Peter Tosh na walilia amani

ilogelo

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
726
711
Katika kupitia maoni ya JF members, nimekutana na post ya Roman Israel Esq ambayo kutokana na upeo wangu kuwa mdogo nimeshindwa kumuelewa Tosh.

Sijui shida yake ilikuwa ni nini. Je, hakutaka amani ama? Wajuvi na wataalam wa mambo na lugha naombeni kujuzwa tafadhari, Je?

1. Peter Tosh alikuwa na shida gani?
2. Alimaanisha nini katika wimbo huu?
3. Tuna lolote la kujifunza kama jamii?
4. Kwani ni vibaya kulilia amani?

"Roman Israel esq" katika post yake anasema:

Peter Tosh! anasema kila mtu analilia amani, lakini hakuna anayelilia haki na usawa. Anasema: "I man dont need no peace! I need equal rights and justice"

Everyone is crying out for peace, yes
None is crying out for justice
Everyone is crying out for peace, yes
None is crying out for justice
I don't want no peace
I need equal rights and justice
I need equal rights and justice
I need equal rights and justice
Got to get it, equal rights and justice
Everybody want to go to heaven
But nobody want to die (father of the Jesus)
Everybody want to go up to heaven
But none of them, none of them want to die
I don't want no peace
I man need equal rights and justice
I got to get it, equal rights and justice
I really need it, equal rights and justice
Just give me my share, equal rights and justice
What is due to Caesar
You better give it all to Caesar, yeah, yeah, yeah
And what belong to I and I
You better, you better give it up to I
'Cause I don't want no peace
I need equal rights and justice
I need equal rights and justice
I've got to get it, equal rights and justice
I'm a fighting for it, equal rights and justice
Everyone is heading for the top
But tell me how far is it from the bottom
Nobody knows but everybody fighting to reach the top
How far is it from the bottom
I don't want no peace
I need equal rights and justice
I need equal rights and justice
I've got to get it, equal rights and justice
I really need it, equal rights and justice
Everyone is talking about crime
Tell me who are the criminals
I said everyone is talking about crime, crime
Tell me who, who are the criminals
I really don't see them
I don't want no peace
I need equal rights and justice
We got to get equal rights and justice
And there will be no crime, equal rights and justice
There will be no criminals, equal rights and justice
Everyone is fighting for equal rights and justice
Palestinians are fighting for equal rights and justice
Down in Angola, equal rights and justice
Down in Botswana, equal rights and justice
Down in Zimbabwe, equal rights and justice
Down in Rhodesia, equal rights and justice
 
Mfano mbona tunao hapa Tz? Tunayo amani, lakini hatuishi kulalamika haki zetu zinavyosiginwa na kuchukuliwa.
Anachoamini yeye ni kuwa kukosa na haki na usawa, basi amani itakuwapo, lakini ikiwa kinyume chake, kama hapa kwetu, ndio unasikia mara wameandamana, mara kwenye kutawanya maandamano Akwilina kapigwa risasi, kifupi hakuna amani.
 
Mfano wa Tosh ndio mfano wa wanafki wa Tanzania.

CCM na Viongozi wa dini wanalilia Amani lakini hawaongelei kuhusu Haki, mauaji na uminywaji wa uhuru .

Amani ni zao la Haki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom