Simulizi ya kweli mimi na mpenzi wangu peninia

Simulizi ya kweli mimi na mpenzi wangu peninia

msukule mzembe

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2022
Posts
296
Reaction score
375
PENZI LA PENINA
Chapter 1
Oh lameck tulia bas tusifanyie hapa.... Unaona sasa wanatukuta watu... Usifanye hivo basi mpenzi...... Haya weka basi mara moja oh nilishutuka toka ndotoni..
Ilikuwa ni ndoto majira ya saa tisa usiku natafakari sana juu ya msichana mrembo sana mbaka nafikia kiasi cha kumuota... Jina langu naitwa lameck naish kijiji kimoja pembeni kidg ya ya jiji maarufu san kijiji cha wakati...

Usiku ule nilishindwa kulala kabisa sababu nateseka juu ya msichana, hisia zangu zimekuwa kuntu sana kwake lakin kwa ajili ya kitu kidogo san ndo nateseka
Nimekuwa muoga san kuzielezea hisia zangu juu yake kiswahili cha mtaani wanaita domo zege
Mawazo yananiandama juu ya tatizo langu na mtu ninaye mpenda siendani nae...

Ghafla alikuja mjomba ninae ishi nae kunitazam maana nilikuwa nikijigeuza tu kweny mkeka
Hujalala tu au ndoto zimeanza kukusumbua tena aliuliza mjomba
Ah aah haha hamna mjomb nimesh shi shtuka usingizn nilijibu kwa kigugumizi san
Lala kesho tuwah kibaruani
Saw mjomba bas nilianza safari ya kuutafuta usingizi ten

Nilishtuliwa na saut ya mjomba iliy kuj kwa ukali mno
We unalal mbk saiv utakula nin?
Nilikurupuka mkekani oh ilikuwa sa nne asubuh nilifika nje nkakutana na mjomba

Oh maskini umekojoa tena mkekani, fasta nilivishwa makopo na kuanza kuzungushwa mtaani huku nikizomewa na watoto kikojozi eeh kikojozi.....
ITAENDELEA
BY msukule mzembe 0687............
 
PENZI LA PENINA
chapter 2
Nilikosa cha kufanya nilizungushwa huku na kule mtaani aibu ikinishika
Kundi la watoto lilinizunguka huku wakiendlea na wimbo wao, vijana baadhi walinibeza san wngine walonionea huruma Kila mwenye uwezo wa kufanya chochot alifanya.......

Nilizungushwa mbaka ilip fika saa saba mchana ndipo mjomba aliwaondoa waache kunizomea kitendo hiki binasfi nilikuwa sikipend na si kwamba nilikuwa naharibu mazingira kwa kupenda Bali ni hali ambay Ilikuwa ikinitokea.....

Lameck utakojoa mbaka lini mbona unanitilia aibu sana miaka 25 Sio mtoto wew kusema hujui baya na zuri
Aliongea mjomb kwa huzun san
Mjomba mimi Sio kwamba napenda lakin inanitokea tu, nilijarib kujitetea
Saw lakin unafungua mbak unaisha hushtuki tu hata Kma kujisahau Sio kias hicho..... Haya chakula kipo huko ndani...
Niliingia ndani nikakikuta chakula lakin ckuwa na ham ya kula kabisa nilizama kwenye dimbwi la mawazo huku zaidi iliniumiza itakuwaj cku nikienda kwa PENINA na hizi skendo..
Lakini Leo hakuwepo penina nilijifariji hivo mwsho nilipumzika tu
Ilifika jioni nilitoka ndani nikamkuta mjomba kakaa nje nilienda pembeni nikajitenga nae
Toka bwana kajichanganye na wenzio kutwa unakaa ndani Kama mfungwa alifoka mjomba
Nilikosa la kujibu niliinuka tu nikaanza safar huku nikijiuliz naingiaje mtaani itakuwaj nikikutana na penina

Mwsho niliamua kuelekea kwa rafiki angu wa karbu sana
Nilifika mahali alipo kuwa akiishi niligong mlango wake zilipta dakik kadhaa alifungua
Aaaaaaah kikojozi vp dah ile tu salam moyo ulijwa sana na uchungu nilishindwa hata kuijibu
Sema Nin nipo na mpenzi KWA hyo Leo hatuto ongea we so domo zege bwan oooh hyo ikawa Kma mkuki tena moyon niliondok bila kusema kitu machozi yalianza nitoka nilifk mbele machozi yakiendlea kwa mbele nikamuon penina....
Itaendelea by msukule mzembe
06870................
 
PENZI LA PENINA
Chapter 1
Oh lameck tulia bas tusifanyie hapa.... Unaona sasa wanatukuta watu... Usifanye hivo basi mpenzi...... Haya weka basi mara moja oh nilishutuka toka ndotoni..
Ilikuwa ni ndoto majira ya saa tisa usiku natafakari sana juu ya msichana mrembo sana mbaka nafikia kiasi cha kumuota... Jina langu naitwa lameck naish kijiji kimoja pembeni kidg ya ya jiji maarufu san kijiji cha wakati...

Usiku ule nilishindwa kulala kabisa sababu nateseka juu ya msichana, hisia zangu zimekuwa kuntu sana kwake lakin kwa ajili ya kitu kidogo san ndo nateseka
Nimekuwa muoga san kuzielezea hisia zangu juu yake kiswahili cha mtaani wanaita domo zege
Mawazo yananiandama juu ya tatizo langu na mtu ninaye mpenda siendani nae...

Ghafla alikuja mjomba ninae ishi nae kunitazam maana nilikuwa nikijigeuza tu kweny mkeka
Hujalala tu au ndoto zimeanza kukusumbua tena aliuliza mjomba
Ah aah haha hamna mjomb nimesh shi shtuka usingizn nilijibu kwa kigugumizi san
Lala kesho tuwah kibaruani
Saw mjomba bas nilianza safari ya kuutafuta usingizi ten

Nilishtuliwa na saut ya mjomba iliy kuj kwa ukali mno
We unalal mbk saiv utakula nin?
Nilikurupuka mkekani oh ilikuwa sa nne asubuh nilifika nje nkakutana na mjomba

Oh maskini umekojoa tena mkekani, fasta nilivishwa makopo na kuanza kuzungushwa mtaani huku nikizomewa na watoto kikojozi eeh kikojozi.....
ITAENDELEA
BY msukule mzembe 0687............
Kuna jamaa yangu ana namba za Ngugi Wa Thiong'o
 
Back
Top Bottom