Naomba mwenye playlist ya nyimbo za gospel zinapigwa kwenye masherehe (harusi) plus na zile za zamani kama vile "eeh yahwe simbanga, hakuna Mungu kama wewe, ni kwa neema.
Natanguliza Shukrani
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za injili, tukutane huku kwenye hii website ya nyimbozainjili
bado matengenezo yanaendelea, hususani muonekano, lakini unaweza kusikiliza Gospel.
Injili lazima...
Wale wakongwe wenzangu watakubaliana nami kuwa Hip Hop ya Bongo haikuwa nyuma katika mistari makini ,majigambo na style za kutisha. Kwa sasa wapo vijana wanaoweza kuuendeleza Music huu hapa Bongo...
Wakuu naomba mtu alie na huu wimbo tafadhali uliimbwa kwenye miaka ya mwanzo ya 2000. Ukazuiliwa na watetezi wa haki za wanawake... remix yake nadhani ilikuwa ni genda heka.
=======
KABURINI AMA GEREZANI!
NA; BAHATI MWAMBA
SIMU; 0658564341/0758573660.
1: KIKAO…
Ilikuwa ni ndani ya baa moja maarufu sana ndani ya jiji la Dar es laam, baa ambayo milango yake haikuwahi...
Pamoja na Tanzania kukubalika na wengi kwamba imeishikilia bendera ya rap ya Afrika Mashariki kwa historia yake yote, mchango wa hawa jamaa kwenye sanaa si wa kubeza.
Saigon was in his bag on...
Kwakweli nisiwe mnafiki,zipo nyimbo nyingi sana zinazopendeza kusikiliza.
Ila ukweli mchungu R kelly katika safari ya maisha yake,hii nyimbo "YOUR BODY 's CALLING "" nibonge mojaa la nyimbo,hasa...
Congratulations
I have a message for you
God has sent me to you
Listen
Say you can never be the one
But God make I tell you say
Say now you him choose
In one month in one week
You will sing a...
CHORUS:
hii ni kwa wote mademu watafutaji,
hii ni kwa wote mademu watafutaji,
zidisha nguvu kwenye kazi, watafutaji,
sasa nasema nao nyie, watafutaji,
zidisha nguvu kwenye kazi, watafutaji.
sasa...
Wema wa BWANA na fadhili zake zinanitosha, Kukaa nyumbani mwake MUNGU wangu, siku zote za Maisha yangu!
Siangalii wanadamu, Namuangalia MUNGU wangu peke yake! Aweza kunitoa kwenye shida, na...
Nyie kuna huu wimbo unaitwa NENDA wa msanii mmoja anaitwa STRONG DADY huyu msanii ni Upcoming ila balaa lake sio dogo jamani.
Mimi nimeguswa sana na huu wimbo wa huyu msanii STRONG DADY wimbo...
PENZI LA PENINA
Chapter 1
Oh lameck tulia bas tusifanyie hapa.... Unaona sasa wanatukuta watu... Usifanye hivo basi mpenzi...... Haya weka basi mara moja oh nilishutuka toka ndotoni..
Ilikuwa ni...
IMESIMULIWA NA DOKTA MUNGWA KABILI
SIMU : 0744 - 000 473 .
MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME
Msukule ni nini ?
Msukule ni mtu au sehemu ya mtu iliyo chukuliwa na...
VERSE 01;
kimo cha hekima za ndugu sasa ni dhaifu,
imani zao chache na wamekosa uaminifu,
wako radhi kuua ndugu na kumdhulumu mkufu,
au kama si kumuua basi watamuacha na upofu,
wakati tafsiri wa...
Watoto wa mjini Dar waliamshwa na magoma hayo.
Kama ukucheza hayo na umri wako wa Sasa ni 40-50 elewa wewe sio wa mjini.
Sitaki kusema majina ya watu wenye majina yao maana leo wapo kivingine...