiyo chumba changu kitatumika tu? alijibu James. ?mi nadhani sio jambo baya, maadam umeamua mwenyewe na unaamini kuwa utamudu changamoto za maisha, bora tukutakie kila lakheri? alisema kaka yake James na Monica akaonesha kukubaliana, jambo ambalo James hakulitegemea. Wakaendelea na story za hapa na pale mpaka walipochoka na kwenda kulala.

?Aisee Sir Mdharuba natafuta chumba bwana, sijui nitapata wapi?? alianziasha maongezi James wakiwa ofisini akingojea muda wa kipindi chake ufike. ?Vyumba vipo tu humu mjini, unataka cha aina gani kwani?? alisema Sir Mdharuba na kuunganishia na swali. ?cha kawaida tu, cha bei poa? alijibu James. ?hivyo vinapatikana uswahilini, hata pale ninapokaa mimi kuna chumba kiko wazi, kama vipi ukapaone kama panakufaa?. ?sasa si kesho tena hiyo maana naona kama leo muda umeshaenda? alijibu James. ?tunao muda, kwani una dakika ngapi kabla ya kipindi?? alihoji Mdharuba akiangalia saa yake. ?kama 25 hivi? alijibu James mara baada ya yeye kuangalia saa yake pia. Mdharuba akaona zinaatosha sana, wakaondoka pale kituoni kwa kutumia pikipiki ya Mdharuba mpaka maeneo ya uswahilini ambapo alipelekwa kwenye nyumba kubwa yenye vyumba vingivingi kila kimoja kikijitegemea, ilikuwa imejengwa maalumu kwaajili ya kupangisha. James akaoneshwa chumba ambacho kilikuwa tupu, akakiangalia na kuona kilikuwa kinamfaa, akakutanishwa na mma mwenye nyumba ambaye alimpa masharti ya nyumba akaridhikanayo na kulipia pesa ya miezi 6 kama ambavyo mama mwenye nyumba alitaka. Bei ya chumba ilikuwa elfu 20, hivyo kwa miezi 6 ilikuwa ni laki moja na elfu 20, gharama ambayo James aliimudu.

Wakiwa wamerudi kituoni na James akawa anajiandaa kwenda kuanza kipindi chake, simu yake ikaita, namba ilikuwa ni ngeni kwenye simu yake, hivyo hakujua nani alikuwa anapiga, ikambidi kupokea ili kujua mpigaji alikuwa nani. ?hallo James tunaweza kuonana kwenye mgahawa wa hapa nje ya ofisi yenu?? James hakuhitaji kuambiwa kuwa ile ilikuwa ni sauti ya mama yake Julieth. James hakuweza kukataa wito ule, akawaomba wanafunzi wake kumvumilia kwa dakika chache kisha akaenda kumsikiliza mama yake Julieth huku akiwa na wasiwasi mwingi wa juu ya jambo ambalo alitaka kuongelea.

?shikamoo mama? alisalimia James wakati akivuta kiti na kukaa akitazamana na mama yake Julieth. Baada ya kuitikia salam mama Julieth akaanza kuelezea juu ya ujio wake. ?James nataka uniambie ukweli nini kinaendelea kati yako wewe na Julieth? alihoji mama yule, sauti yake ilionesha kuwa alikuwa serious sana na ambacho alikuwa anakifanya. ?sijakuelewa swali lako mama, mblai na kumfundisha Julieth nini kingine kinaweza kuwa kinaendelea?? James alijifanya kama hakuwa na ambalo analijua. ?Julieth ni mwanangu, namjua vizuri sana, hawezi kuficha hisia zake mbele yangu. Jana wakati wa chakula nimegundua kuwa Julieth anakupenda, unaweza kubisha??, mama Julieth akaanza kutumbua jipu na kumuacha James njia panda. ?mama mimi ninachofanya ni kumfundisha Julieth, sina jingine. Siwezi kubisha juu ya kuwa ananipenda maana sijui kilichomo moyoni mwake, illa hajawahi kuniambia na kuna mpaka mkubwa kati yetu, hatuendi zaidi ya kwenye masomo? alijibu James. ?basi wacha nikuulize swali la mwisho na naomba unijibu ukweli? alisema mama Julieth na James akawa tayari kupokea swali hilo. ?tukiachana na swala la kuwa na uhusiano ama kutokuwanao je, unampenda Julieth??. Swali hili lilikuwa gumu sana kwa James kusema kuwa hampendi Julieth mbele ya mama yake ilhali alikuwa akimpenda sana aliona kama ni usaliti, na akajikuta kutmani kusema ukweli.

Usikose sehemu ya 7
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom