Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

kwenye wimbo "Demokrasia ya Mapenzi" nasikia sauti ya Bichuka na kina Moshi William. Ni kweli Bichuka alishawahi kuitumikia Msondo?
1 Reactions
3 Replies
270 Views
Imekuwa ni tabia ya DSTV kupandisha gharama zao kila kukicha. Juzijuzi kama mtu ulilipia compact ilitakiwa kulipa Tshs.60,000 leo hii malipo ya compact ni Tshs.67,000. Hawa watu wanatuona...
6 Reactions
20 Replies
978 Views
Muandaaji wa matamasha mtanzania au mrundi anaeishi Canada PCK adai miezi ijayo Chris atafanya show kwa Mkapa na tayari ashaongea na management yake na kukubaliana kila kitu venue itakuwa LAKI na...
1 Reactions
14 Replies
780 Views
Wana jamvi leo nawaletea stori ya maisha niliyopitia, harakati za maisha, mapenzi, uonevu fitina na uchawi vyote utavipata hapa, ni true stori, lakini majini ya vijiji na watu nitabadilsha kwa...
24 Reactions
2K Replies
385K Views
Freedom or jail, clips inserted A baby's bein' born same time a man is murdered The beginning and end, so far as rap goes It's only natural, I explain my plateau And also what defines my name...
1 Reactions
4 Replies
625 Views
Mwk 1977 nyimbo 7 *Selemani *Sakina *Aziza *Dada nalia *Dawa ya mapenzi *Azimio la Arusha *Benk ya biashara Mwk 1978 nyimbo 6 *Mwana acha wizi: Mabera *Mpenzi Zalina: Bitchuka *Ccm: Mwanyiro...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Jina langu ni Juma. Miaka mitatu iliyopita, nilikuwa kivuli cha mwanadamu – niliishi mitaani, nilitegemea bangi, heroini, na kila aina ya dawa ya kulevya kupumua. Nilikuwa nimepotea. Nilikuwa...
7 Reactions
3 Replies
729 Views
JF huwa ni moja ya sehemu zangu za kujiburudisha hususani kwa ‘ID’ hii. Kwa kuwa nimepata muda kidogo wa kuandika na tarehe ya leo ni kumbukumbu yangu ya siku ya kuzaliwa, nimeona nianze kuwaletea...
40 Reactions
402 Replies
96K Views
Mimi sio mambo yangu sana haya, ila hii kombolela wanajitahidi sana, Imeweka familia yangu watoto na wife muda wa jioni wanajumuika pamoja Angalau sahivi hela zangu za kulipia kifurushi haziendi...
6 Reactions
56 Replies
2K Views
Habari wakuu Mwenye link ya movie ya salo 120 days of Sodom au kunielekeza wapi kwa kuipata ninaitafta sn anijuze please
0 Reactions
4 Replies
651 Views
UJASUSI, UPELELEZI NA MAPIGANO 1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA...4000 2. I WANT TO DIE JUDGE...4000 3. GEREZA LA HAZWA...5000 4. INNOCENT KILLER (THE REVENGE)/ MUUAJI ASIYE NA HATIA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HAKUNA ALIYE SALAMA  Mtunzi: Robert Heriel 0693322300 Chungu cha 01 Kinu alikuwa ameketi kwenye wheelchair, akitingisha kichwa chake kwa taratibu, udenda ukimtoka mdomoni. Macho yake yalikuwa...
10 Reactions
48 Replies
10K Views
Kwa midundo ya hip hop, Kati ya Lamar na Marco Chali. Yuli ni hatari zaidi??
0 Reactions
4 Replies
254 Views
1. The Blacklist 2. Dexter 3. Castle 4. Bones 5. White Collar 6. The Killing 7. Better Call Saul 8. Justified 9. True Detective 10. S.W.A.T 11. Body of Proof 12. The Wire 13. Luther 14. Criminal...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Ina maana Azama mmekosa kabisa movie za maana zinazosisimua, zinazoburudisha na kuelimisha? Fahari haieleweki kichwa na mkia viko wapi, hakuna connection and continuity naona tu wahusika...
0 Reactions
0 Replies
317 Views
Ni rahisi kuziita common confused terminologies ambapo wapo wanaojua tofauti kati yao na huzichanganya kimazoea lakini wapo wanaotumia dhana hizi kwa kuzichanganya pasipo kujua tofauti zao. Hawa...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Namaanisha gereji ambayo Ray c aliitolea Video ya wimbo wake wa Sogea sogea. Moja kati ya video bora kwangu ya muda wote. https://youtu.be/Y-syuomKwdk?si=3aZ6f8Zi5JjWAXrG
0 Reactions
0 Replies
217 Views
wakuu habari ninahitaji katuni ya kirikuu (swahili version) kwa ajili ya watoto hawajawahi kuiona na wameniomba niwaletee. Tafadhali kama kuna mwenye kunisaidia niipate nitashukuru.
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Simulizi; NITAMLEA Mtunzi; Robert Heriel +225693322300 Taikon Publisher Presents Chungu 01. “Kosa lake nini mpaka nimuue mtoto huyu asiye na hatia? Sitaki kuingia kwenye majuto ya kukitoa...
2 Reactions
30 Replies
6K Views
ILIKUWA ni asubuhi chungu kuliko zote nilizopata kuamka. Nilitetemeka na mwili wote ulifukuta kwa maumivu yasiyomithilika, jasho halikuwa mbali namni. Nilihisi utumbo ukijinyongorota ndani kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom