The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,654
DStv Wana channel inaitwa Nat Geo, wana kipindi kinaitwa Banged-up Abroad.
Kipindi kizuri Sana kinahusu watu waliokamatwa nje ya nchi kwa makosa kama madawa au kutekwa na waasi.
Real life stories.
Kipo kila siku kuanzia saa tano usiku.
Hiki kipindi nakipenda sana.
Anyone else anaetazama hiki?
Kipindi kizuri Sana kinahusu watu waliokamatwa nje ya nchi kwa makosa kama madawa au kutekwa na waasi.
Real life stories.
Kipo kila siku kuanzia saa tano usiku.
Hiki kipindi nakipenda sana.
Anyone else anaetazama hiki?