Wakongwe wa Madisko

Wakongwe wa Madisko

mkumbwa junior

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
841
Reaction score
1,668
Hivi kwa nn siku hizi tukienda disco haipigwagi blues?

Ukute ulienda peke yako bila mupenzi halafu muda wa blues ufike [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaona mtu anazunguka kona zote, utasema midfield kishet, anahaha kuangalia msichana gani yuko pekee, mwisho anatoka nje kwenye kibanda cha kukatia ticket kama kuna anayeingia alone umuwahi.
.
Maana ukimpata muda wa blues hakuna kuongea tena, ndio ushakuwa mmiliki. Kukumbatiana kucheza ilikuwa kitu cha thamani sana....yaani full midenda...kupapasa kama kote unaenda mpaka kusikoendeka lol nimekumbuka sana zamani[emoji2957][emoji24][emoji3]
.
Nipe hadithi yako;

[emoji830]︎Ulikuwa unamuanzaje mdada ambaye hukuja nae ili mcheze blues? Maana unaweza kuja nae na akasema anaona aibu au hajawahi au anaogopa au hawezagi........[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

[emoji830]︎Wimbo gani ulikuwa unakubamba sana ktk mbambiano?

[emoji830]︎Huko kwenu lipi lilikuwa disco kali?
[emoji830]︎Unaweza kumbuka viwalo vilivyosha miaka hiyo
[emoji830]︎Tuongee, tukumbuke
.
FB_IMG_1635855472046.jpg
 
Hivi kwa nn siku hizi tukienda disco haipigwagi blues?

Ukute ulienda peke yako bila mupenzi halafu muda wa blues ufike [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaona mtu anazunguka kona zote, utasema midfield kishet, anahaha kuangalia msichana gani yuko pekee, mwisho anatoka nje kwenye kibanda cha kukatia ticket kama kuna anayeingia alone umuwahi.
.
Maana ukimpata muda wa blues hakuna kuongea tena, ndio ushakuwa mmiliki. Kukumbatiana kucheza ilikuwa kitu cha thamani sana....yaani full midenda...kupapasa kama kote unaenda mpaka kusikoendeka lol nimekumbuka sana zamani[emoji2957][emoji24][emoji3]
.
Nipe hadithi yako;

[emoji830]︎Ulikuwa unamuanzaje mdada ambaye hukuja nae ili mcheze blues? Maana unaweza kuja nae na akasema anaona aibu au hajawahi au anaogopa au hawezagi........[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

[emoji830]︎Wimbo gani ulikuwa unakubamba sana ktk mbambiano?

[emoji830]︎Huko kwenu lipi lilikuwa disco kali?
[emoji830]︎Unaweza kumbuka viwalo vilivyosha miaka hiyo
[emoji830]︎Tuongee, tukumbuke
.View attachment 1995812
Nilimdandia demu simjui hanijui tukacheza mziki na nikamguza uroro vichakani
 
Madisko ya welcome form one au form five usipime. Zinapigwa nyimbo za celine dion, i love you, judy bucher, cant be together this night, nsync, this i promise, whitney houston, greatest love, ebwanae kama huna demu wa kukumbatiana itabidi ujikumbatie mwenyewe huku ukitazama wenzako wakicheza taratibu muziki laini wenye maneno matamu ya kimapenzi. Ilikuwa raha sana. Ila blues bado zinapigwa kidogo sana kwenye sherehe za harusi zinazofanyika ukumbini usiku mnene, hiyo ni kwa madj wa miaka ya nyuma wanapiga hizo blues
 
Zilisikika sauti dj punguza taa! noma kwa kumbi ambazo hazikuwa makhsusi taa tubelight zinamulika kama zimetumwa hapo ukauzu ulitumika kubambia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom