Naomba mwenye wimbo wa 'Madungayembe'

Naomba mwenye wimbo wa 'Madungayembe'

getrusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
2,150
Reaction score
1,824
Wakuu naomba mtu alie na huu wimbo tafadhali uliimbwa kwenye miaka ya mwanzo ya 2000. Ukazuiliwa na watetezi wa haki za wanawake... remix yake nadhani ilikuwa ni genda heka.

=======

 
Wanawake wazuri wazuri wameolewa yamebaki manungayembe yanahangaika, manungayembe yanahangaika. By Ngoni Tribe. Ilipelekea Lady Jay Dee nae atoe wimbo wake kujibu mapigo kwa wanaume.
 
Hahahahaha lakini kweli, manunga yembe wako wengi sana siku hizi
 
Nahisi unaweza upata rubega.com huwa kuna old school nyingi sana mkuu.
 
Wapi nilidhani wewe Chanda na Mimi Pete yake, nani aliimba??
 
Wakuu naomba mtu alie na huu wimbo tafadhari uliimbwa kwenye miaka ya mwanzo ya 2000. Ukazuiliwa na watetezi wa haki za wanawake... remix yake nadhani ilikuwa ni genda heka
Hawa washkaji wapo zao hapa Dar Ukonga Mombasa ni vinyozi wazuri kwa sasa wana saloon yao hapo Mombasa.
 
Mkuu ulifanikiwa kupata hilo song unisogezee na mimi?
Wakuu naomba mtu alie na huu wimbo tafadhari uliimbwa kwenye miaka ya mwanzo ya 2000. Ukazuiliwa na watetezi wa haki za wanawake... remix yake nadhani ilikuwa ni genda heka
 
Wakuu, mimi nautafuta wimbo unaitwa 'Sanura' umeimbwa na marehemu Tongolanga. Wimbo huu niliusikia mwaka Jana mwishoni (2017) Moshi fm Radio (Kilimanjaro), nadhani ni wimbo wa zamani lakini niliupenda sana mwenye nao naomba anisaidie!
 
Back
Top Bottom