Misukule wa nguvu za kiume

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,106
27,085
ULOZI.jpg





IMESIMULIWA NA DOKTA MUNGWA KABILI

SIMU : 0744 - 000 473 .





MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME

Msukule ni nini ?



Msukule ni mtu au sehemu ya mtu iliyo chukuliwa na kufichwa kichawi kwa lengo la kutumikishwa kazi na shughuli mbalimbali za kichawi.

Misukule wengi wanao chukuliwa , huchukuliwa kwa lengo la kutumikishwa kwenye mashamba, biashara,migodi, uvuvi, masokoni, madukani, ulinzi na kwenye shughuli mbalimbali za kichawi.

Kwa ufupi misukule wengi huchukuliwa kwa sababu ya masuala ya mali na utajiri wa kichawi.

Misukule wengine huchukuliwa kwa ajili ya kufanya kazi ya chuma ulete. Hawa ni maarufu miongoni mwa wale ndugu zangu wanao pewa utajiri wa punje za kuku.

Kwa msio fahamu kuhusu utajiri wa aina hii ni kwamba, kuna vijiji fulani vipo katika wilaya mbili maarufu huko nyanda zap juu kusini, hutolewa utajiri wa kichawi maarufu kama utajiri wa kudonoa ama utajiri wa kuku, ama utajiri wa kuuza miaka.

Mtu anayefanyiwa kafara hii huingia agano maalumu la kichawi la kuuza haki yake ya kuishi duniani.

Mtu huyu atatazamwa kichawi ili kubaini amebakiza miaka mingapi ya kuishi hapa duniani.

Kama amebakiza miaka ishirini basi ataingizwa katika mkataba na wachawi kutoa sadaka baadhi ya miaka yake . Mfano katika miaka ishirini iliyo baki, anaweza akaambiwa atoe miaka kumi au kumi na tano au minane .

Kitakacho amua idadi ya miaka ya kuishi ya mtu huyo ni jini aliye katika mfumo wa kuku.

Zitachukuliwa punje za mchele zitawekwa ardhini halafu kuku huyo ataanza kudonoa punje moja baada ya nyingine.

Idadi ya punje atakazo donoa kuku huyo ndio idadi ya miaka ambayo mtu huyo ataishi. Kama miaka ya kuishi ya mtu huyo ni ishirini halafu kuku akadonoa punje kumi na mbili, basi maana yake ni kwamba mtu huyo ataishi miaka kumi na mbili ya utajiri mkubwa halafu miaka minane iliyo baki ataenda kuitumikia kama msukule.

Kinacho tokea hapo ni kwamba, muda wa mtu huyo unapomalizika, mtu huyo anachukuliwa kama msukule na kwenda kutumikishwa kwenye migodi iliyopo huko Congo au kutumika katika kuhamisha mali za mtu ambae muda wake wa kuishi kitajiri umekwisha kwenda kwa mtu mpya ambae anakuwa ameingia kwenye mkataba huu wa utajiri wa kichawi.

Nitalizungumzia kwa kina suala hili katika makala zangu zijazo.


Kama nilivyo dokeza hapo awali, msukule anaweza kuchukuliwa kama mtu mzima, au sehemu ya mtu kama vile akili, nyota ya mtu, nguvu za kiume, mbegu za uzazi kwa wanaume au mayai ya uzazi kwa upande wa wanawake , jicho moja , macho yote mawili nakadhalika.

Msukule huitwa jina tofauti kulingana na sehemu ya mwili wake iliyo chukuliwa msukule. Kwa mfano, mtu aliye chukuliwa akili zake huitwa ndondocha


Watu wengi wanafahamu kuhusu watu kamili walio chukuliwa misukule lakini hawajui kuhusu watu ambao wamechukuliwa nguvu za kiume.

NI NANI HAWA MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME ?


Msukule wa nguvu za kiume ni mwanaume mwenye kusumbuliwa na maradhi ya nguvu za kiume yanayo tokana na kurogwa.


Msukule wa nguvu za kiume ni mwanaume ambaye nguvu zake za kiume zimechukuliwa na kufichwa kichawi kwa lengo la kutumikishwa kama msukule.


Msukule wa nguvu za kiume ni mwanaume ambae nguvu zake za kiume zimetolewa kafara kwa ajili ya mali, biashara na utajiri wa kifisadi ama utajiri wa kichawi.



AINA ZA MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME


Misukule wa nguvu za kiume wapo wa aina kuu mbili :


AINA YA KWANZA

MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME AMBAO WAO WENYEWE WAMEZITOA KAFARA NGUVU ZAO ZA KIUME.


Aina hii ya misukule haijulikani na wengi lakini kiuhalisia wapo wanaume wengi sana ambao wao wenyewe kwa ridhaa yao wenyewe wameamua kutoa kafara nguvu zao za kiume kwa lengo la kupata mali na utajiri.

Hapa mwanaume anaenda kwa mganga kwa ajili ya kupata mali na utajiri, anapewa sharti la kutoa nguvu zake za kiume ili awe tajiri.

Mwanaume huyo atatakiwa kutoa mbegu zake za kiume ambazo zitatengenezwa kichawi na kutumika kama kafara ya mali na utajiri.

Kafara hii huwa ni kafara nzito sana !

Kwa maana nyingine,mwanaume aliye ingia katika mkataba huu wa kichawi, anakuwa ameingia mkataba wa kutoa watoto wake ambao bado hawajazaliwa.

Mara nyingi mkataba huu huwa ni kuwadumu yaani mwanaume huyo atakuwa hivyo hivyo katika siku zote za maisha yake na huwa na masharti mazito na inapo tokea mwanaume huyo akakiuka mojawapo kati ya masharti atakayo pewa, adhabu yake huwa nzito.

Wanaume walio katika kundi hili wao hawana shida kabisa na suala la wao kutokuwa na nguvu za kiume kwa sababu tayari wanajua nini chanzo cha tatizo lao.

Maelezo kuhusu wanaume walio katika kundi hili ni marefu sana kiasi siwezi kuyaelezea yote hapa, ila nina ahidi nitakapo pata muda siku za mbeleni nitaelezea kwa kina.

MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME AMBAO NGUVU ZAO ZIMECHUKULIWA KICHAWI BILA RIDHAA YAO WALA BILA KUJUA.


Idadi kubwa ya misukule wa nguvu za kiume ipo kwenye kundi hili. Hawa ni wanaume ambao nguvu zao za kiume zimeibwa ama kuchukuliwa na kufichwa kichawi kwa ajili ya kutumikishwa kichawi.

Ni wanaume ambao nguvu zao za kiume zimechukuliwa bila ridhaa yao .

Ni wanaume ambao nguvu zao za kiume zimechukuliwa bila wao kujua kama nguvu zao zimechukuliwa .

Wachawi wana amini kuwa, njia bora na ya uhakika ya kuiba kichawi ama kuchukua kitu cha mtu kichawi bila ridhaa yake ni kukichukua kitu hicho bila mhusika kujua kama kitu chake kimechukuliwa.

Huamini pia ili jambo hili liweze kufanikiwa ni lazima umbadilishie mhusika na kitu kingine kinacho fanana na kitu ulicho kichukua kutoka kwake ili mhusika asijue kama kitu chake kimechukuliwa.

Wakati wanaume walio katika kundi la kwanza nguvu zao za kiume wamezitoa kwa ridhaa yao wenyewe kwa ajili ya kupata mali, fedha na utajiri wa kichawi, wanaume walio katika kundi hili la pili, nguvu zao zimechukuliwa bila ridhaa yao wala bila wao kujua na kama hiyo haitoshi watu wengine wananufaika nazo bila wahusika kujua chochote kinacho endelea.

Wanaume hawa ndio wanaume walio katika kundi baya zaidi kwa sababu wao wanakuwa hawajui chochote kinacho endelea kuhusu nguvu zao.

Na kwa kuwa wanakuwa hawajui chanzo cha tatizo lao, basi hubaki kuhangaika na kuteseka katika maisha yao yote.


Mara nyingi wanakuwa wana amini maradhi yao ya nguvu za kiume yamesababishwa na mambo mbalimbali kama vile maradhi ya kisukari, presha, ngiri, chango la uzazi nakadhalika, lakini kiukweli, maradhi yao yanakuwa yamesababishwa na kurogwa. Nguvu zao zinakuwa zimechukuliwa kwa ajili ya kutumikishwa kichawi.

NI KATIKA MAZINGIRA YAPI NGUVU ZA KIUME ZA MTU ZINAWEZA KUCHUKULIWA KICHAWI.

Nguvu za kiume huwa zinachukuliwa kichawi kupitia mbegu za kiume za mwanaume aliye kusudiwa.

Mbegu hizo zaweza kuwa zimetoka kwa kulazimishwa au zaweza kuwa zimetoka kwa ridhaa ya mwanaume husika.

Vile vile mbegu hizo zaweza kuwa zimetoka bila mwanaume husika kujua au bila kuwa na uweze wa kucontrol zisitoke .


Matumizi na mahitaji ya mbegu za kiume yatategemea na namna ambavyo mbegu hizo zimepatikana. Kila namna ina matumizi yake ingawa zote hutumika katika matumizi mbalimbali ya kichawi.



MBEGU ZA KIUME AMBAZO ZIMETOKA KWA KULAZIMISHWA


Hizi ni mbegu zinazo toka baada ya mwanaume kufanya punyeto. Wachawi wanazihitaji sana mbegu za namna hii kwa ajili ya kufanya mambo yao ya kichawi na moja kati ya matumizi ya mbegu hizi ni katika ulozi wa mapenzi. Kumvuta mwanaume kimapenzi kwa nguvu. Kijana unae jishughulisha na biashara hii nakushauri uache mara moja.


MBEGU ZA KIUME AMBAZO ZIMETOKA KWA RIDHAA YA KE

Hizi ni mbegu zinazo toka baada ya mwanaume kufanya mapenzi na mwanamke.


MBEGU ZINAZO TOKA BILA MWANAUME KUJUA AU BILA KUWA NA UWEZO WA KUZI CONTROL

Hizi ni mbegu zinazo toka pindi mwanaume anapokuwa anafanya mapenzi na jinni mahaba usingizini. Wachawi wanazihitaji sana mbegu hizi kwa ajili ya matumizi yao ya kichawi. Unashauriwa kutosema kwa mwanamke ambae umelala nae kama umeota usiku unafanya mapenzi na mwanamke halafu ukamwaga au umeamka asubuhi umekuta mbegu zimetoka zenyewe.


NGUVU ZA ZINAWEZA KUCHUKULIWA VIPI KICHAWI?

Najua utakuwa unajiuliza na kushangaa, nguvu za kiume za mtu zinaweza kuchukuliwa vipi au katika mazingira yepi.

Nguvu za kiume zinaweza kuchukuliwa katika namna , njia na mazingira tofauti tofauti. Yafuatayo ni mazingira ambayo nguvu za kiume zinaweza kuchukuliwa kichawi.

NGUVU ZAKO ZA KIUME ZINAWEZA KUCHUKULIWA KUPITIA MCHEPUKO WAKO

Hii hutokea mara nyingi sana na nnaweza kusema idadi kubwa ya wanaume ambao nguvu zao zimechukuliwa kichawi ni kupitia michepuko yao.

Kinacho tokea hapa sio kwamba mchepuko wako ndio ana zifunga nguvu zako, la hasha isipokuwa mchepuko anakuwa ameenda kwa wachawi kuomba ndumba za kukufunga kimapenzi na kukutuliza au / na ndumba za kukufanya ukienda kutembea na mwanamke mwingine usisimame. Yeye lengo lake linakuwa ni zuri lakini katika mchakato wa lengo lake hilo linaweza kutokea suala la kufunga nguvu zako.

Mganga atamwambia huyo mchepuko wako, NENDA KALETE MBEGU AMA SHAHAWA ZA HUYO MWANAUME ULIYE KUJA KUMREKEBISHA.

Mbegu zako za kiume atazichukua katika mazingira yafuatayo :

Mosi : Kama huwa mnafanya tendo la ndoa bila kinga, ukisha kojoa atajifuta na kitambaa maalumu atakacho pewa kisha atakipeleka kwa mtaalamu.

Pili : kama huwa mnatumia kinga, ataomba akufute na kitambaa kwenye uume wako mara baada ya kumaliza kufanya tendo.

Au kama ataona utamstukia anaweza hata asihangaike kukufuta nazo ila atakacho kifanya ataenda kumwaga chooni au kwenye dustbin , dawa maalumu ya kichawi ambayo atakuwa amepewa na mganga.

Kumwaga dawa kwenye dustbin au chooni kutategemea na wewe kondomu yako umeitupa wapi baada ya tendo.

Kama uliitupa kwenye dustbin basi, hiyo dawa ataimwaga kwenye dustbin. Atakutegea umeenda bafuni au chooni, basi atamwaga dawa hiyo kwenye dustibin

Na kama kondom yako iliyo tumika utaenda kuitupa chooni basi dawa hiyo ya kichawi itaenda kutupwa chooni pia.

Dawa hiyo ni dawa ya kijini ambayo kazi yake ni kuchukua mbegu zilizotupwa jalalani au chooni na kuzipeleka kwa wachawi kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya kichawi.

Dawa hii inayo tupwa chooni au kwenye dustbin huwa inatupwa kwa lengo la kwanza kwenda kuzikomboa shahawa ambazo zimetupwa kwenye dustbin au chooni kutoka kwa majini wa jalalani na chooni kisha kuzipeleka mahali zilipo kusudiwa.

Hii ni kwa sababu, chooni na kwenye dustbin pia kuna majini wachafu . Ukitupa mbegu zako chooni au kwenye dustbin maana yake ni kwamba unakuwa umefungamanisha nyota yako na majini wachafu wa chooni au jalalani.

Ni nuksi kubwa sana kutupa kondomu iliyo tumika chooni au jalalani au kwenye dustbin, kwani majini wa maeneo hayo watakuingia kupitia mbegu zako na watajifungamanisha na nyota yako na nafsi yako.

Dalili utaanza kuziona kupitia kwenye udhaifu wa nguvu zako zap kiume ambao utaendana na kufifia kwa nyota yako kwa kasi ya ajabu.

Mambo yako yote yatakuwa machafu kama choo au jalala. Kuanzia kazi, biashara,mahusiano, afya yako ikiwemo nguvu zako za kiume.

Mchepuko wako akisha zipeleka mbegu zako kwa mganga, mganga ataziweka kwenye chungu au kibuyu maalumu , zitapikwa pamoja na dawa maalumu za kichawi kwa ajili ya kuzipima au kupima nyota yako kupitia mbegu zako.

Mganga akigundua nyota ya mwanaume husika ipo juu basi atazichukua mbegu hizo haraka sana na kuzitengeneza kichawi kwa ajili ya ima kuwauzia wachawi ama wafanya biashara wanaonunua misukule ya nguvu za kiume kwa ajili shughuli zao mbalimbali ima kukutengeneza ndondocha.


Kwenye kumtengeneza ndondocha mwanaume kwa kutumia mbegu zake za kiume huwa inakuwa hivi, huyo mwanamke akisha zichukua mbegu hizo na kuzipeleka kwa mganga, inafanywa kafara maalumu ya mnyama, halafu hizo mbegu zinapikwa na dawa maalumu za kichawi halafu huyo mwanamke anachanjiwa kwenye pande kuu saba za mwili wake.

Ni uchawi mzito sana huu. Matokeo yake ni kumfanya mwanaume huyo kuwa ndondocha na zezeta kwa mwanamke huyo. Pesa zote anazo zipata mwanaume huyo anakuwa anazipeleka kwa mwanamke aliye tengeneza uchawi huo.

Mbegu za kiume za mwanaume zinaweza kuchanganywa na dawa maalumu za kichawi, akalishwa kinyonga na kuunguzwa mzima mzima, halafu mwanaume huyo akailishwa dawa hiyo huku lengo likiwa ni kumtenganisha na familia yake na kuwa anawageuka na kuwabadilikia kama kinyonga.


Njia nyingine mbegu zako za kiume zinaweza kuchukuliwa kwa njia ya jini mahaba. Unaota usiku unafanya mapenzi na jini mahaba hadi unafika kileleni, kumbe lengo lilikuwa ni kuchukua mbegu zako za kiume.


Njia nyingine mbegu zako za kiume zinaweza kuchukuliwa kwa njia ya kufanya mapenzi na mwanamke mchawi ambae anataka kuiba nyota yako au kuchukua msukule nguvu zako.

Mwanamke huyu ataingia nyumbani kwako usiku wa manane kichawi na kufanya nawe mapenzi kwa lengo la kuchukua mbegu zako.

Wakati mwingine inaweza kutokea umeota usiku unafanya mapenzi na mwanamke unaye mfahamu au usie mfahamu hadi kufika kileleni. Ukiota ndoto hii jua unachezewa mchezo huu mchafu.

Wakati mwingine mbegu zako zinaweza kuchukuliwa kwa njia ya kufanya mapenzi kichawi na tunge la kike.

Tunge la kike litakuja kichawi hadi nyumbani kwako na kufanya mapenzi na wewe. Litapata ujauzito wako halafu mtoto atazaliwa. Huyu mtoto atakae zaliwa ndo atakae enda kutumika kama ndondocha kwenye biashara mbalimbali kama vile maduka nakadhailka.

Njia hii ndio inayo tumiwa sana na wachawi na wanaume wengi wameumizwa kupitia njia hii.


Njia nyingine ni pale nguvu za kiume zinapo chukuliwa wakati mtoto akingali mchanga. Njia ni hatari sana na ndio maana inashauriwa mama mjamzito kuwa makini na mwangalifu sana katika siku kumi na nne za mwanzo baada ya kujifungua mtoto wa kiume.

Ni katika kipindi hicho cha siku kumi na nne zap mwanzo ambazo wachawi huzitumia kutafuta kuiba nyota ya mtoto huyo wa kiume kupitia nguvu zake za kiume.

Nyota hii huwa inaibwa kupitia nguvu zake za kiume na huwa zinachukuliwa kupitia kitovu chake. Ndo maana unatakiwa kuwa makini sana na kitovu cha mtoto wako wa kiume kisiangukie uume wake wakati kinadondoka.

Katika kupambana na mtihani huu baadhi ya wazazi huwa wanavikata wenyewe vitovu vya watoto wao wa kiume na huwa wanatumia mafuta ya nazi, nyoya la kuku na dawa maalumu za jadi.

Narudia kwa mara nyingine tena unapaswa kuwa makini sana katika kipindi hiki.

Wachawi kupitia taaluma yao ya kichawi wanaweza kubaini nyota ya mtoto na kujua atakuja kuwa nani .

Ii kuzuia mtoto huyo asije kuwa vile alivyo pangiwa na Mwenyezi Mungu, wachawi hulazimika kuiba nyota ya mtoto husika na kuiuza kwa watu wengine na moja kati ya njia kuu wanazo weza kutumia katika kufanikisha nia yake ovu ni kuiba nguvu za kiume za mtoto huyo kwa njia za kichawi.

Pia wanaume wengine nguvu zao zimechukuliwa tangu wakiwa tumboni mwa mama zao. Wachawi wanaamini ya kwamba, ukitaka kukuiua kitu basi kiue kabla hakijazaliwa. Hapo ndipo linapo kuja suala la kuiba nguvu za watoto wa kiume tangu wakiwa tumboni mwa mama zao.

Ukitaka kujua kama mtoto wako nguvu zake zimeibwa tangu akiwa tumboni ishara ya kwanza ni pindi kitovu cha mtoto huyo kinapo mdondokea kwenye uume wake.

Vilevile Mbegu zako za kiume zinaweza kuchukuliwa kupitia kujichua.. Mbegu za mwanaume zinazo toka wakati wa kujichua hujulikana katika ulimwengu wa waganga kama MBEGU ZILIZO TOKA KWA KULAZIMISHWA.

Haijalishi unapo fanya punyeto unafuta kwenye karatasi, gazeti, kitambaa au unaacha zidondoke kwenye sakafu ya bafuni na kumwagia maji lakini jua, wachawi kwa kushirikiana na majini huwa wanachukua mbegu za kiume zinazo toka baada ya kujichua..

Kama huwa unajichua usiku chumbani kwako kitandani, asubuhi baada ya kuamka au bafuni ama chooni , basi jua wachawi huchukua mbegu zako na kuzitumia kwenye mambo yao ya kichawi.



MAMBO AU TABIA ZINAZO WEZA KUFANYA MBEGU ZAKO ZA KIUME ZICHUKULIWE NA WACHAWI.

Yafuatayo ni mambo yanayo weza kusababisha mbegu zako za kiume zichukuliwe.

i. Kufanya mapenzi na wanawake wanao uza miili yao “ HUKO HUWA ZINACHUKULIWA SANA “

ii. Kuwa na michepuko. Mwanaume fahamu unapokuwa na michepuko unakuwa unakaribisha nafasi ya wewe kufanyiwa ulozi wa kimapenzi. Hii ni kwa sababu michepuko wengi huwa wanatumia uchawi kuwatuliza wanaume wanao tembea nao. Sasa ikitokea bahati mbaya mchepuko wako katika kutafuta ndumba za kukutuliza, akakutana na wachawi wanao tumia mbegu za kiume katika shughuli zao basi ndugu yangu jua umekwisha.

iii. Kutupa kondom kwenye dustbin au chooni mara baada ya kufanya tendo la ndoa.

iv. Kufanya punyeto “ WANAO FANYA SHUGHULI HII NAWAHURUMIA SANA KWANI NI MOJA KATI YA WAHANGA WAKUU WA UCHAWI HUU HUKU WAO WAKIAMINI KUWA SHIDA YAO IMESABABISHWA NA PUNYETO.

v. Wanaume walio lelewa na mama za kambo ambao ni washirikina. Wanaume wengi ambao nimewatibu tatizo hili wametoka katika familia walizo lelewa na mama wa kambo.

Hii mara nyingi hutokea pindi mama wa kambo anapokuwa haja bahatika kupata watoto wa kiume,au hajabahatika kupata watoto halafu baba ana mali nyingi.

Akisukumwa na hofu ya kukosa mali ya mumewe mwanamke huyu anaweza kushawishika kwenda kwa waganga kuwadhibiti watoto wake wa kambo wa kiume. Mganga ataomba nguo za ndani za watoto hawa au mkojo au nguo iliyo kojolewa au atampa dawa ya kuwalisha kwenye chakula au kuwatega.


Kama watoto ni wakubwa mama huyu anaweza kushirikiana na binti ambapo binti atajilengesha kwa kijana aliye kusudiwa wataanzisha uhusiano wa kimapenzi na kisha kutumia fursa hiyo kupata mbegu za kiume za mwanaume husika. HATA HIVYO HII HAIMAANISHI KUWA AKINA MAMA WA KAMBO WOTE NI WABAYA. JAMBO HILI HUTOKEA KWA BAADHI YA AKINA MAMA WA KAMBO NA SIO WOTE. WAPO AKINA MAMA WA KAMBO AMBAO NI WAZURI KULIKO HATA MAMA WAZAZI.




vi. Kugombana ama kuachana na mchumba au mke . Mke anaweza kwenda kukutengeneza ili kukukomoa.

vii. Kuoa mwanamke mshirikina. Katika kutafuta ndumba zap kukutuliza anaweza kukutana na suala la kutakiwa apeleke mbegu zako.

viii. Wakati mwingine unaweza kufanyiwa hivi kwa sababu una maisha mazuri. Mtu anakufanyia uchawi huu kwa lengo la kuchukua nyota yako na kwenda kuitumikisha kama msukule wa biashara mali na utajiri.

ix. Kukataa mtoto

x. Kufuta uchumba na kuoa mwanamke mwingine

xi. Kutembea na mke wa mtu

xii. Kugombea mpenzi au mchumba.


Mtu anaweza kukuroga nguvu zap kiume ili kukukomoa, kwa mfano


Porini kuna mti unatoa vitunda vidogo vyenye rangi mbili nyeusi na nyekundu.


Mti huu huwa ni dawa ya maradhi ya mgolo ama bawaziri


Una majani matamu kama sukari ambayo wakati wa njaa huweza kutumika kutengenezea chai na pia huweza kutumika kutengeneza chai kwa watu wenye kusumbuliwa na maradhi ya kisukari.


Vipande saba vya mti huu vinachukuliwa halafu wanachukuliwa wanyama wa aina tatu tofauti wafugwao wanachinjwa kisha damu yao inachanganywa pamoja na dawa zitokanazo na miti ya porini aina saba halafu vinaenda kupikwa porini kisha zinafungwa kwenye chombo maalumu na kuzikwa kwenye makaburi saba tofauti kwa muda wa siku saba saba na njia panda saba tofauti tofauti kwa muda wa siku saba kisha zinazikwa kwenye milima miwili tofauti kwa muda wa siku saba.


Baada ya hapo, linachukuliwa bawa la ndege mmoja wa porini. Huyu ndege anatumiwa sana na wachawi “ NDEGE HUYU SIO BUNDI WALA SULULI WALA MKATA SANDA’.


Ndege huyu ana sifa moja kubwa katika ulimwengu wa wachawi. Nayo ni kwamba, ukichukua nyoya lake ukaliweka kwenye mto wa kwenye kitanda alicholalia mgonjwa, basi mgonjwa huyo hatopona bali atakufa na kama utaliweka chini ya mto alio lalia mtoto mchanga basi mtoto huyo atadumaa, hatokua.


Bawa la ndege huyu ndio linatumika kama kalamu ya kuandikia majina ya mkusudiwa pamoja na manuizo.


Majina na manuizo yakiisha kuandikwa, miti hiyo saba inaenda kutupwa barabarani kwenye barabara saba tofauti.


Miti hiyo ikigongwa na gari tu basi na mwanaume aliye kusudiwa anaanza kuugua maradhi ya nguvu za kiume.


Maradhi huanza taratibu na baadae huhitimu na kuwa sugu ambapo mhusika anaweza kufikia hatua ya kuwa hanithi kabisa.




KWANINI WACHAWI HUZICHUKUA MSUKULE NGUVU ZA KIUME

Kama nilivyo sema hapo awali wachawi huchukua kichawi nguvu za kiume kwa ajili ya kwenda kuzitumikisha kama misukule kwenye biashara, mali na utajiri.



KUNA UHUSIANO GANI KATI YA NGUVU ZA KIUME NA DAWA ZA UTAJIRI MALI NA BIASHARA ?

Najua lazima utakuwa umejiuliza swai hili, yafuatayo ni majibu ya swali hili.

Nguvu za kiume zina uhusiano mkubwa sana na damu. Nguvu za kiume ni damu na damu ndio nguvu za kiume.

Damu ndio uhai wa mwanadamu. Damu ndio roho ya mwanadamu na roho ya mwanadamu ndio damu. Damu huishi ndani ya roho ya mwanadamu na roho ya mwanadamu huishi ndani ya damu ya mwanadamu.

Roho ya mwanadamu hubeba akili na nafsi. Na nafsi ya mwanadamu hubeba nyota ya mwanadamu. Nafsi ya mwanadamu hubeba akili ya mwanadamu . Hisia za mwanadamu, Silka za mwanadamu, Hulka za mwanadamu na utashi wa mwanadamu.

Uanaume au unamke ni nafsi anayo zaliwa nayo mwanadamu. Nguvu za kiume ndio nafsi ya kwanza ya mwanaume. Hiyo ndio inayo mfanya awe mwanaume au ajione mwanaume.

Unapo chukua nyota ya mwanaume ambayo ndio nafsi ya mwanaume ambayo ndani yake ipo akili ya mwanaume ambayo ndio nguvu za kiume za mwanaume unakuwa umechukua nafsi ya mwanaume huyo ambayo ndio nyota yake.

Nguvu za kiume ndio chanzo cha uhai wa mwanadamu.

Nguvu zap kiume za mwanaume zinasimama badala ya nafsi ya mwanaume.

Unaposema fulani ni damu yangu maana yake ni kwamba fulani ni roho yako ambae amekuja duniani kupitia nguvu za kiume.

Katika ulimwengu wa waganga na wachawi, nguvu za kiume ni kielelezo cha uhai wa mwanaume husika.

Nguvu za kiume ni kielelezo cha ukamilifu wa mwanaume.

Hivyo wachawi wanapo chukua nguvu za kiume za mtu kwa lengo la kuzitumikisha kichawi,hufanya hivyo wakiwa wanajua wanacho kifanya.


UFANYE NINI KUEPUKA NGUVU ZAKO KUCHUKULIWA MSUKULE

Kitu kikubwa cha kufanya ni kuhakikisha unakuwa na kinga kubwa ambayo itawafanya wachawi wasiwe na uwezo wa kuchukua nguvu zako msukule.

Vile vile unatakiwa kujiepusha na tabia hatarishi ambazo nimezieleza hapo juu. Tabia hizo ni tabia zitakazo kuweka katika hatari kubwa ya nguvu zako kuchukuliwa kichawi.


UTAJUAJE KUWA NGUVU ZAKO ZA KIUME ZIMECHUKULIWA KICHAWI

Endapo utaonyesha dalili zifuatazo basi jua tatizo lako la nguvu za kiume limechukuliwa kichawi au zipo kwenye mpango wa kuchukuliwa.

1. Ukiwa na mwanamke mmoja unakuwa na nguvu lakini ukienda kwa wanawake wengine unakuwa hauna nguvu.

2. Umetumia tiba mbalimbali zap nguvu za kiume lakini huponi wala kupata nafuu yoyote.

3. Mpenzi, mchumba au mke wako anakudharau kwa sababu ya kutokuwa na nguvu za kiume.

4. Mpenzi wako anakukimbia kwa sababu hauna nguvu za kiume

5. Mpenzi au mke wako anatoka nje ya ndoa au mahusiano na mwanaume ambae unamzidi fedha na maisha kwa ujumla.

6. Umekuwa addicted na tabia ya kujichua na unashindwa kuacha.

7. Kuachana na kila mwanamke unayekuwa nae katika mahusiano

8. Kutodumu katika mahusiano

9. Kuwa na matatizo ya uzazi

10. Kufanikiwa chini ya kiwango : Kwa sababu suala hili huwa linaenda na kuchukuliwa nyota basi hata mafanikio unayo yapata huwa yanakuwa chini ya kiwango.

11. Kutojiamini wakati wa tendo la ndoa. Unashindwa kujiamini kwa sababu unakuwa na wasiwasi na uanaume wako.

12. Kuishiwa nguvu zap kiume

13. Maumbile kunyauka na kusinyaa na kuwa kama ya mtoto

14. Maumivi wakati wa tendo la ndoa

15. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa

16. Maumivu ya mgongo

17. Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.

18. Unaota unafanya mapenzi na mtu usie mjua NAKADHALIKA.



TIBA KWA MTU MWENYE MARADHI YA NGUVU ZA KIUME YANAYO TOKANA NA KUROGWA.

Kuwa na maradhi ya nguvu za kiume yanayo tokana na kurogwa maana yake ni kwamba ile sehemu ya kwenye nafsi na akili ya mwanaume ambayo inahusika na utashi, hisia na maamuzi sahihi, inakuwa imechukuliwa kichawi kwa lengo la kutumikishwa kichawi na badala yake linawekwa jinni maalumu la kichawi ambalo sasa ndio linasimama kama mbadala wa nafsi yako.

Jinni hili ndio litakalo kuwa lina control utashi , hisia na maamuzi yako.

Jinni huyu mchafu anakuwa ameamrishwa na kuapishwa kwa damu kufanya makazi yake katika nafasi yako. Anakuwa anautumia mwili wako kama sehemu yake ya makazi. Maamuzi utakayo kuwa unaya fanya kwa kiasi kikubwa yatakuwa na utashi na mapendeleo ya jinni huyu.


Jinni huyu huwa na sifa zifuatazo : Kwanza hakujui vizuri, hajui unapenda nini, hajui hupendi nini, hajui utashi wako ni nini wala hajui hisia zako zipo wapi , yeye anacho jua ni kufuata maelekezo aliyopewa ambayo ni kukaa ndani ya nafsi yako na ku ku -control.

Kwa kuwa jinni huyu hajui wewe unapenda kitu gani wala hajui kuhusu utashi wako wala hisia zako zipo wapi, hata unapokuwa katika mazingira ambayo kikawaida ulitakiwa kusisimkwa kimahaba unajikuta unashindwa kusisimka. Hii ni kwa sababu unakuwa sio wewe bali yeye.

Mfano mzuri unakuta mwanaume katika siku zap nyuma akiwa faragha na mke wake halafu mke wake akawa katika hali ya ufaragha, basi mwanaume “ atakasirika “ kweli kweli na atafanya tendo la ndoa vizuri kabisa.

Lakini cha ajabu ghafla hali inaanza kuwa tofauti, upo na mkeo faragha halafu jogoo anashindwa kuwika. Na wewe unadhani una stress au labda una kisukari au ulifanyaga sana punyeto ulipokuwa shuleni au una lehemu mbaya nakadhalika.

Sababu ya kushindwa kwako ni hiyo, kuna roho chafu imekaa kwenye nafsi yako, hiyo roho ndio inayo control hisia zako na utashi wako. Haijui kama wewe ni mwanaume au mwanamke, haijui unapenda nini haupendi nini, haijui hisia zako zipo wapi ndio maana unapokutana na mke wako, unashindwa kufanya unacho takiwa kufanya.


Wakati mwingine jinni huyu mbali na kutokukujua lakini pia anaweza kuwa hapendi kabisa ngono ya aina yoyote ile iwe ni ngono halali yani mke na mume au ngono haramu yani mwanaume na mchepuko.

Hivyo unapokuwa unataka kufanya tendo la ndoa, jinni huyu anakuwa anakuzuia kwa kukata mawasiliano yako kwenye ubongo na kukuondolea msisimko.

Hii ni kwa sababu jinni huyu sasa ndio anaekumiliki kama chombo chake na hawezi kukuacha mpaka siku unaondoka duniani au labda itokee aondolewe kwa nguvu.

Tendo la ndoa linakuwa linampa kero kubwa . Anakuwa hapendi kukuona ukiwa unafanya tendo hilo, hivyo akiona unataka tu kufanya anakuzuia kwa njia niliyo ieleza hapo juu, matokeo unaishia kupoteza hamu ya tendo la ndoa na hata ikitokea umefanya unafanya kwa muda mfupi na kumaliza na kushindwa kurudia kabisa huku ukimuacha mwenzi wako akiwa bado hajapanda mlima.

Wakati mwingine jinni huyu anaweza kuwa jinni mahaba ambae anakuwa amefungishwa ndoa nawewe bila ridhaa yako.

Jinni huyu atakuwa anafanya mapenzi na wewe na kumaliza nguvu zako zote. Na kwa kuwa jinni huyu atakuwa anakupenda na kuwa na wivu na wewe ili kukuzia usiende nje basi atafunga nguvu zako za kiume.


TIBA YA TATIZO HILI NI KWANZA KUMUONDOA HUYU JINI, KUONDOA UCHAFU AMBAO UMEPANDWA KWENYE MWILI WAKO, KUONDOA UUME WA KICHAWI AMBAO UMEPANDWA KWENYE MWILI WAKO KAMA MBADALA WA UUME WAKO ULIO CHUKULIWA NA KISHA KUKUSAFISHA HALAFU MWISHO KUKUPIKIA DAWA MAALUMU AMBAYO ITARUDISHA NGUVU ZAKO NA KUKUFANYA UFURAHIE MAISHA YAKO YA NDOA KAMA ZAMANI.


MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA DOKTA MUNGWA KABILI. ANAPATIKANA KWA SIMU NAMBA

0744 - 000 473

KUSOMA MAKALA ZAKE MBALIMBALI KUHUSU ULIMWENGU USIO ONEKANA, TEMBELEA : www.mungwakabili.blogspot.com

CHANZO : MUNGWA KABILI BLOG
 
AISEEE NIMESHINDWA KUVUMILIA VITISHO VILIVYOMO KWENYE HII HABARI.IMENIBIDI KULALA SASA HIVI BILA KUPENDA.
Afu wakuu kufa maskini sio dhambi ila dhambi ni kufa tajiri afu utajiri wenyewe wa kishetani
 
Kumbee! Hivi naweza kuuza nguvu zangu za kiume kwa mtu. Kama mtu anahitaji kuwa tajiri na kaagizwa nguvu za kiume, naweza muuzia? Vipi kumuuazima kwa muda?
 
Nakubaliana na mengi yaliyoandikwa kwani kwa kutumia ELIMU MUNGU niliyonayo na KANUNI ZA UTENDAJI WA KIMUNGU na KIROHO, uliyozungumza yanafuata kanuni za SAYANSI ROHO.

ILA tu, hapa mwishoni kuhusu UPONYAJI wa matatizo hayo ndipo tunapotofautiana. HAKUNA MZIZI wa mti fulani au nyama ya mnyama fulani itakayoleta uponyaji ya kweli wa tatizo hili.

ILA nakubaliana na wewe 100% kuwa DAWA kubwa sana na pengine KINGA hasa ni kuacha vitu kama michepuko, na mambo mengine mabaya yaliyokatazwa na MUUMBA.

HALAFU, tubu makosa yako yote na kusudia kuacha DHAMBI.
 
AISEEE NIMESHINDWA KUVUMILIA VITISHO VILIVYOMO KWENYE HII HABARI.IMENIBIDI KULALA SASA HIVI BILA KUPENDA.
Afu wakuu kufa maskini sio dhambi ila dhambi ni kufa tajiri afu utajiri wenyewe wa kishetani
Usiogope ameandika kibiashara zaidi lazima awatishe kidogo :D.
 
Nakubaliana na mengi yaliyoandikwa kwani kwa kutumia ELIMU MUNGU niliyonayo na KANUNI ZA UTENDAJI WA KIMUNGU na KIROHO, uliyozungumza yanafuata kanuni za SAYANSI ROHO.

ILA tu, hapa mwishoni kuhusu UPONYAJI wa matatizo hayo ndipo tunapotofautiana. HAKUNA MZIZI wa mti fulani au nyama ya mnyama fulani itakayoleta uponyaji ya kweli wa tatizo hili.

ILA nakubaliana na wewe 100% kuwa DAWA kubwa sana na pengine KINGA hasa ni kuacha vitu kama michepuko, na mambo mengine mabaya yaliyokatazwa na MUUMBA.

HALAFU, tubu makosa yako yote na kusudia kuacha DHAMBI.
Dawa kali kabisa ni Damu ya Yesu Kristo peke yake...

Hiyo inaharibu mipango mingi ya nguvu za kuzimu.., na ndio maana mleta mada hataji jina hilo.., YESU..!

Akilitaja tuu..., au kunyunyizia damu ya Yesu ktk kazi yake.., ataharibu kila kitu..!
 
Nimefuatilia hii post yoote nione kama kuna sehemu atawashauri waathiriwa kumuomba Mungu wa Kweli ambye anwaponya wtu bure bila pesa, yyte na kwa uweza wa Roho Mtakatifu lkn sijaona hata jina la Yesu na kuwaasa wtu kuacha dhambi sijaona bado, wacha niangalie tena.....
 
Hapa kwa wenye kujihisi na tatizo hilo lzm wamtafute tu , maana amejitangaza vzr kweli.
 
ULOZI.jpg





IMESIMULIWA NA DOKTA MUNGWA KABILI

SIMU : 0744 - 000 473 .





MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME

Msukule ni nini ?



Msukule ni mtu au sehemu ya mtu iliyo chukuliwa na kufichwa kichawi kwa lengo la kutumikishwa kazi na shughuli mbalimbali za kichawi.

Misukule wengi wanao chukuliwa , huchukuliwa kwa lengo la kutumikishwa kwenye mashamba, biashara,migodi, uvuvi, masokoni, madukani, ulinzi na kwenye shughuli mbalimbali za kichawi.

Kwa ufupi misukule wengi huchukuliwa kwa sababu ya masuala ya mali na utajiri wa kichawi.

Misukule wengine huchukuliwa kwa ajili ya kufanya kazi ya chuma ulete. Hawa ni maarufu miongoni mwa wale ndugu zangu wanao pewa utajiri wa punje za kuku.

Kwa msio fahamu kuhusu utajiri wa aina hii ni kwamba, kuna vijiji fulani vipo katika wilaya mbili maarufu huko nyanda zap juu kusini, hutolewa utajiri wa kichawi maarufu kama utajiri wa kudonoa ama utajiri wa kuku, ama utajiri wa kuuza miaka.

Mtu anayefanyiwa kafara hii huingia agano maalumu la kichawi la kuuza haki yake ya kuishi duniani.

Mtu huyu atatazamwa kichawi ili kubaini amebakiza miaka mingapi ya kuishi hapa duniani.

Kama amebakiza miaka ishirini basi ataingizwa katika mkataba na wachawi kutoa sadaka baadhi ya miaka yake . Mfano katika miaka ishirini iliyo baki, anaweza akaambiwa atoe miaka kumi au kumi na tano au minane .

Kitakacho amua idadi ya miaka ya kuishi ya mtu huyo ni jini aliye katika mfumo wa kuku.

Zitachukuliwa punje za mchele zitawekwa ardhini halafu kuku huyo ataanza kudonoa punje moja baada ya nyingine.

Idadi ya punje atakazo donoa kuku huyo ndio idadi ya miaka ambayo mtu huyo ataishi. Kama miaka ya kuishi ya mtu huyo ni ishirini halafu kuku akadonoa punje kumi na mbili, basi maana yake ni kwamba mtu huyo ataishi miaka kumi na mbili ya utajiri mkubwa halafu miaka minane iliyo baki ataenda kuitumikia kama msukule.

Kinacho tokea hapo ni kwamba, muda wa mtu huyo unapomalizika, mtu huyo anachukuliwa kama msukule na kwenda kutumikishwa kwenye migodi iliyopo huko Congo au kutumika katika kuhamisha mali za mtu ambae muda wake wa kuishi kitajiri umekwisha kwenda kwa mtu mpya ambae anakuwa ameingia kwenye mkataba huu wa utajiri wa kichawi.

Nitalizungumzia kwa kina suala hili katika makala zangu zijazo.


Kama nilivyo dokeza hapo awali, msukule anaweza kuchukuliwa kama mtu mzima, au sehemu ya mtu kama vile akili, nyota ya mtu, nguvu za kiume, mbegu za uzazi kwa wanaume au mayai ya uzazi kwa upande wa wanawake , jicho moja , macho yote mawili nakadhalika.

Msukule huitwa jina tofauti kulingana na sehemu ya mwili wake iliyo chukuliwa msukule. Kwa mfano, mtu aliye chukuliwa akili zake huitwa ndondocha


Watu wengi wanafahamu kuhusu watu kamili walio chukuliwa misukule lakini hawajui kuhusu watu ambao wamechukuliwa nguvu za kiume.

NI NANI HAWA MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME ?


Msukule wa nguvu za kiume ni mwanaume mwenye kusumbuliwa na maradhi ya nguvu za kiume yanayo tokana na kurogwa.


Msukule wa nguvu za kiume ni mwanaume ambaye nguvu zake za kiume zimechukuliwa na kufichwa kichawi kwa lengo la kutumikishwa kama msukule.


Msukule wa nguvu za kiume ni mwanaume ambae nguvu zake za kiume zimetolewa kafara kwa ajili ya mali, biashara na utajiri wa kifisadi ama utajiri wa kichawi.



AINA ZA MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME


Misukule wa nguvu za kiume wapo wa aina kuu mbili :


AINA YA KWANZA

MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME AMBAO WAO WENYEWE WAMEZITOA KAFARA NGUVU ZAO ZA KIUME.


Aina hii ya misukule haijulikani na wengi lakini kiuhalisia wapo wanaume wengi sana ambao wao wenyewe kwa ridhaa yao wenyewe wameamua kutoa kafara nguvu zao za kiume kwa lengo la kupata mali na utajiri.

Hapa mwanaume anaenda kwa mganga kwa ajili ya kupata mali na utajiri, anapewa sharti la kutoa nguvu zake za kiume ili awe tajiri.

Mwanaume huyo atatakiwa kutoa mbegu zake za kiume ambazo zitatengenezwa kichawi na kutumika kama kafara ya mali na utajiri.

Kafara hii huwa ni kafara nzito sana !

Kwa maana nyingine,mwanaume aliye ingia katika mkataba huu wa kichawi, anakuwa ameingia mkataba wa kutoa watoto wake ambao bado hawajazaliwa.

Mara nyingi mkataba huu huwa ni kuwadumu yaani mwanaume huyo atakuwa hivyo hivyo katika siku zote za maisha yake na huwa na masharti mazito na inapo tokea mwanaume huyo akakiuka mojawapo kati ya masharti atakayo pewa, adhabu yake huwa nzito.

Wanaume walio katika kundi hili wao hawana shida kabisa na suala la wao kutokuwa na nguvu za kiume kwa sababu tayari wanajua nini chanzo cha tatizo lao.

Maelezo kuhusu wanaume walio katika kundi hili ni marefu sana kiasi siwezi kuyaelezea yote hapa, ila nina ahidi nitakapo pata muda siku za mbeleni nitaelezea kwa kina.

MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME AMBAO NGUVU ZAO ZIMECHUKULIWA KICHAWI BILA RIDHAA YAO WALA BILA KUJUA.


Idadi kubwa ya misukule wa nguvu za kiume ipo kwenye kundi hili. Hawa ni wanaume ambao nguvu zao za kiume zimeibwa ama kuchukuliwa na kufichwa kichawi kwa ajili ya kutumikishwa kichawi.

Ni wanaume ambao nguvu zao za kiume zimechukuliwa bila ridhaa yao .

Ni wanaume ambao nguvu zao za kiume zimechukuliwa bila wao kujua kama nguvu zao zimechukuliwa .

Wachawi wana amini kuwa, njia bora na ya uhakika ya kuiba kichawi ama kuchukua kitu cha mtu kichawi bila ridhaa yake ni kukichukua kitu hicho bila mhusika kujua kama kitu chake kimechukuliwa.

Huamini pia ili jambo hili liweze kufanikiwa ni lazima umbadilishie mhusika na kitu kingine kinacho fanana na kitu ulicho kichukua kutoka kwake ili mhusika asijue kama kitu chake kimechukuliwa.

Wakati wanaume walio katika kundi la kwanza nguvu zao za kiume wamezitoa kwa ridhaa yao wenyewe kwa ajili ya kupata mali, fedha na utajiri wa kichawi, wanaume walio katika kundi hili la pili, nguvu zao zimechukuliwa bila ridhaa yao wala bila wao kujua na kama hiyo haitoshi watu wengine wananufaika nazo bila wahusika kujua chochote kinacho endelea.

Wanaume hawa ndio wanaume walio katika kundi baya zaidi kwa sababu wao wanakuwa hawajui chochote kinacho endelea kuhusu nguvu zao.

Na kwa kuwa wanakuwa hawajui chanzo cha tatizo lao, basi hubaki kuhangaika na kuteseka katika maisha yao yote.


Mara nyingi wanakuwa wana amini maradhi yao ya nguvu za kiume yamesababishwa na mambo mbalimbali kama vile maradhi ya kisukari, presha, ngiri, chango la uzazi nakadhalika, lakini kiukweli, maradhi yao yanakuwa yamesababishwa na kurogwa. Nguvu zao zinakuwa zimechukuliwa kwa ajili ya kutumikishwa kichawi.

NI KATIKA MAZINGIRA YAPI NGUVU ZA KIUME ZA MTU ZINAWEZA KUCHUKULIWA KICHAWI.

Nguvu za kiume huwa zinachukuliwa kichawi kupitia mbegu za kiume za mwanaume aliye kusudiwa.

Mbegu hizo zaweza kuwa zimetoka kwa kulazimishwa au zaweza kuwa zimetoka kwa ridhaa ya mwanaume husika.

Vile vile mbegu hizo zaweza kuwa zimetoka bila mwanaume husika kujua au bila kuwa na uweze wa kucontrol zisitoke .


Matumizi na mahitaji ya mbegu za kiume yatategemea na namna ambavyo mbegu hizo zimepatikana. Kila namna ina matumizi yake ingawa zote hutumika katika matumizi mbalimbali ya kichawi.



MBEGU ZA KIUME AMBAZO ZIMETOKA KWA KULAZIMISHWA


Hizi ni mbegu zinazo toka baada ya mwanaume kufanya punyeto. Wachawi wanazihitaji sana mbegu za namna hii kwa ajili ya kufanya mambo yao ya kichawi na moja kati ya matumizi ya mbegu hizi ni katika ulozi wa mapenzi. Kumvuta mwanaume kimapenzi kwa nguvu. Kijana unae jishughulisha na biashara hii nakushauri uache mara moja.


MBEGU ZA KIUME AMBAZO ZIMETOKA KWA RIDHAA YA KE

Hizi ni mbegu zinazo toka baada ya mwanaume kufanya mapenzi na mwanamke.


MBEGU ZINAZO TOKA BILA MWANAUME KUJUA AU BILA KUWA NA UWEZO WA KUZI CONTROL

Hizi ni mbegu zinazo toka pindi mwanaume anapokuwa anafanya mapenzi na jinni mahaba usingizini. Wachawi wanazihitaji sana mbegu hizi kwa ajili ya matumizi yao ya kichawi. Unashauriwa kutosema kwa mwanamke ambae umelala nae kama umeota usiku unafanya mapenzi na mwanamke halafu ukamwaga au umeamka asubuhi umekuta mbegu zimetoka zenyewe.


NGUVU ZA ZINAWEZA KUCHUKULIWA VIPI KICHAWI?

Najua utakuwa unajiuliza na kushangaa, nguvu za kiume za mtu zinaweza kuchukuliwa vipi au katika mazingira yepi.

Nguvu za kiume zinaweza kuchukuliwa katika namna , njia na mazingira tofauti tofauti. Yafuatayo ni mazingira ambayo nguvu za kiume zinaweza kuchukuliwa kichawi.

NGUVU ZAKO ZA KIUME ZINAWEZA KUCHUKULIWA KUPITIA MCHEPUKO WAKO

Hii hutokea mara nyingi sana na nnaweza kusema idadi kubwa ya wanaume ambao nguvu zao zimechukuliwa kichawi ni kupitia michepuko yao.

Kinacho tokea hapa sio kwamba mchepuko wako ndio ana zifunga nguvu zako, la hasha isipokuwa mchepuko anakuwa ameenda kwa wachawi kuomba ndumba za kukufunga kimapenzi na kukutuliza au / na ndumba za kukufanya ukienda kutembea na mwanamke mwingine usisimame. Yeye lengo lake linakuwa ni zuri lakini katika mchakato wa lengo lake hilo linaweza kutokea suala la kufunga nguvu zako.

Mganga atamwambia huyo mchepuko wako, NENDA KALETE MBEGU AMA SHAHAWA ZA HUYO MWANAUME ULIYE KUJA KUMREKEBISHA.

Mbegu zako za kiume atazichukua katika mazingira yafuatayo :

Mosi : Kama huwa mnafanya tendo la ndoa bila kinga, ukisha kojoa atajifuta na kitambaa maalumu atakacho pewa kisha atakipeleka kwa mtaalamu.

Pili : kama huwa mnatumia kinga, ataomba akufute na kitambaa kwenye uume wako mara baada ya kumaliza kufanya tendo.

Au kama ataona utamstukia anaweza hata asihangaike kukufuta nazo ila atakacho kifanya ataenda kumwaga chooni au kwenye dustbin , dawa maalumu ya kichawi ambayo atakuwa amepewa na mganga.

Kumwaga dawa kwenye dustbin au chooni kutategemea na wewe kondomu yako umeitupa wapi baada ya tendo.

Kama uliitupa kwenye dustbin basi, hiyo dawa ataimwaga kwenye dustbin. Atakutegea umeenda bafuni au chooni, basi atamwaga dawa hiyo kwenye dustibin

Na kama kondom yako iliyo tumika utaenda kuitupa chooni basi dawa hiyo ya kichawi itaenda kutupwa chooni pia.

Dawa hiyo ni dawa ya kijini ambayo kazi yake ni kuchukua mbegu zilizotupwa jalalani au chooni na kuzipeleka kwa wachawi kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya kichawi.

Dawa hii inayo tupwa chooni au kwenye dustbin huwa inatupwa kwa lengo la kwanza kwenda kuzikomboa shahawa ambazo zimetupwa kwenye dustbin au chooni kutoka kwa majini wa jalalani na chooni kisha kuzipeleka mahali zilipo kusudiwa.

Hii ni kwa sababu, chooni na kwenye dustbin pia kuna majini wachafu . Ukitupa mbegu zako chooni au kwenye dustbin maana yake ni kwamba unakuwa umefungamanisha nyota yako na majini wachafu wa chooni au jalalani.

Ni nuksi kubwa sana kutupa kondomu iliyo tumika chooni au jalalani au kwenye dustbin, kwani majini wa maeneo hayo watakuingia kupitia mbegu zako na watajifungamanisha na nyota yako na nafsi yako.

Dalili utaanza kuziona kupitia kwenye udhaifu wa nguvu zako zap kiume ambao utaendana na kufifia kwa nyota yako kwa kasi ya ajabu.

Mambo yako yote yatakuwa machafu kama choo au jalala. Kuanzia kazi, biashara,mahusiano, afya yako ikiwemo nguvu zako za kiume.

Mchepuko wako akisha zipeleka mbegu zako kwa mganga, mganga ataziweka kwenye chungu au kibuyu maalumu , zitapikwa pamoja na dawa maalumu za kichawi kwa ajili ya kuzipima au kupima nyota yako kupitia mbegu zako.

Mganga akigundua nyota ya mwanaume husika ipo juu basi atazichukua mbegu hizo haraka sana na kuzitengeneza kichawi kwa ajili ya ima kuwauzia wachawi ama wafanya biashara wanaonunua misukule ya nguvu za kiume kwa ajili shughuli zao mbalimbali ima kukutengeneza ndondocha.


Kwenye kumtengeneza ndondocha mwanaume kwa kutumia mbegu zake za kiume huwa inakuwa hivi, huyo mwanamke akisha zichukua mbegu hizo na kuzipeleka kwa mganga, inafanywa kafara maalumu ya mnyama, halafu hizo mbegu zinapikwa na dawa maalumu za kichawi halafu huyo mwanamke anachanjiwa kwenye pande kuu saba za mwili wake.

Ni uchawi mzito sana huu. Matokeo yake ni kumfanya mwanaume huyo kuwa ndondocha na zezeta kwa mwanamke huyo. Pesa zote anazo zipata mwanaume huyo anakuwa anazipeleka kwa mwanamke aliye tengeneza uchawi huo.

Mbegu za kiume za mwanaume zinaweza kuchanganywa na dawa maalumu za kichawi, akalishwa kinyonga na kuunguzwa mzima mzima, halafu mwanaume huyo akailishwa dawa hiyo huku lengo likiwa ni kumtenganisha na familia yake na kuwa anawageuka na kuwabadilikia kama kinyonga.


Njia nyingine mbegu zako za kiume zinaweza kuchukuliwa kwa njia ya jini mahaba. Unaota usiku unafanya mapenzi na jini mahaba hadi unafika kileleni, kumbe lengo lilikuwa ni kuchukua mbegu zako za kiume.


Njia nyingine mbegu zako za kiume zinaweza kuchukuliwa kwa njia ya kufanya mapenzi na mwanamke mchawi ambae anataka kuiba nyota yako au kuchukua msukule nguvu zako.

Mwanamke huyu ataingia nyumbani kwako usiku wa manane kichawi na kufanya nawe mapenzi kwa lengo la kuchukua mbegu zako.

Wakati mwingine inaweza kutokea umeota usiku unafanya mapenzi na mwanamke unaye mfahamu au usie mfahamu hadi kufika kileleni. Ukiota ndoto hii jua unachezewa mchezo huu mchafu.

Wakati mwingine mbegu zako zinaweza kuchukuliwa kwa njia ya kufanya mapenzi kichawi na tunge la kike.

Tunge la kike litakuja kichawi hadi nyumbani kwako na kufanya mapenzi na wewe. Litapata ujauzito wako halafu mtoto atazaliwa. Huyu mtoto atakae zaliwa ndo atakae enda kutumika kama ndondocha kwenye biashara mbalimbali kama vile maduka nakadhailka.

Njia hii ndio inayo tumiwa sana na wachawi na wanaume wengi wameumizwa kupitia njia hii.


Njia nyingine ni pale nguvu za kiume zinapo chukuliwa wakati mtoto akingali mchanga. Njia ni hatari sana na ndio maana inashauriwa mama mjamzito kuwa makini na mwangalifu sana katika siku kumi na nne za mwanzo baada ya kujifungua mtoto wa kiume.

Ni katika kipindi hicho cha siku kumi na nne zap mwanzo ambazo wachawi huzitumia kutafuta kuiba nyota ya mtoto huyo wa kiume kupitia nguvu zake za kiume.

Nyota hii huwa inaibwa kupitia nguvu zake za kiume na huwa zinachukuliwa kupitia kitovu chake. Ndo maana unatakiwa kuwa makini sana na kitovu cha mtoto wako wa kiume kisiangukie uume wake wakati kinadondoka.

Katika kupambana na mtihani huu baadhi ya wazazi huwa wanavikata wenyewe vitovu vya watoto wao wa kiume na huwa wanatumia mafuta ya nazi, nyoya la kuku na dawa maalumu za jadi.

Narudia kwa mara nyingine tena unapaswa kuwa makini sana katika kipindi hiki.

Wachawi kupitia taaluma yao ya kichawi wanaweza kubaini nyota ya mtoto na kujua atakuja kuwa nani .

Ii kuzuia mtoto huyo asije kuwa vile alivyo pangiwa na Mwenyezi Mungu, wachawi hulazimika kuiba nyota ya mtoto husika na kuiuza kwa watu wengine na moja kati ya njia kuu wanazo weza kutumia katika kufanikisha nia yake ovu ni kuiba nguvu za kiume za mtoto huyo kwa njia za kichawi.

Pia wanaume wengine nguvu zao zimechukuliwa tangu wakiwa tumboni mwa mama zao. Wachawi wanaamini ya kwamba, ukitaka kukuiua kitu basi kiue kabla hakijazaliwa. Hapo ndipo linapo kuja suala la kuiba nguvu za watoto wa kiume tangu wakiwa tumboni mwa mama zao.

Ukitaka kujua kama mtoto wako nguvu zake zimeibwa tangu akiwa tumboni ishara ya kwanza ni pindi kitovu cha mtoto huyo kinapo mdondokea kwenye uume wake.

Vilevile Mbegu zako za kiume zinaweza kuchukuliwa kupitia kujichua.. Mbegu za mwanaume zinazo toka wakati wa kujichua hujulikana katika ulimwengu wa waganga kama MBEGU ZILIZO TOKA KWA KULAZIMISHWA.

Haijalishi unapo fanya punyeto unafuta kwenye karatasi, gazeti, kitambaa au unaacha zidondoke kwenye sakafu ya bafuni na kumwagia maji lakini jua, wachawi kwa kushirikiana na majini huwa wanachukua mbegu za kiume zinazo toka baada ya kujichua..

Kama huwa unajichua usiku chumbani kwako kitandani, asubuhi baada ya kuamka au bafuni ama chooni , basi jua wachawi huchukua mbegu zako na kuzitumia kwenye mambo yao ya kichawi.



MAMBO AU TABIA ZINAZO WEZA KUFANYA MBEGU ZAKO ZA KIUME ZICHUKULIWE NA WACHAWI.

Yafuatayo ni mambo yanayo weza kusababisha mbegu zako za kiume zichukuliwe.

i. Kufanya mapenzi na wanawake wanao uza miili yao “ HUKO HUWA ZINACHUKULIWA SANA “

ii. Kuwa na michepuko. Mwanaume fahamu unapokuwa na michepuko unakuwa unakaribisha nafasi ya wewe kufanyiwa ulozi wa kimapenzi. Hii ni kwa sababu michepuko wengi huwa wanatumia uchawi kuwatuliza wanaume wanao tembea nao. Sasa ikitokea bahati mbaya mchepuko wako katika kutafuta ndumba za kukutuliza, akakutana na wachawi wanao tumia mbegu za kiume katika shughuli zao basi ndugu yangu jua umekwisha.

iii. Kutupa kondom kwenye dustbin au chooni mara baada ya kufanya tendo la ndoa.

iv. Kufanya punyeto “ WANAO FANYA SHUGHULI HII NAWAHURUMIA SANA KWANI NI MOJA KATI YA WAHANGA WAKUU WA UCHAWI HUU HUKU WAO WAKIAMINI KUWA SHIDA YAO IMESABABISHWA NA PUNYETO.

v. Wanaume walio lelewa na mama za kambo ambao ni washirikina. Wanaume wengi ambao nimewatibu tatizo hili wametoka katika familia walizo lelewa na mama wa kambo.

Hii mara nyingi hutokea pindi mama wa kambo anapokuwa haja bahatika kupata watoto wa kiume,au hajabahatika kupata watoto halafu baba ana mali nyingi.

Akisukumwa na hofu ya kukosa mali ya mumewe mwanamke huyu anaweza kushawishika kwenda kwa waganga kuwadhibiti watoto wake wa kambo wa kiume. Mganga ataomba nguo za ndani za watoto hawa au mkojo au nguo iliyo kojolewa au atampa dawa ya kuwalisha kwenye chakula au kuwatega.


Kama watoto ni wakubwa mama huyu anaweza kushirikiana na binti ambapo binti atajilengesha kwa kijana aliye kusudiwa wataanzisha uhusiano wa kimapenzi na kisha kutumia fursa hiyo kupata mbegu za kiume za mwanaume husika. HATA HIVYO HII HAIMAANISHI KUWA AKINA MAMA WA KAMBO WOTE NI WABAYA. JAMBO HILI HUTOKEA KWA BAADHI YA AKINA MAMA WA KAMBO NA SIO WOTE. WAPO AKINA MAMA WA KAMBO AMBAO NI WAZURI KULIKO HATA MAMA WAZAZI.




vi. Kugombana ama kuachana na mchumba au mke . Mke anaweza kwenda kukutengeneza ili kukukomoa.

vii. Kuoa mwanamke mshirikina. Katika kutafuta ndumba zap kukutuliza anaweza kukutana na suala la kutakiwa apeleke mbegu zako.

viii. Wakati mwingine unaweza kufanyiwa hivi kwa sababu una maisha mazuri. Mtu anakufanyia uchawi huu kwa lengo la kuchukua nyota yako na kwenda kuitumikisha kama msukule wa biashara mali na utajiri.

ix. Kukataa mtoto

x. Kufuta uchumba na kuoa mwanamke mwingine

xi. Kutembea na mke wa mtu

xii. Kugombea mpenzi au mchumba.


Mtu anaweza kukuroga nguvu zap kiume ili kukukomoa, kwa mfano


Porini kuna mti unatoa vitunda vidogo vyenye rangi mbili nyeusi na nyekundu.


Mti huu huwa ni dawa ya maradhi ya mgolo ama bawaziri


Una majani matamu kama sukari ambayo wakati wa njaa huweza kutumika kutengenezea chai na pia huweza kutumika kutengeneza chai kwa watu wenye kusumbuliwa na maradhi ya kisukari.


Vipande saba vya mti huu vinachukuliwa halafu wanachukuliwa wanyama wa aina tatu tofauti wafugwao wanachinjwa kisha damu yao inachanganywa pamoja na dawa zitokanazo na miti ya porini aina saba halafu vinaenda kupikwa porini kisha zinafungwa kwenye chombo maalumu na kuzikwa kwenye makaburi saba tofauti kwa muda wa siku saba saba na njia panda saba tofauti tofauti kwa muda wa siku saba kisha zinazikwa kwenye milima miwili tofauti kwa muda wa siku saba.


Baada ya hapo, linachukuliwa bawa la ndege mmoja wa porini. Huyu ndege anatumiwa sana na wachawi “ NDEGE HUYU SIO BUNDI WALA SULULI WALA MKATA SANDA’.


Ndege huyu ana sifa moja kubwa katika ulimwengu wa wachawi. Nayo ni kwamba, ukichukua nyoya lake ukaliweka kwenye mto wa kwenye kitanda alicholalia mgonjwa, basi mgonjwa huyo hatopona bali atakufa na kama utaliweka chini ya mto alio lalia mtoto mchanga basi mtoto huyo atadumaa, hatokua.


Bawa la ndege huyu ndio linatumika kama kalamu ya kuandikia majina ya mkusudiwa pamoja na manuizo.


Majina na manuizo yakiisha kuandikwa, miti hiyo saba inaenda kutupwa barabarani kwenye barabara saba tofauti.


Miti hiyo ikigongwa na gari tu basi na mwanaume aliye kusudiwa anaanza kuugua maradhi ya nguvu za kiume.


Maradhi huanza taratibu na baadae huhitimu na kuwa sugu ambapo mhusika anaweza kufikia hatua ya kuwa hanithi kabisa.




KWANINI WACHAWI HUZICHUKUA MSUKULE NGUVU ZA KIUME

Kama nilivyo sema hapo awali wachawi huchukua kichawi nguvu za kiume kwa ajili ya kwenda kuzitumikisha kama misukule kwenye biashara, mali na utajiri.



KUNA UHUSIANO GANI KATI YA NGUVU ZA KIUME NA DAWA ZA UTAJIRI MALI NA BIASHARA ?

Najua lazima utakuwa umejiuliza swai hili, yafuatayo ni majibu ya swali hili.

Nguvu za kiume zina uhusiano mkubwa sana na damu. Nguvu za kiume ni damu na damu ndio nguvu za kiume.

Damu ndio uhai wa mwanadamu. Damu ndio roho ya mwanadamu na roho ya mwanadamu ndio damu. Damu huishi ndani ya roho ya mwanadamu na roho ya mwanadamu huishi ndani ya damu ya mwanadamu.

Roho ya mwanadamu hubeba akili na nafsi. Na nafsi ya mwanadamu hubeba nyota ya mwanadamu. Nafsi ya mwanadamu hubeba akili ya mwanadamu . Hisia za mwanadamu, Silka za mwanadamu, Hulka za mwanadamu na utashi wa mwanadamu.

Uanaume au unamke ni nafsi anayo zaliwa nayo mwanadamu. Nguvu za kiume ndio nafsi ya kwanza ya mwanaume. Hiyo ndio inayo mfanya awe mwanaume au ajione mwanaume.

Unapo chukua nyota ya mwanaume ambayo ndio nafsi ya mwanaume ambayo ndani yake ipo akili ya mwanaume ambayo ndio nguvu za kiume za mwanaume unakuwa umechukua nafsi ya mwanaume huyo ambayo ndio nyota yake.

Nguvu za kiume ndio chanzo cha uhai wa mwanadamu.

Nguvu zap kiume za mwanaume zinasimama badala ya nafsi ya mwanaume.

Unaposema fulani ni damu yangu maana yake ni kwamba fulani ni roho yako ambae amekuja duniani kupitia nguvu za kiume.

Katika ulimwengu wa waganga na wachawi, nguvu za kiume ni kielelezo cha uhai wa mwanaume husika.

Nguvu za kiume ni kielelezo cha ukamilifu wa mwanaume.

Hivyo wachawi wanapo chukua nguvu za kiume za mtu kwa lengo la kuzitumikisha kichawi,hufanya hivyo wakiwa wanajua wanacho kifanya.


UFANYE NINI KUEPUKA NGUVU ZAKO KUCHUKULIWA MSUKULE

Kitu kikubwa cha kufanya ni kuhakikisha unakuwa na kinga kubwa ambayo itawafanya wachawi wasiwe na uwezo wa kuchukua nguvu zako msukule.

Vile vile unatakiwa kujiepusha na tabia hatarishi ambazo nimezieleza hapo juu. Tabia hizo ni tabia zitakazo kuweka katika hatari kubwa ya nguvu zako kuchukuliwa kichawi.


UTAJUAJE KUWA NGUVU ZAKO ZA KIUME ZIMECHUKULIWA KICHAWI

Endapo utaonyesha dalili zifuatazo basi jua tatizo lako la nguvu za kiume limechukuliwa kichawi au zipo kwenye mpango wa kuchukuliwa.

1. Ukiwa na mwanamke mmoja unakuwa na nguvu lakini ukienda kwa wanawake wengine unakuwa hauna nguvu.

2. Umetumia tiba mbalimbali zap nguvu za kiume lakini huponi wala kupata nafuu yoyote.

3. Mpenzi, mchumba au mke wako anakudharau kwa sababu ya kutokuwa na nguvu za kiume.

4. Mpenzi wako anakukimbia kwa sababu hauna nguvu za kiume

5. Mpenzi au mke wako anatoka nje ya ndoa au mahusiano na mwanaume ambae unamzidi fedha na maisha kwa ujumla.

6. Umekuwa addicted na tabia ya kujichua na unashindwa kuacha.

7. Kuachana na kila mwanamke unayekuwa nae katika mahusiano

8. Kutodumu katika mahusiano

9. Kuwa na matatizo ya uzazi

10. Kufanikiwa chini ya kiwango : Kwa sababu suala hili huwa linaenda na kuchukuliwa nyota basi hata mafanikio unayo yapata huwa yanakuwa chini ya kiwango.

11. Kutojiamini wakati wa tendo la ndoa. Unashindwa kujiamini kwa sababu unakuwa na wasiwasi na uanaume wako.

12. Kuishiwa nguvu zap kiume

13. Maumbile kunyauka na kusinyaa na kuwa kama ya mtoto

14. Maumivi wakati wa tendo la ndoa

15. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa

16. Maumivu ya mgongo

17. Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.

18. Unaota unafanya mapenzi na mtu usie mjua NAKADHALIKA.



TIBA KWA MTU MWENYE MARADHI YA NGUVU ZA KIUME YANAYO TOKANA NA KUROGWA.

Kuwa na maradhi ya nguvu za kiume yanayo tokana na kurogwa maana yake ni kwamba ile sehemu ya kwenye nafsi na akili ya mwanaume ambayo inahusika na utashi, hisia na maamuzi sahihi, inakuwa imechukuliwa kichawi kwa lengo la kutumikishwa kichawi na badala yake linawekwa jinni maalumu la kichawi ambalo sasa ndio linasimama kama mbadala wa nafsi yako.

Jinni hili ndio litakalo kuwa lina control utashi , hisia na maamuzi yako.

Jinni huyu mchafu anakuwa ameamrishwa na kuapishwa kwa damu kufanya makazi yake katika nafasi yako. Anakuwa anautumia mwili wako kama sehemu yake ya makazi. Maamuzi utakayo kuwa unaya fanya kwa kiasi kikubwa yatakuwa na utashi na mapendeleo ya jinni huyu.


Jinni huyu huwa na sifa zifuatazo : Kwanza hakujui vizuri, hajui unapenda nini, hajui hupendi nini, hajui utashi wako ni nini wala hajui hisia zako zipo wapi , yeye anacho jua ni kufuata maelekezo aliyopewa ambayo ni kukaa ndani ya nafsi yako na ku ku -control.

Kwa kuwa jinni huyu hajui wewe unapenda kitu gani wala hajui kuhusu utashi wako wala hisia zako zipo wapi, hata unapokuwa katika mazingira ambayo kikawaida ulitakiwa kusisimkwa kimahaba unajikuta unashindwa kusisimka. Hii ni kwa sababu unakuwa sio wewe bali yeye.

Mfano mzuri unakuta mwanaume katika siku zap nyuma akiwa faragha na mke wake halafu mke wake akawa katika hali ya ufaragha, basi mwanaume “ atakasirika “ kweli kweli na atafanya tendo la ndoa vizuri kabisa.

Lakini cha ajabu ghafla hali inaanza kuwa tofauti, upo na mkeo faragha halafu jogoo anashindwa kuwika. Na wewe unadhani una stress au labda una kisukari au ulifanyaga sana punyeto ulipokuwa shuleni au una lehemu mbaya nakadhalika.

Sababu ya kushindwa kwako ni hiyo, kuna roho chafu imekaa kwenye nafsi yako, hiyo roho ndio inayo control hisia zako na utashi wako. Haijui kama wewe ni mwanaume au mwanamke, haijui unapenda nini haupendi nini, haijui hisia zako zipo wapi ndio maana unapokutana na mke wako, unashindwa kufanya unacho takiwa kufanya.


Wakati mwingine jinni huyu mbali na kutokukujua lakini pia anaweza kuwa hapendi kabisa ngono ya aina yoyote ile iwe ni ngono halali yani mke na mume au ngono haramu yani mwanaume na mchepuko.

Hivyo unapokuwa unataka kufanya tendo la ndoa, jinni huyu anakuwa anakuzuia kwa kukata mawasiliano yako kwenye ubongo na kukuondolea msisimko.

Hii ni kwa sababu jinni huyu sasa ndio anaekumiliki kama chombo chake na hawezi kukuacha mpaka siku unaondoka duniani au labda itokee aondolewe kwa nguvu.

Tendo la ndoa linakuwa linampa kero kubwa . Anakuwa hapendi kukuona ukiwa unafanya tendo hilo, hivyo akiona unataka tu kufanya anakuzuia kwa njia niliyo ieleza hapo juu, matokeo unaishia kupoteza hamu ya tendo la ndoa na hata ikitokea umefanya unafanya kwa muda mfupi na kumaliza na kushindwa kurudia kabisa huku ukimuacha mwenzi wako akiwa bado hajapanda mlima.

Wakati mwingine jinni huyu anaweza kuwa jinni mahaba ambae anakuwa amefungishwa ndoa nawewe bila ridhaa yako.

Jinni huyu atakuwa anafanya mapenzi na wewe na kumaliza nguvu zako zote. Na kwa kuwa jinni huyu atakuwa anakupenda na kuwa na wivu na wewe ili kukuzia usiende nje basi atafunga nguvu zako za kiume.


TIBA YA TATIZO HILI NI KWANZA KUMUONDOA HUYU JINI, KUONDOA UCHAFU AMBAO UMEPANDWA KWENYE MWILI WAKO, KUONDOA UUME WA KICHAWI AMBAO UMEPANDWA KWENYE MWILI WAKO KAMA MBADALA WA UUME WAKO ULIO CHUKULIWA NA KISHA KUKUSAFISHA HALAFU MWISHO KUKUPIKIA DAWA MAALUMU AMBAYO ITARUDISHA NGUVU ZAKO NA KUKUFANYA UFURAHIE MAISHA YAKO YA NDOA KAMA ZAMANI.


MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA DOKTA MUNGWA KABILI. ANAPATIKANA KWA SIMU NAMBA

0744 - 000 473

KUSOMA MAKALA ZAKE MBALIMBALI KUHUSU ULIMWENGU USIO ONEKANA, TEMBELEA : www.mungwakabili.blogspot.com

CHANZO : MUNGWA KABILI BLOG
Ww ni mganga maana
 
Na hii vipi



Misukule wengi wanao chukuliwa , huchukuliwa kwa lengo la kutumikishwa kwenye mashamba, biashara,migodi, uvuvi, wa ssm, masokoni, madukani, ulinzi na kwenye shughuli mbalimbali za kichaw
 
Ushuhuda wa Tukio la ushirikina mjin Kigoma.

Habar zenu Wadau
Juzi shoga yangu alifukuzwa kazi hapa tukaelekezwa na rafiki yangu kwa mzee Kingwele anaishi Mpakan na Congo.

Tulipatiwa huduma pale siku nne tuu.
Siku ya pili na ya tatu tulivyokwenda nikashuhudia folen kubwa sana ya watu wenye shida mbalimbali ila idadi kubwa ni wanawake.

Tukiwa pale kuna mteja mmoja ndio alikuwa anahudumiwa na Babu.

Ndipo kwa mara ya kwanza kuona Babu akivuta msukule kupitia Mitambo yake.

Ndugu wa yule mgonjwa walilia sana kwa furaha.

Ikawa babu anahangaika na Madawa ili amrejeshe vizur akili yake aweze kuongea.

Wakat tupo pale baadae nikaona tena Wagonjwa wengine wakitoa shukran zao kwa kumpa Babu zawad.

Nilijaribu kudadisi kwa Wajukuu zake nikaambiwa.

A) Mzee Mangi alikuwa na kesi ya Kuua lakin file la kesi yake lilipotea hivyo kesi ikafa na yule Afande aliyeshika file alipata ajali na amelazwa hospital

B) Mama Omar alifanikiwa kurudiana na Mume wake aliyemtelekeza takriban miaka mitano.
Mama huyu alihudumiwa na Babu kwa siku saba tu

C) Ustadh Hussen nae alifanikiwa kupata utajir kwa njia nyepes tuu siyo kuua binadam bali kuchinja Mbuzi mmoja kwa Mwaka kila Tareh ikifika

D) Nikaona ...... Akimkabidhi babu Solar baada ya kufanikiwa kuua ndugu.... Aliyekuwa akimsumbua Sana.

E) Mama Zuwena alitoa sh... Ya shukran kwa Babu baada ya Mgahawa wake kujaza wateja sana na chakula hakilali.
Hivyo dawa ya Mvuto wa biashara iliyochanganywa na .... Ilifanya kazi vizur.

Note: Shoga yangu nae alirudishwa kazin baada ya wiki moja na hivisasa tupo Dar tumechukua likizo angalau tubadilishe Mazingira..

Kiufupi huyu Babu anawajukuu zake ambao ndio huwa anawatuma kuchimba dawa na anachanganya na VISIMBA na mambo mengine anayoyajua yeye....

Mmh! Najua kuna watakao toa Povu ila uhalisia ni kwamba Ushirikina/Uchawi upo na watu wanapata huduma mbali mbali wanafanikiwa ila watakaosema Uchawi haupo basi hao hawajapata matatizo.

Namba za huyo Babu.
(+255678134718) kwa ufafanuz zaid..
ULOZI.jpg





IMESIMULIWA NA DOKTA MUNGWA KABILI

SIMU : 0744 - 000 473 .





MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME

Msukule ni nini ?



Msukule ni mtu au sehemu ya mtu iliyo chukuliwa na kufichwa kichawi kwa lengo la kutumikishwa kazi na shughuli mbalimbali za kichawi.

Misukule wengi wanao chukuliwa , huchukuliwa kwa lengo la kutumikishwa kwenye mashamba, biashara,migodi, uvuvi, masokoni, madukani, ulinzi na kwenye shughuli mbalimbali za kichawi.

Kwa ufupi misukule wengi huchukuliwa kwa sababu ya masuala ya mali na utajiri wa kichawi.

Misukule wengine huchukuliwa kwa ajili ya kufanya kazi ya chuma ulete. Hawa ni maarufu miongoni mwa wale ndugu zangu wanao pewa utajiri wa punje za kuku.

Kwa msio fahamu kuhusu utajiri wa aina hii ni kwamba, kuna vijiji fulani vipo katika wilaya mbili maarufu huko nyanda zap juu kusini, hutolewa utajiri wa kichawi maarufu kama utajiri wa kudonoa ama utajiri wa kuku, ama utajiri wa kuuza miaka.

Mtu anayefanyiwa kafara hii huingia agano maalumu la kichawi la kuuza haki yake ya kuishi duniani.

Mtu huyu atatazamwa kichawi ili kubaini amebakiza miaka mingapi ya kuishi hapa duniani.

Kama amebakiza miaka ishirini basi ataingizwa katika mkataba na wachawi kutoa sadaka baadhi ya miaka yake . Mfano katika miaka ishirini iliyo baki, anaweza akaambiwa atoe miaka kumi au kumi na tano au minane .

Kitakacho amua idadi ya miaka ya kuishi ya mtu huyo ni jini aliye katika mfumo wa kuku.

Zitachukuliwa punje za mchele zitawekwa ardhini halafu kuku huyo ataanza kudonoa punje moja baada ya nyingine.

Idadi ya punje atakazo donoa kuku huyo ndio idadi ya miaka ambayo mtu huyo ataishi. Kama miaka ya kuishi ya mtu huyo ni ishirini halafu kuku akadonoa punje kumi na mbili, basi maana yake ni kwamba mtu huyo ataishi miaka kumi na mbili ya utajiri mkubwa halafu miaka minane iliyo baki ataenda kuitumikia kama msukule.

Kinacho tokea hapo ni kwamba, muda wa mtu huyo unapomalizika, mtu huyo anachukuliwa kama msukule na kwenda kutumikishwa kwenye migodi iliyopo huko Congo au kutumika katika kuhamisha mali za mtu ambae muda wake wa kuishi kitajiri umekwisha kwenda kwa mtu mpya ambae anakuwa ameingia kwenye mkataba huu wa utajiri wa kichawi.

Nitalizungumzia kwa kina suala hili katika makala zangu zijazo.


Kama nilivyo dokeza hapo awali, msukule anaweza kuchukuliwa kama mtu mzima, au sehemu ya mtu kama vile akili, nyota ya mtu, nguvu za kiume, mbegu za uzazi kwa wanaume au mayai ya uzazi kwa upande wa wanawake , jicho moja , macho yote mawili nakadhalika.

Msukule huitwa jina tofauti kulingana na sehemu ya mwili wake iliyo chukuliwa msukule. Kwa mfano, mtu aliye chukuliwa akili zake huitwa ndondocha


Watu wengi wanafahamu kuhusu watu kamili walio chukuliwa misukule lakini hawajui kuhusu watu ambao wamechukuliwa nguvu za kiume.

NI NANI HAWA MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME ?


Msukule wa nguvu za kiume ni mwanaume mwenye kusumbuliwa na maradhi ya nguvu za kiume yanayo tokana na kurogwa.


Msukule wa nguvu za kiume ni mwanaume ambaye nguvu zake za kiume zimechukuliwa na kufichwa kichawi kwa lengo la kutumikishwa kama msukule.


Msukule wa nguvu za kiume ni mwanaume ambae nguvu zake za kiume zimetolewa kafara kwa ajili ya mali, biashara na utajiri wa kifisadi ama utajiri wa kichawi.



AINA ZA MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME


Misukule wa nguvu za kiume wapo wa aina kuu mbili :


AINA YA KWANZA

MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME AMBAO WAO WENYEWE WAMEZITOA KAFARA NGUVU ZAO ZA KIUME.


Aina hii ya misukule haijulikani na wengi lakini kiuhalisia wapo wanaume wengi sana ambao wao wenyewe kwa ridhaa yao wenyewe wameamua kutoa kafara nguvu zao za kiume kwa lengo la kupata mali na utajiri.

Hapa mwanaume anaenda kwa mganga kwa ajili ya kupata mali na utajiri, anapewa sharti la kutoa nguvu zake za kiume ili awe tajiri.

Mwanaume huyo atatakiwa kutoa mbegu zake za kiume ambazo zitatengenezwa kichawi na kutumika kama kafara ya mali na utajiri.

Kafara hii huwa ni kafara nzito sana !

Kwa maana nyingine,mwanaume aliye ingia katika mkataba huu wa kichawi, anakuwa ameingia mkataba wa kutoa watoto wake ambao bado hawajazaliwa.

Mara nyingi mkataba huu huwa ni kuwadumu yaani mwanaume huyo atakuwa hivyo hivyo katika siku zote za maisha yake na huwa na masharti mazito na inapo tokea mwanaume huyo akakiuka mojawapo kati ya masharti atakayo pewa, adhabu yake huwa nzito.

Wanaume walio katika kundi hili wao hawana shida kabisa na suala la wao kutokuwa na nguvu za kiume kwa sababu tayari wanajua nini chanzo cha tatizo lao.

Maelezo kuhusu wanaume walio katika kundi hili ni marefu sana kiasi siwezi kuyaelezea yote hapa, ila nina ahidi nitakapo pata muda siku za mbeleni nitaelezea kwa kina.

MISUKULE WA NGUVU ZA KIUME AMBAO NGUVU ZAO ZIMECHUKULIWA KICHAWI BILA RIDHAA YAO WALA BILA KUJUA.


Idadi kubwa ya misukule wa nguvu za kiume ipo kwenye kundi hili. Hawa ni wanaume ambao nguvu zao za kiume zimeibwa ama kuchukuliwa na kufichwa kichawi kwa ajili ya kutumikishwa kichawi.

Ni wanaume ambao nguvu zao za kiume zimechukuliwa bila ridhaa yao .

Ni wanaume ambao nguvu zao za kiume zimechukuliwa bila wao kujua kama nguvu zao zimechukuliwa .

Wachawi wana amini kuwa, njia bora na ya uhakika ya kuiba kichawi ama kuchukua kitu cha mtu kichawi bila ridhaa yake ni kukichukua kitu hicho bila mhusika kujua kama kitu chake kimechukuliwa.

Huamini pia ili jambo hili liweze kufanikiwa ni lazima umbadilishie mhusika na kitu kingine kinacho fanana na kitu ulicho kichukua kutoka kwake ili mhusika asijue kama kitu chake kimechukuliwa.

Wakati wanaume walio katika kundi la kwanza nguvu zao za kiume wamezitoa kwa ridhaa yao wenyewe kwa ajili ya kupata mali, fedha na utajiri wa kichawi, wanaume walio katika kundi hili la pili, nguvu zao zimechukuliwa bila ridhaa yao wala bila wao kujua na kama hiyo haitoshi watu wengine wananufaika nazo bila wahusika kujua chochote kinacho endelea.

Wanaume hawa ndio wanaume walio katika kundi baya zaidi kwa sababu wao wanakuwa hawajui chochote kinacho endelea kuhusu nguvu zao.

Na kwa kuwa wanakuwa hawajui chanzo cha tatizo lao, basi hubaki kuhangaika na kuteseka katika maisha yao yote.


Mara nyingi wanakuwa wana amini maradhi yao ya nguvu za kiume yamesababishwa na mambo mbalimbali kama vile maradhi ya kisukari, presha, ngiri, chango la uzazi nakadhalika, lakini kiukweli, maradhi yao yanakuwa yamesababishwa na kurogwa. Nguvu zao zinakuwa zimechukuliwa kwa ajili ya kutumikishwa kichawi.

NI KATIKA MAZINGIRA YAPI NGUVU ZA KIUME ZA MTU ZINAWEZA KUCHUKULIWA KICHAWI.

Nguvu za kiume huwa zinachukuliwa kichawi kupitia mbegu za kiume za mwanaume aliye kusudiwa.

Mbegu hizo zaweza kuwa zimetoka kwa kulazimishwa au zaweza kuwa zimetoka kwa ridhaa ya mwanaume husika.

Vile vile mbegu hizo zaweza kuwa zimetoka bila mwanaume husika kujua au bila kuwa na uweze wa kucontrol zisitoke .


Matumizi na mahitaji ya mbegu za kiume yatategemea na namna ambavyo mbegu hizo zimepatikana. Kila namna ina matumizi yake ingawa zote hutumika katika matumizi mbalimbali ya kichawi.



MBEGU ZA KIUME AMBAZO ZIMETOKA KWA KULAZIMISHWA


Hizi ni mbegu zinazo toka baada ya mwanaume kufanya punyeto. Wachawi wanazihitaji sana mbegu za namna hii kwa ajili ya kufanya mambo yao ya kichawi na moja kati ya matumizi ya mbegu hizi ni katika ulozi wa mapenzi. Kumvuta mwanaume kimapenzi kwa nguvu. Kijana unae jishughulisha na biashara hii nakushauri uache mara moja.


MBEGU ZA KIUME AMBAZO ZIMETOKA KWA RIDHAA YA KE

Hizi ni mbegu zinazo toka baada ya mwanaume kufanya mapenzi na mwanamke.


MBEGU ZINAZO TOKA BILA MWANAUME KUJUA AU BILA KUWA NA UWEZO WA KUZI CONTROL

Hizi ni mbegu zinazo toka pindi mwanaume anapokuwa anafanya mapenzi na jinni mahaba usingizini. Wachawi wanazihitaji sana mbegu hizi kwa ajili ya matumizi yao ya kichawi. Unashauriwa kutosema kwa mwanamke ambae umelala nae kama umeota usiku unafanya mapenzi na mwanamke halafu ukamwaga au umeamka asubuhi umekuta mbegu zimetoka zenyewe.


NGUVU ZA ZINAWEZA KUCHUKULIWA VIPI KICHAWI?

Najua utakuwa unajiuliza na kushangaa, nguvu za kiume za mtu zinaweza kuchukuliwa vipi au katika mazingira yepi.

Nguvu za kiume zinaweza kuchukuliwa katika namna , njia na mazingira tofauti tofauti. Yafuatayo ni mazingira ambayo nguvu za kiume zinaweza kuchukuliwa kichawi.

NGUVU ZAKO ZA KIUME ZINAWEZA KUCHUKULIWA KUPITIA MCHEPUKO WAKO

Hii hutokea mara nyingi sana na nnaweza kusema idadi kubwa ya wanaume ambao nguvu zao zimechukuliwa kichawi ni kupitia michepuko yao.

Kinacho tokea hapa sio kwamba mchepuko wako ndio ana zifunga nguvu zako, la hasha isipokuwa mchepuko anakuwa ameenda kwa wachawi kuomba ndumba za kukufunga kimapenzi na kukutuliza au / na ndumba za kukufanya ukienda kutembea na mwanamke mwingine usisimame. Yeye lengo lake linakuwa ni zuri lakini katika mchakato wa lengo lake hilo linaweza kutokea suala la kufunga nguvu zako.

Mganga atamwambia huyo mchepuko wako, NENDA KALETE MBEGU AMA SHAHAWA ZA HUYO MWANAUME ULIYE KUJA KUMREKEBISHA.

Mbegu zako za kiume atazichukua katika mazingira yafuatayo :

Mosi : Kama huwa mnafanya tendo la ndoa bila kinga, ukisha kojoa atajifuta na kitambaa maalumu atakacho pewa kisha atakipeleka kwa mtaalamu.

Pili : kama huwa mnatumia kinga, ataomba akufute na kitambaa kwenye uume wako mara baada ya kumaliza kufanya tendo.

Au kama ataona utamstukia anaweza hata asihangaike kukufuta nazo ila atakacho kifanya ataenda kumwaga chooni au kwenye dustbin , dawa maalumu ya kichawi ambayo atakuwa amepewa na mganga.

Kumwaga dawa kwenye dustbin au chooni kutategemea na wewe kondomu yako umeitupa wapi baada ya tendo.

Kama uliitupa kwenye dustbin basi, hiyo dawa ataimwaga kwenye dustbin. Atakutegea umeenda bafuni au chooni, basi atamwaga dawa hiyo kwenye dustibin

Na kama kondom yako iliyo tumika utaenda kuitupa chooni basi dawa hiyo ya kichawi itaenda kutupwa chooni pia.

Dawa hiyo ni dawa ya kijini ambayo kazi yake ni kuchukua mbegu zilizotupwa jalalani au chooni na kuzipeleka kwa wachawi kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya kichawi.

Dawa hii inayo tupwa chooni au kwenye dustbin huwa inatupwa kwa lengo la kwanza kwenda kuzikomboa shahawa ambazo zimetupwa kwenye dustbin au chooni kutoka kwa majini wa jalalani na chooni kisha kuzipeleka mahali zilipo kusudiwa.

Hii ni kwa sababu, chooni na kwenye dustbin pia kuna majini wachafu . Ukitupa mbegu zako chooni au kwenye dustbin maana yake ni kwamba unakuwa umefungamanisha nyota yako na majini wachafu wa chooni au jalalani.

Ni nuksi kubwa sana kutupa kondomu iliyo tumika chooni au jalalani au kwenye dustbin, kwani majini wa maeneo hayo watakuingia kupitia mbegu zako na watajifungamanisha na nyota yako na nafsi yako.

Dalili utaanza kuziona kupitia kwenye udhaifu wa nguvu zako zap kiume ambao utaendana na kufifia kwa nyota yako kwa kasi ya ajabu.

Mambo yako yote yatakuwa machafu kama choo au jalala. Kuanzia kazi, biashara,mahusiano, afya yako ikiwemo nguvu zako za kiume.

Mchepuko wako akisha zipeleka mbegu zako kwa mganga, mganga ataziweka kwenye chungu au kibuyu maalumu , zitapikwa pamoja na dawa maalumu za kichawi kwa ajili ya kuzipima au kupima nyota yako kupitia mbegu zako.

Mganga akigundua nyota ya mwanaume husika ipo juu basi atazichukua mbegu hizo haraka sana na kuzitengeneza kichawi kwa ajili ya ima kuwauzia wachawi ama wafanya biashara wanaonunua misukule ya nguvu za kiume kwa ajili shughuli zao mbalimbali ima kukutengeneza ndondocha.


Kwenye kumtengeneza ndondocha mwanaume kwa kutumia mbegu zake za kiume huwa inakuwa hivi, huyo mwanamke akisha zichukua mbegu hizo na kuzipeleka kwa mganga, inafanywa kafara maalumu ya mnyama, halafu hizo mbegu zinapikwa na dawa maalumu za kichawi halafu huyo mwanamke anachanjiwa kwenye pande kuu saba za mwili wake.

Ni uchawi mzito sana huu. Matokeo yake ni kumfanya mwanaume huyo kuwa ndondocha na zezeta kwa mwanamke huyo. Pesa zote anazo zipata mwanaume huyo anakuwa anazipeleka kwa mwanamke aliye tengeneza uchawi huo.

Mbegu za kiume za mwanaume zinaweza kuchanganywa na dawa maalumu za kichawi, akalishwa kinyonga na kuunguzwa mzima mzima, halafu mwanaume huyo akailishwa dawa hiyo huku lengo likiwa ni kumtenganisha na familia yake na kuwa anawageuka na kuwabadilikia kama kinyonga.


Njia nyingine mbegu zako za kiume zinaweza kuchukuliwa kwa njia ya jini mahaba. Unaota usiku unafanya mapenzi na jini mahaba hadi unafika kileleni, kumbe lengo lilikuwa ni kuchukua mbegu zako za kiume.


Njia nyingine mbegu zako za kiume zinaweza kuchukuliwa kwa njia ya kufanya mapenzi na mwanamke mchawi ambae anataka kuiba nyota yako au kuchukua msukule nguvu zako.

Mwanamke huyu ataingia nyumbani kwako usiku wa manane kichawi na kufanya nawe mapenzi kwa lengo la kuchukua mbegu zako.

Wakati mwingine inaweza kutokea umeota usiku unafanya mapenzi na mwanamke unaye mfahamu au usie mfahamu hadi kufika kileleni. Ukiota ndoto hii jua unachezewa mchezo huu mchafu.

Wakati mwingine mbegu zako zinaweza kuchukuliwa kwa njia ya kufanya mapenzi kichawi na tunge la kike.

Tunge la kike litakuja kichawi hadi nyumbani kwako na kufanya mapenzi na wewe. Litapata ujauzito wako halafu mtoto atazaliwa. Huyu mtoto atakae zaliwa ndo atakae enda kutumika kama ndondocha kwenye biashara mbalimbali kama vile maduka nakadhailka.

Njia hii ndio inayo tumiwa sana na wachawi na wanaume wengi wameumizwa kupitia njia hii.


Njia nyingine ni pale nguvu za kiume zinapo chukuliwa wakati mtoto akingali mchanga. Njia ni hatari sana na ndio maana inashauriwa mama mjamzito kuwa makini na mwangalifu sana katika siku kumi na nne za mwanzo baada ya kujifungua mtoto wa kiume.

Ni katika kipindi hicho cha siku kumi na nne zap mwanzo ambazo wachawi huzitumia kutafuta kuiba nyota ya mtoto huyo wa kiume kupitia nguvu zake za kiume.

Nyota hii huwa inaibwa kupitia nguvu zake za kiume na huwa zinachukuliwa kupitia kitovu chake. Ndo maana unatakiwa kuwa makini sana na kitovu cha mtoto wako wa kiume kisiangukie uume wake wakati kinadondoka.

Katika kupambana na mtihani huu baadhi ya wazazi huwa wanavikata wenyewe vitovu vya watoto wao wa kiume na huwa wanatumia mafuta ya nazi, nyoya la kuku na dawa maalumu za jadi.

