Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nyota ya mtu inaweza kufifia lakini bado kuna watu wataendelea kuithamini na kuiona ni nyota bora kuliko zote. Amonaizy Wamataizy ni jina maarufu sana mkoa wa Kigoma hususani wilaya ya Kasulu...
0 Reactions
9 Replies
739 Views
Dah huu wimbo Katam,diamond kaimba ya yule mkenya wa sauti sol bien,wow,fantastic bonge la songi
2 Reactions
12 Replies
617 Views
Movie hizi mbili 'Wrong Turn' na 'Saw' zinaoneshwa katika vyumba viwili tofauti. Mpenzi wa 'Horror Movies' Utaingia wapi?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wadau Nafungua library hivi karibuni nahitaji mtu wa kunisaidia kupata movies na baadhi ya mahitaji yanayohusika na library
2 Reactions
11 Replies
547 Views
GENERAL DEFAO mara ya kwanza nasikiliza album ya Defao (Defao Matumona) ilikuwa inaitwa General and Big Stars mwaka 1993 nlipenda saut ya huyu jamaa alikuwa naimba kw autulivu flani ingawa sikuwa...
27 Reactions
246 Replies
55K Views
Aloha kakahiaka.... Kama wewe ni mpenzi wa kutazama mieleka kwa muda mrefu na unawafahamu baadhi ya wacheza mieleka utagundua kwamba michoro/tattoo zilizopo kwenye mikono na mabega ya The Rock...
31 Reactions
71 Replies
5K Views
Nimekuwa mpenzi wa nature docs, izo ni baadhi ya nilizonazo, nipeni mapendekezo ya nyingine nzuri zaidi nizicheki.
0 Reactions
2 Replies
244 Views
Salaam Huu uzi ni kwaajili ya animation (cartoon) kali ambazo uwezo angalia. Pia kujulishana ambazo zitatoka. Animation yangu ya kwanza ilikua ni Big Hero 6, hii ilinifanya niwe mpenzi na...
9 Reactions
153 Replies
15K Views
TITLE: RIPOTI YA MKAGUZI. SEHEMU YA KWANZA. NDANI-OFISI YA MZEE WOTA. Mzee Wota, Bwana wa miaka 60 hivi, ameketi akiwa makini akisoma kilichopo kwenye Lap top, huku akibofya keyboard ya Lap top...
6 Reactions
39 Replies
6K Views
Wakuu! Hivi suala la Mdundo wa Taifa limeishia wapi? Au fedha za Watanzania zilitumika bure? Kamati iliundwa, ikazunguka nchi nzima kukusanya sampuli na elements kutoka kwa kila kabila, juhudi...
0 Reactions
2 Replies
382 Views
Mimi napenda muziki hata usiwe maarufu au hitsong. Watu wengi uwa wanashangaa nyimbo nazosikiliza wanasema ni nzuri sometimes wanakuwa hawajazisikia kabisa. Nakupa list ya baaadhi ya nyimbo za...
2 Reactions
9 Replies
800 Views
Katika kuleta ubunifu na ufanisi kwenye ufundishaji, Mwalimu Kalesi ameibua hisia mitandaoni baada ya kutumia wimbo maarufu wa msanii Mbosso, "Pawa", kufundishia wanafunzi wake darasani. Kipande...
5 Reactions
6 Replies
930 Views
Chose your favourite one to play Moana. 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10.
0 Reactions
6 Replies
337 Views
Nimewahi kumuona Zuchu anaimba akiwa kama na mavazi ya wanafunzi, pia nimewahi kuona Bangor la picha ya maigizo bongo muigizaji kavaa sketi kama mabinti wa shule. Hii ni sahihi
1 Reactions
8 Replies
342 Views
Filamu ya kipekee iitwayo "100 Years" ilitayarishwa mwaka 2015 lakini haitatolewa hadi mwaka 2115. Mradi huu, ulioongozwa na Robert Rodriguez na kuandikwa na kuigizwa na John Malkovich...
3 Reactions
9 Replies
339 Views
SIMULIZI. MSITU WA VIFO: MTUNZI. Dogoli kinyamkela ☠️💀. Songa nayo........ SEHEMU YA KWANZA: MLANGO USIOONEKANA Usiku ulikuwa mzito. Anga lilitapakaa mawingu meupe yaliyofunika mwezi kana...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Ni visa ambavyo vimewahi kufanya watu wanisikilize kwa umakini mkubwa, kuwa na hamu ya kuendelea kuwasimulia nilipoishia na kuniomba updates. Sioni haja tena ya kusimulia visa vyangu kama hakuna...
1 Reactions
8 Replies
593 Views
Wakuu, Kwenye haya maisha kwa kweli hamna kitu muhimu kama kujichagulia angle yako. Leo nilikutana na wimbo mmoja wa msiba wa Marehemu Komba. Kiukweli huyu jamaa alikuwa ni genius. Kuna ule...
3 Reactions
28 Replies
955 Views
Mwimbaji na mtunzi hodari wa zamani wa bendi ya Zaiko Langa Langa ya Congo Likinga Mangenza 'Redo' amefariki dunia nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 59. Likinga alitamba na Zaiko Langa Langa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom