Wakuu,
Jana Netflix walitangaza kwamba movie au animation ya "K Pop Demon Hunters" ndio movie ambayo imeangaliwa zaidi Netflix.
Hiyo filamu iliingia sokoni mwezi Juni na kufikia sasa...
Leo kwa heshima kubwa naomba nikupe simulizi ya ndugu watatu kutoka Uingereza ambao walitupatia vionjo matata sana katika nyimbo zao, ni kaka watatu ambao ukiwatazama utaona ni kama hawafahamu...
Huu wimbo umejaa matusi mno sijui hii sanaa ya hawa vijana wa bongo fleva wainaipeleka wapi ni uchafu mtupu hasa verse ya Roma nae maua kaingia mkenge katika huu wimbo wa uchafu.
Baba yake na...
They see me rollin'
They hatin'
Patrollin' and tryna catch me ridin' dirty
Tryna catch me ridin' dirty
Kwa wale wahenga haya mashairi yanawarudisha mbali sana, miaka ya 2006, ambapo mashairi haya...
Tuwape maua yao South Afrika kipindi kile cha COVID-19 zilidondoka amapiano kila ngoma ilikuwa fire moja kati ya hizo ngoma ilikuwa Jerusalema ya Master KG hili dude lilikuwa habari nyingine...
Kampuni YouTube iliondoa trending video kwenye app Yao sasa trending utaipata kwenye app Yao nyingine inayoitwa YouTube music ambayo imeunganishwa na YouTube yenyewe ukiingia kwenye app Yao...
Wakuu,
Nadhani wote tunajua kuwa sasa hivi Bongo FLeva haisikilizwa Tanzania pekee.
Kuna watu kutokea pande mbalimbali za dunia wako busy kweli kusikiliza muziki wetu.
Nimeona tujikumbushe...
Amani ni Tunda la Haki (Yak. 3:18).
Kazi ya haki ni kuleta amani (Isa. 32:17)
Pasipo Haki, hakuna Amani.
Furaha na upendo ni matunda pacha na amani (Wagalatia 5:22)
Mama Kanisa anatutuma kama...
Baada ya kuona kuwa nyumbani kunanichosha jioni ile, nikaamua niende katika baa iliyokuwa mtaa wa nne kutoka katika nyumba niliyokuwa naishi.
Pindi nilipowasili katika lango kuu la baa nililakiwa...
Serikali iache ukale.
Mambo yamebadilika, jeshi sio nguvu, jeshi sio adui wa mwananchi bali rafiki wa mwananchi.
Wasanii wa vichekesho wapate vibali vya kuvaa nguo za jeshi au zinazolingana na...
Wale wenzangu ambao kila upatapo muda unakimbilia section ya reality TV shows pita hapa.
TV shows zangu mara nyingi naangalizia Netflix, DSTV[app] na Showmax.
My favorite so far:
1. Young...
Nyota ya mtu inaweza kufifia lakini bado kuna watu wataendelea kuithamini na kuiona ni nyota bora kuliko zote.
Amonaizy Wamataizy ni jina maarufu sana mkoa wa Kigoma hususani wilaya ya Kasulu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.