Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa wapenzi wa Bollywood na matawi yake tungejikusanya hapa kupeana mawili matatu
2 Reactions
124 Replies
7K Views
Kama wewe ni mfuatiliaji sana wa muziki wa gospel Tanzania, kwa kuangalia video hii umemtambua nani ambae kwa sasa ni mwanamziki mkubwa sana hapa Tanzania hasa muziki wa injili (gospel Music)
0 Reactions
0 Replies
229 Views
Naam wale wapenzi wa series ya from Leo season 3 imeshatoka online link kama uliipenda msimu wa kwanza na wapili huu ni msimu wa tatu je wale viumbe wataendelee kisumbua je Boyd Steven atafanikiwa...
8 Reactions
397 Replies
36K Views
Nas - Ether What's up niggas, hey yo, I know you ain't talking 'bout me dog You, what? ("Fuk Jay-Z") You been on my dick nigga, you love my style, nigga ("Fuk Jay-Z") Fuk with your soul like...
1 Reactions
5 Replies
458 Views
Leo katika pitapita yangu wadau nnimekutana na moja ya website makini sana ambayo inahusika na maswala ya movie na series zilizotafasiliwa Nahitaji mnisaidie kunipatia majina mengine ya website...
0 Reactions
4 Replies
633 Views
Habari zenu wakuu. Niko hapa kuwaletea simulizi (2) Mbili nzuri za Maisha. Ili Kusikiliza simulizi hizi, bonyeza links hapa chini na zitakupeleka YouTube Simulizi ya Kwanza👇...
1 Reactions
0 Replies
443 Views
Nimekumbuka muvi za zamani kwa sisi ambao tumezaliwa kitambo kidogo, muvi zilikuwa za kuvutia sana huku tukipata burudani kutoka kwa maadui waliojijengea majina katika muvi mbalimbali. Binafsi...
6 Reactions
56 Replies
3K Views
Wakuu! Kuna mwenye wimbo uitwao OMBA OMBA wa Msanii mchekeshaji Bambo? Nimeutafta sana mtandaoni sijaupata. Ni wa kitambo.
0 Reactions
0 Replies
221 Views
Aisee huu wimbo uliimbwa jamani Jamani vinanda vilipigwa humu aisee Aisee Isha Mashauzi alijipanga akapangika jamani Ukauzu wangu wote wa kutopenda Taarabu hapa nimechemka, Naupenda huu wimbo na...
1 Reactions
0 Replies
257 Views
PENZI LA MFUNGWA Mtunzi : sharobaro la jf CONTACT : 0765168293 SEHEMU YA KWANZA-01 "Mwizi mwizii mwiziii..", mayowe yalisikika, mayowe amabayo yalisambaa kwa kasi ya ajabu usiku ule, kitendo...
9 Reactions
152 Replies
155K Views
Wakuu, Ni ukweli usiopingika kuwa Hiphop siku hizi imekuwa ni nyepesi mno tofauti na zamani Siku hizi bars zimekuwa nyepesi na hata staili ysa kuchana imebadilika mno. Leo kuna playlists moja...
5 Reactions
102 Replies
3K Views
Niaje wadau Nimepata ushawishi wa kwenda kuangalia na kucheza huu wimbo remix ya tetema yes 🙂OH MAMA TETEMA by rayvanny,Nora fatehi and Shreya Kutoka kwenye COMMENTS ZA watu mbalimbali pale mjini...
0 Reactions
1 Replies
308 Views
Kwangu SISU ni movie pendwa inaelezea refusing to give up, determination, extreme willpower and female empowerment.
3 Reactions
13 Replies
604 Views
Binti wa mwanamuziki Chris Brown, Royalty Brown mwenye miaka 11 kwa kushirikiana na Influencer wa mitandaoni Zachery Dereniowski ameamua kumzawadia mwanamama mmoja pamoja gari jipya na pesa...
0 Reactions
5 Replies
554 Views
Season 2 ya IDAIWE MAITI YANGU [emoji736] Gavin Luca Katika Idaiwe Maiti Yangu, tulimfahamu Gavin Luca, lakini alibaki kuwa na hali ya kutatanisha. Hatukujua kama alikufa au alifanikiwa kuishi...
4 Reactions
286 Replies
58K Views
Katika karne za enzi zile, zile zamani kabisa, kitu cha thamani kilikuwa ni aidha dhahabu ama silva. Kila himaya ilijivuna kwa wingi wa dhahabu zao, utawala imara na shibe za watu. Si zaidi ya...
47 Reactions
2K Replies
514K Views
100 Years ni filamu fupi ya majaribio ya kisayansi iliyoandikwa na kuongozwa na John Malkovich na Robert Rodriguez, kwa ushirikiano na kampuni ya vinywaji ya Louis XIII Cognac. Kilicho cha...
1 Reactions
3 Replies
404 Views
Wakuu naombeni nyimbo za kuabudu za live ziwe za Tanzania, south africa, nigeria na congo kwa mbaali mfano hawa Neema gospel choir na wimbo wao wa wema umenivutia kidgo kutazama.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nitajie wasanii bongo ambao hujawahi kuwaelewa yaani hata show yake ije na uambiwe uende unapewa posho ya 5000 na kiingilio bure wewe bado hutaenda kwa sababu hawana kipaji wamebebwa Tu na upepo...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Back
Top Bottom