MADEMU WATAFUTAJI BY AT FT STANBOY

Lyrics Master

JF-Expert Member
Apr 2, 2016
470
621
CHORUS:
hii ni kwa wote mademu watafutaji,
hii ni kwa wote mademu watafutaji,
zidisha nguvu kwenye kazi, watafutaji,
sasa nasema nao nyie, watafutaji,
zidisha nguvu kwenye kazi, watafutaji.
sasa nasema naooooo

VERSE 01:
unavutia si kicheche halafu unanukia kinoma/
unahangaikia maisha yako nakukubali nikikuona/
ngoja sifa nikupe ila usiniangushe, ngoja sifa nikupee/
huchezi mahepe,huna matata, huna mapepe/
ukiwa na mashaka,silent nikupate kama alivyo mashaka/
silencer nikubusu mpaka uamue kusogea/
huyu demu ana misimamo kama Magret/
kila saa anawaza kutafuta peeeesa/
alishawastukia wote wale wanaomzukia/
ofa kibao ameshapewa ye kapuuzia/
alishadanganywa na mamen kibao/
lakini ameshastuka leo wotehawana chao/
hajajitumbukiza kwenye umalaya/
wala kuvuta kaya/
wala kufanya hata mambo mabaya/
hategemei za dingi/
ka-struggle miaka mingi/
na si kwamba kapata mshefa kamuingiza king/
bado unalipa kifaa,simama imara/
kimsimamo kama Mama Getruda Mongela/
wewe ndio mwanamke wa shoka, hujachoka/
bado unadai, unaweza ukawa Oprah au Mama Wangai Mathaaaaiiiiiii
 
Back
Top Bottom