Nyota ya mtu inaweza kufifia lakini bado kuna watu wataendelea kuithamini na kuiona ni nyota bora kuliko zote.
Amonaizy Wamataizy ni jina maarufu sana mkoa wa Kigoma hususani wilaya ya Kasulu...
GENERAL DEFAO
mara ya kwanza nasikiliza album ya Defao (Defao Matumona) ilikuwa inaitwa General and Big Stars mwaka 1993 nlipenda saut ya huyu jamaa alikuwa naimba kw autulivu flani ingawa sikuwa...
Aloha kakahiaka....
Kama wewe ni mpenzi wa kutazama mieleka kwa muda mrefu na unawafahamu baadhi ya wacheza mieleka utagundua kwamba michoro/tattoo zilizopo kwenye mikono na mabega ya The Rock...
Salaam
Huu uzi ni kwaajili ya animation (cartoon) kali ambazo uwezo angalia. Pia kujulishana ambazo zitatoka.
Animation yangu ya kwanza ilikua ni Big Hero 6, hii ilinifanya niwe mpenzi na...
TITLE: RIPOTI YA MKAGUZI.
SEHEMU YA KWANZA.
NDANI-OFISI YA MZEE WOTA.
Mzee Wota, Bwana wa miaka 60 hivi, ameketi akiwa makini akisoma kilichopo kwenye Lap top, huku akibofya keyboard ya Lap top...
Wakuu!
Hivi suala la Mdundo wa Taifa limeishia wapi? Au fedha za Watanzania zilitumika bure?
Kamati iliundwa, ikazunguka nchi nzima kukusanya sampuli na elements kutoka kwa kila kabila, juhudi...
Mimi napenda muziki hata usiwe maarufu au hitsong. Watu wengi uwa wanashangaa nyimbo nazosikiliza wanasema ni nzuri sometimes wanakuwa hawajazisikia kabisa.
Nakupa list ya baaadhi ya nyimbo za...
Katika kuleta ubunifu na ufanisi kwenye ufundishaji, Mwalimu Kalesi ameibua hisia mitandaoni baada ya kutumia wimbo maarufu wa msanii Mbosso, "Pawa", kufundishia wanafunzi wake darasani.
Kipande...
Nimewahi kumuona Zuchu anaimba akiwa kama na mavazi ya wanafunzi, pia nimewahi kuona Bangor la picha ya maigizo bongo muigizaji kavaa sketi kama mabinti wa shule. Hii ni sahihi
Filamu ya kipekee iitwayo "100 Years" ilitayarishwa mwaka 2015 lakini haitatolewa hadi mwaka 2115. Mradi huu, ulioongozwa na Robert Rodriguez na kuandikwa na kuigizwa na John Malkovich...
SIMULIZI.
MSITU WA VIFO:
MTUNZI.
Dogoli kinyamkela ☠️💀.
Songa nayo........
SEHEMU YA KWANZA: MLANGO USIOONEKANA
Usiku ulikuwa mzito. Anga lilitapakaa mawingu meupe yaliyofunika mwezi kana...
Ni visa ambavyo vimewahi kufanya watu wanisikilize kwa umakini mkubwa, kuwa na hamu ya kuendelea kuwasimulia nilipoishia na kuniomba updates.
Sioni haja tena ya kusimulia visa vyangu kama hakuna...
Wakuu,
Kwenye haya maisha kwa kweli hamna kitu muhimu kama kujichagulia angle yako.
Leo nilikutana na wimbo mmoja wa msiba wa Marehemu Komba. Kiukweli huyu jamaa alikuwa ni genius.
Kuna ule...
Mwimbaji na mtunzi hodari wa zamani wa bendi ya Zaiko Langa Langa ya Congo Likinga Mangenza 'Redo' amefariki dunia nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 59. Likinga alitamba na Zaiko Langa Langa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.