Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu, Jana Netflix walitangaza kwamba movie au animation ya "K Pop Demon Hunters" ndio movie ambayo imeangaliwa zaidi Netflix. Hiyo filamu iliingia sokoni mwezi Juni na kufikia sasa...
0 Reactions
1 Replies
620 Views
Leo kwa heshima kubwa naomba nikupe simulizi ya ndugu watatu kutoka Uingereza ambao walitupatia vionjo matata sana katika nyimbo zao, ni kaka watatu ambao ukiwatazama utaona ni kama hawafahamu...
0 Reactions
2 Replies
795 Views
Huu wimbo umejaa matusi mno sijui hii sanaa ya hawa vijana wa bongo fleva wainaipeleka wapi ni uchafu mtupu hasa verse ya Roma nae maua kaingia mkenge katika huu wimbo wa uchafu. Baba yake na...
19 Reactions
154 Replies
34K Views
They see me rollin' They hatin' Patrollin' and tryna catch me ridin' dirty Tryna catch me ridin' dirty Kwa wale wahenga haya mashairi yanawarudisha mbali sana, miaka ya 2006, ambapo mashairi haya...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Tuwape maua yao South Afrika kipindi kile cha COVID-19 zilidondoka amapiano kila ngoma ilikuwa fire moja kati ya hizo ngoma ilikuwa Jerusalema ya Master KG hili dude lilikuwa habari nyingine...
0 Reactions
2 Replies
438 Views
Kampuni YouTube iliondoa trending video kwenye app Yao sasa trending utaipata kwenye app Yao nyingine inayoitwa YouTube music ambayo imeunganishwa na YouTube yenyewe ukiingia kwenye app Yao...
3 Reactions
1 Replies
270 Views
Wakuu, Nadhani wote tunajua kuwa sasa hivi Bongo FLeva haisikilizwa Tanzania pekee. Kuna watu kutokea pande mbalimbali za dunia wako busy kweli kusikiliza muziki wetu. Nimeona tujikumbushe...
1 Reactions
4 Replies
711 Views
Amani ni Tunda la Haki (Yak. 3:18). Kazi ya haki ni kuleta amani (Isa. 32:17) Pasipo Haki, hakuna Amani. Furaha na upendo ni matunda pacha na amani (Wagalatia 5:22) Mama Kanisa anatutuma kama...
0 Reactions
1 Replies
518 Views
Baada ya kuona kuwa nyumbani kunanichosha jioni ile, nikaamua niende katika baa iliyokuwa mtaa wa nne kutoka katika nyumba niliyokuwa naishi. Pindi nilipowasili katika lango kuu la baa nililakiwa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Choose your favourite to play Captain Jack Sparrow 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10.
0 Reactions
5 Replies
460 Views
Serikali iache ukale. Mambo yamebadilika, jeshi sio nguvu, jeshi sio adui wa mwananchi bali rafiki wa mwananchi. Wasanii wa vichekesho wapate vibali vya kuvaa nguo za jeshi au zinazolingana na...
3 Reactions
6 Replies
416 Views
Wale wenzangu ambao kila upatapo muda unakimbilia section ya reality TV shows pita hapa. TV shows zangu mara nyingi naangalizia Netflix, DSTV[app] na Showmax. My favorite so far: 1. Young...
6 Reactions
41 Replies
1K Views
Nyota ya mtu inaweza kufifia lakini bado kuna watu wataendelea kuithamini na kuiona ni nyota bora kuliko zote. Amonaizy Wamataizy ni jina maarufu sana mkoa wa Kigoma hususani wilaya ya Kasulu...
0 Reactions
9 Replies
737 Views
Dah huu wimbo Katam,diamond kaimba ya yule mkenya wa sauti sol bien,wow,fantastic bonge la songi
2 Reactions
12 Replies
616 Views
Movie hizi mbili 'Wrong Turn' na 'Saw' zinaoneshwa katika vyumba viwili tofauti. Mpenzi wa 'Horror Movies' Utaingia wapi?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wadau Nafungua library hivi karibuni nahitaji mtu wa kunisaidia kupata movies na baadhi ya mahitaji yanayohusika na library
2 Reactions
11 Replies
547 Views
Back
Top Bottom