Kama wewe ni mfuatiliaji sana wa muziki wa gospel Tanzania, kwa kuangalia video hii umemtambua nani ambae kwa sasa ni mwanamziki mkubwa sana hapa Tanzania hasa muziki wa injili (gospel Music)
Naam wale wapenzi wa series ya from Leo season 3 imeshatoka online link kama uliipenda msimu wa kwanza na wapili huu ni msimu wa tatu je wale viumbe wataendelee kisumbua je Boyd Steven atafanikiwa...
Nas - Ether
What's up niggas, hey yo, I know you ain't talking 'bout me dog
You, what?
("Fuk Jay-Z")
You been on my dick nigga, you love my style, nigga
("Fuk Jay-Z")
Fuk with your soul like...
Leo katika pitapita yangu wadau nnimekutana na moja ya website makini sana ambayo inahusika na maswala ya movie na series zilizotafasiliwa Nahitaji mnisaidie kunipatia majina mengine ya website...
Habari zenu wakuu. Niko hapa kuwaletea simulizi (2) Mbili nzuri za Maisha. Ili Kusikiliza simulizi hizi, bonyeza links hapa chini na zitakupeleka YouTube
Simulizi ya Kwanza👇...
Nimekumbuka muvi za zamani kwa sisi ambao tumezaliwa kitambo kidogo, muvi zilikuwa za kuvutia sana huku tukipata burudani kutoka kwa maadui waliojijengea majina katika muvi mbalimbali.
Binafsi...
Aisee huu wimbo uliimbwa jamani
Jamani vinanda vilipigwa humu aisee
Aisee Isha Mashauzi alijipanga akapangika jamani
Ukauzu wangu wote wa kutopenda Taarabu hapa nimechemka,
Naupenda huu wimbo na...
PENZI LA MFUNGWA
Mtunzi : sharobaro la jf
CONTACT : 0765168293
SEHEMU YA KWANZA-01
"Mwizi mwizii mwiziii..", mayowe yalisikika, mayowe amabayo yalisambaa kwa kasi ya ajabu usiku ule, kitendo...
Wakuu,
Ni ukweli usiopingika kuwa Hiphop siku hizi imekuwa ni nyepesi mno tofauti na zamani
Siku hizi bars zimekuwa nyepesi na hata staili ysa kuchana imebadilika mno.
Leo kuna playlists moja...
Niaje wadau
Nimepata ushawishi wa kwenda kuangalia na kucheza huu wimbo remix ya tetema yes 🙂OH MAMA TETEMA by rayvanny,Nora fatehi and Shreya
Kutoka kwenye COMMENTS ZA watu mbalimbali pale mjini...
Binti wa mwanamuziki Chris Brown, Royalty Brown mwenye miaka 11 kwa kushirikiana na Influencer wa mitandaoni Zachery Dereniowski ameamua kumzawadia mwanamama mmoja pamoja gari jipya na pesa...
Season 2 ya IDAIWE MAITI YANGU [emoji736]
Gavin Luca
Katika Idaiwe Maiti Yangu, tulimfahamu Gavin Luca, lakini alibaki kuwa na hali ya kutatanisha. Hatukujua kama alikufa au alifanikiwa kuishi...
Katika karne za enzi zile, zile zamani kabisa, kitu cha thamani kilikuwa ni aidha dhahabu ama silva. Kila himaya ilijivuna kwa wingi wa dhahabu zao, utawala imara na shibe za watu.
Si zaidi ya...
100 Years ni filamu fupi ya majaribio ya kisayansi iliyoandikwa na kuongozwa na John Malkovich na Robert Rodriguez, kwa ushirikiano na kampuni ya vinywaji ya Louis XIII Cognac.
Kilicho cha...
Wakuu naombeni nyimbo za kuabudu za live ziwe za Tanzania, south africa, nigeria na congo kwa mbaali mfano hawa Neema gospel choir na wimbo wao wa wema umenivutia kidgo kutazama.
Nitajie wasanii bongo ambao hujawahi kuwaelewa yaani hata show yake ije na uambiwe uende unapewa posho ya 5000 na kiingilio bure wewe bado hutaenda kwa sababu hawana kipaji wamebebwa Tu na upepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.