NYIMBO ZOTE ZILIZOKO "YOU TUBE"
kwenye account ya (MusicPress) ni Production zangu mwenyewe za Video kwa mikono yangu pia Nyimbo zote kwenye account yangu You Tube (DJ. Don Nalimison) nimegonga...
Je, kuna ukweli wowote kuhusu ndoto zinazojirudia?
Wakuu uzi huu ninaouleta kwenu unahusu mengi kuhusiana na ndoto ikiwemo ndoto za kujirudia pamoja na ndoto zengine tusizozielewa zina maana gani...
Video ya kusisimua inayosambaa mtandaoni imeonesha Tembo mmoja anamkumbatia mwanamke kwa upole huku akimsikiliza akiimba, akionesha wazi jinsi Wanyama wanavyoweza kuungana kihisia na binadamu...
Kwa mwenendo wa movie za kibongo kukosa radha kwenye vitu vya uhalisia ....mimi nimeamua kula course baadae niwe na movie production ambayo itakuwa advanced na inaweza kutengeneza movie za aina...
Za leo wakuu
Nauliza hili, maana pia naona simulizi nyingi humu na za kuvutia zikiwa ndefu vya kutosha. Nitafaidika vipi na utaratibu ni upi wa kuanza kuweka?
Natanguliza shukrani zangu
Nimewamind sana!, yani mimi na ujasiri wote nilionao lakini machozi yakataka kunitoka na hapo nilikuwa naangalia peke yangu!, ningekuwa na yule mshangazi wangu ningeaibika sana!..
Kusema kweli...
Mwaka 2010 uliingia kwenye vitabu vya historia ya Bongo Fleva kama moja ya miaka ya kipekee kupitia shindano la Bongo Star Search (BSS).
Ndani ya jukwaa hilo maarufu la kusaka vipaji, alijitokeza...
Habari zenu wanajamvi wenzangu!
Shimmy wenu niko hapa. Leo, nataka tuingie kwenye safari kidogo. Hebu nikuulize kitu, shemeji. Umeshawahi kumpenda mtu kiasi kwamba unajua fika huyu ndiye wako...
Kuna wakati roho yako inahitaji zaidi ya maneno – inahitaji wimbo. Wimbo unaogusa nafsi, unaobeba uzima, unaoinua moyo wako kutoka uchovu wa maisha hadi kwenye faraja ya kiroho. Kama unapenda...
Baadhi ya nyimbo zinakuwa zina capture moments...yaani nyakati Fulani hivi ...na mood ya Taifa au ya walio Wengi wakati huo...
1. Nipe Tano - Daz nundaz..
Huu Wimbo unawakilisha nyakati ..kama...
NI KIPI SIASA IMETUAHIDI? KIFO, UKOMBOZI AU MAPINDUZI?
KUWA SEHEMU YA HISTORIA YA UHURU WA MAPINDUZI YA KISIASA.
KARATA YA MAUAJI ✅
Kwenye ulimwengu wa kibebari dunia haina ukoloni tena wa...
Imekuwa ni tabia ya DSTV kupandisha gharama zao kila kukicha. Juzijuzi kama mtu ulilipia compact ilitakiwa kulipa Tshs.60,000 leo hii malipo ya compact ni Tshs.67,000. Hawa watu wanatuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.