Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,927
Mambo vipi?
Kuna wimbo nautafuta mpaka leo sijajua ni nani ila ulikuwa unapendwa kupigwa sana TBC kipindi cha jioni cha miziki, alieimba ni mdada sijui jina lake, anamwimbia jamaa kwamba, " napotapata mpenzi wangu haupo wala sikuoni, bicoz I love you", harafu ghafla anatoka ndani ameshika kashikilia mabaloon au maputo akakimbia nayo mpaka Maeneo ya baharini akafika pale akayaachilia yakapaa angani?
Nb: nahisi ntaupata kwa kuambiwa jina tu
Kuna wimbo nautafuta mpaka leo sijajua ni nani ila ulikuwa unapendwa kupigwa sana TBC kipindi cha jioni cha miziki, alieimba ni mdada sijui jina lake, anamwimbia jamaa kwamba, " napotapata mpenzi wangu haupo wala sikuoni, bicoz I love you", harafu ghafla anatoka ndani ameshika kashikilia mabaloon au maputo akakimbia nayo mpaka Maeneo ya baharini akafika pale akayaachilia yakapaa angani?
Nb: nahisi ntaupata kwa kuambiwa jina tu