Narudia kwa mara nyingine tena unapaswa kuwa makini sana katika kipindi hiki.

Wachawi kupitia taaluma yao ya kichawi wanaweza kubaini nyota ya mtoto na kujua atakuja kuwa nani .

Ii kuzuia mtoto huyo asije kuwa vile alivyo pangiwa na Mwenyezi Mungu, wachawi hulazimika kuiba nyota ya mtoto husika na kuiuza kwa watu wengine na moja kati ya njia kuu wanazo weza kutumia katika kufanikisha nia yake ovu ni kuiba nguvu za kiume za mtoto huyo kwa njia za kichawi.

Pia wanaume wengine nguvu zao zimechukuliwa tangu wakiwa tumboni mwa mama zao. Wachawi wanaamini ya kwamba, ukitaka kukuiua kitu basi kiue kabla hakijazaliwa. Hapo ndipo linapo kuja suala la kuiba nguvu za watoto wa kiume tangu wakiwa tumboni mwa mama zao.

Ukitaka kujua kama mtoto wako nguvu zake zimeibwa tangu akiwa tumboni ishara ya kwanza ni pindi kitovu cha mtoto huyo kinapo mdondokea kwenye uume wake.

Vilevile Mbegu zako za kiume zinaweza kuchukuliwa kupitia kujichua.. Mbegu za mwanaume zinazo toka wakati wa kujichua hujulikana katika ulimwengu wa waganga kama MBEGU ZILIZO TOKA KWA KULAZIMISHWA.

Haijalishi unapo fanya punyeto unafuta kwenye karatasi, gazeti, kitambaa au unaacha zidondoke kwenye sakafu ya bafuni na kumwagia maji lakini jua, wachawi kwa kushirikiana na majini huwa wanachukua mbegu za kiume zinazo toka baada ya kujichua..

Kama huwa unajichua usiku chumbani kwako kitandani, asubuhi baada ya kuamka au bafuni ama chooni , basi jua wachawi huchukua mbegu zako na kuzitumia kwenye mambo yao ya kichawi.



MAMBO AU TABIA ZINAZO WEZA KUFANYA MBEGU ZAKO ZA KIUME ZICHUKULIWE NA WACHAWI.

Yafuatayo ni mambo yanayo weza kusababisha mbegu zako za kiume zichukuliwe.

i. Kufanya mapenzi na wanawake wanao uza miili yao “ HUKO HUWA ZINACHUKULIWA SANA “

ii. Kuwa na michepuko. Mwanaume fahamu unapokuwa na michepuko unakuwa unakaribisha nafasi ya wewe kufanyiwa ulozi wa kimapenzi. Hii ni kwa sababu michepuko wengi huwa wanatumia uchawi kuwatuliza wanaume wanao tembea nao. Sasa ikitokea bahati mbaya mchepuko wako katika kutafuta ndumba za kukutuliza, akakutana na wachawi wanao tumia mbegu za kiume katika shughuli zao basi ndugu yangu jua umekwisha.

iii. Kutupa kondom kwenye dustbin au chooni mara baada ya kufanya tendo la ndoa.

iv. Kufanya punyeto “ WANAO FANYA SHUGHULI HII NAWAHURUMIA SANA KWANI NI MOJA KATI YA WAHANGA WAKUU WA UCHAWI HUU HUKU WAO WAKIAMINI KUWA SHIDA YAO IMESABABISHWA NA PUNYETO.

v. Wanaume walio lelewa na mama za kambo ambao ni washirikina. Wanaume wengi ambao nimewatibu tatizo hili wametoka katika familia walizo lelewa na mama wa kambo.

Hii mara nyingi hutokea pindi mama wa kambo anapokuwa haja bahatika kupata watoto wa kiume,au hajabahatika kupata watoto halafu baba ana mali nyingi.

Akisukumwa na hofu ya kukosa mali ya mumewe mwanamke huyu anaweza kushawishika kwenda kwa waganga kuwadhibiti watoto wake wa kambo wa kiume. Mganga ataomba nguo za ndani za watoto hawa au mkojo au nguo iliyo kojolewa au atampa dawa ya kuwalisha kwenye chakula au kuwatega.


Kama watoto ni wakubwa mama huyu anaweza kushirikiana na binti ambapo binti atajilengesha kwa kijana aliye kusudiwa wataanzisha uhusiano wa kimapenzi na kisha kutumia fursa hiyo kupata mbegu za kiume za mwanaume husika. HATA HIVYO HII HAIMAANISHI KUWA AKINA MAMA WA KAMBO WOTE NI WABAYA. JAMBO HILI HUTOKEA KWA BAADHI YA AKINA MAMA WA KAMBO NA SIO WOTE. WAPO AKINA MAMA WA KAMBO AMBAO NI WAZURI KULIKO HATA MAMA WAZAZI.




vi. Kugombana ama kuachana na mchumba au mke . Mke anaweza kwenda kukutengeneza ili kukukomoa.

vii. Kuoa mwanamke mshirikina. Katika kutafuta ndumba zap kukutuliza anaweza kukutana na suala la kutakiwa apeleke mbegu zako.

viii. Wakati mwingine unaweza kufanyiwa hivi kwa sababu una maisha mazuri. Mtu anakufanyia uchawi huu kwa lengo la kuchukua nyota yako na kwenda kuitumikisha kama msukule wa biashara mali na utajiri.

ix. Kukataa mtoto

x. Kufuta uchumba na kuoa mwanamke mwingine

xi. Kutembea na mke wa mtu

xii. Kugombea mpenzi au mchumba.


Mtu anaweza kukuroga nguvu zap kiume ili kukukomoa, kwa mfano


Porini kuna mti unatoa vitunda vidogo vyenye rangi mbili nyeusi na nyekundu.


Mti huu huwa ni dawa ya maradhi ya mgolo ama bawaziri


Una majani matamu kama sukari ambayo wakati wa njaa huweza kutumika kutengenezea chai na pia huweza kutumika kutengeneza chai kwa watu wenye kusumbuliwa na maradhi ya kisukari.


Vipande saba vya mti huu vinachukuliwa halafu wanachukuliwa wanyama wa aina tatu tofauti wafugwao wanachinjwa kisha damu yao inachanganywa pamoja na dawa zitokanazo na miti ya porini aina saba halafu vinaenda kupikwa porini kisha zinafungwa kwenye chombo maalumu na kuzikwa kwenye makaburi saba tofauti kwa muda wa siku saba saba na njia panda saba tofauti tofauti kwa muda wa siku saba kisha zinazikwa kwenye milima miwili tofauti kwa muda wa siku saba.


Baada ya hapo, linachukuliwa bawa la ndege mmoja wa porini. Huyu ndege anatumiwa sana na wachawi “ NDEGE HUYU SIO BUNDI WALA SULULI WALA MKATA SANDA’.


Ndege huyu ana sifa moja kubwa katika ulimwengu wa wachawi. Nayo ni kwamba, ukichukua nyoya lake ukaliweka kwenye mto wa kwenye kitanda alicholalia mgonjwa, basi mgonjwa huyo hatopona bali atakufa na kama utaliweka chini ya mto alio lalia mtoto mchanga basi mtoto huyo atadumaa, hatokua.


Bawa la ndege huyu ndio linatumika kama kalamu ya kuandikia majina ya mkusudiwa pamoja na manuizo.


Majina na manuizo yakiisha kuandikwa, miti hiyo saba inaenda kutupwa barabarani kwenye barabara saba tofauti.


Miti hiyo ikigongwa na gari tu basi na mwanaume aliye kusudiwa anaanza kuugua maradhi ya nguvu za kiume.


Maradhi huanza taratibu na baadae huhitimu na kuwa sugu ambapo mhusika anaweza kufikia hatua ya kuwa hanithi kabisa.




KWANINI WACHAWI HUZICHUKUA MSUKULE NGUVU ZA KIUME

Kama nilivyo sema hapo awali wachawi huchukua kichawi nguvu za kiume kwa ajili ya kwenda kuzitumikisha kama misukule kwenye biashara, mali na utajiri.



KUNA UHUSIANO GANI KATI YA NGUVU ZA KIUME NA DAWA ZA UTAJIRI MALI NA BIASHARA ?

Najua lazima utakuwa umejiuliza swai hili, yafuatayo ni majibu ya swali hili.

Nguvu za kiume zina uhusiano mkubwa sana na damu. Nguvu za kiume ni damu na damu ndio nguvu za kiume.

Damu ndio uhai wa mwanadamu. Damu ndio roho ya mwanadamu na roho ya mwanadamu ndio damu. Damu huishi ndani ya roho ya mwanadamu na roho ya mwanadamu huishi ndani ya damu ya mwanadamu.

Roho ya mwanadamu hubeba akili na nafsi. Na nafsi ya mwanadamu hubeba nyota ya mwanadamu. Nafsi ya mwanadamu hubeba akili ya mwanadamu . Hisia za mwanadamu, Silka za mwanadamu, Hulka za mwanadamu na utashi wa mwanadamu.

Uanaume au unamke ni nafsi anayo zaliwa nayo mwanadamu. Nguvu za kiume ndio nafsi ya kwanza ya mwanaume. Hiyo ndio inayo mfanya awe mwanaume au ajione mwanaume.

Unapo chukua nyota ya mwanaume ambayo ndio nafsi ya mwanaume ambayo ndani yake ipo akili ya mwanaume ambayo ndio nguvu za kiume za mwanaume unakuwa umechukua nafsi ya mwanaume huyo ambayo ndio nyota yake.

Nguvu za kiume ndio chanzo cha uhai wa mwanadamu.

Nguvu zap kiume za mwanaume zinasimama badala ya nafsi ya mwanaume.

Unaposema fulani ni damu yangu maana yake ni kwamba fulani ni roho yako ambae amekuja duniani kupitia nguvu za kiume.

Katika ulimwengu wa waganga na wachawi, nguvu za kiume ni kielelezo cha uhai wa mwanaume husika.

Nguvu za kiume ni kielelezo cha ukamilifu wa mwanaume.

Hivyo wachawi wanapo chukua nguvu za kiume za mtu kwa lengo la kuzitumikisha kichawi,hufanya hivyo wakiwa wanajua wanacho kifanya.


UFANYE NINI KUEPUKA NGUVU ZAKO KUCHUKULIWA MSUKULE

Kitu kikubwa cha kufanya ni kuhakikisha unakuwa na kinga kubwa ambayo itawafanya wachawi wasiwe na uwezo wa kuchukua nguvu zako msukule.

Vile vile unatakiwa kujiepusha na tabia hatarishi ambazo nimezieleza hapo juu. Tabia hizo ni tabia zitakazo kuweka katika hatari kubwa ya nguvu zako kuchukuliwa kichawi.


UTAJUAJE KUWA NGUVU ZAKO ZA KIUME ZIMECHUKULIWA KICHAWI

Endapo utaonyesha dalili zifuatazo basi jua tatizo lako la nguvu za kiume limechukuliwa kichawi au zipo kwenye mpango wa kuchukuliwa.

1. Ukiwa na mwanamke mmoja unakuwa na nguvu lakini ukienda kwa wanawake wengine unakuwa hauna nguvu.

2. Umetumia tiba mbalimbali zap nguvu za kiume lakini huponi wala kupata nafuu yoyote.

3. Mpenzi, mchumba au mke wako anakudharau kwa sababu ya kutokuwa na nguvu za kiume.

4. Mpenzi wako anakukimbia kwa sababu hauna nguvu za kiume

5. Mpenzi au mke wako anatoka nje ya ndoa au mahusiano na mwanaume ambae unamzidi fedha na maisha kwa ujumla.

6. Umekuwa addicted na tabia ya kujichua na unashindwa kuacha.

7. Kuachana na kila mwanamke unayekuwa nae katika mahusiano

8. Kutodumu katika mahusiano

9. Kuwa na matatizo ya uzazi

10. Kufanikiwa chini ya kiwango : Kwa sababu suala hili huwa linaenda na kuchukuliwa nyota basi hata mafanikio unayo yapata huwa yanakuwa chini ya kiwango.

11. Kutojiamini wakati wa tendo la ndoa. Unashindwa kujiamini kwa sababu unakuwa na wasiwasi na uanaume wako.

12. Kuishiwa nguvu zap kiume

13. Maumbile kunyauka na kusinyaa na kuwa kama ya mtoto

14. Maumivi wakati wa tendo la ndoa

15. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa

16. Maumivu ya mgongo

17. Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.

18. Unaota unafanya mapenzi na mtu usie mjua NAKADHALIKA.



TIBA KWA MTU MWENYE MARADHI YA NGUVU ZA KIUME YANAYO TOKANA NA KUROGWA.

Kuwa na maradhi ya nguvu za kiume yanayo tokana na kurogwa maana yake ni kwamba ile sehemu ya kwenye nafsi na akili ya mwanaume ambayo inahusika na utashi, hisia na maamuzi sahihi, inakuwa imechukuliwa kichawi kwa lengo la kutumikishwa kichawi na badala yake linawekwa jinni maalumu la kichawi ambalo sasa ndio linasimama kama mbadala wa nafsi yako.

Jinni hili ndio litakalo kuwa lina control utashi , hisia na maamuzi yako.

Jinni huyu mchafu anakuwa ameamrishwa na kuapishwa kwa damu kufanya makazi yake katika nafasi yako. Anakuwa anautumia mwili wako kama sehemu yake ya makazi. Maamuzi utakayo kuwa unaya fanya kwa kiasi kikubwa yatakuwa na utashi na mapendeleo ya jinni huyu.


Jinni huyu huwa na sifa zifuatazo : Kwanza hakujui vizuri, hajui unapenda nini, hajui hupendi nini, hajui utashi wako ni nini wala hajui hisia zako zipo wapi , yeye anacho jua ni kufuata maelekezo aliyopewa ambayo ni kukaa ndani ya nafsi yako na ku ku -control.

Kwa kuwa jinni huyu hajui wewe unapenda kitu gani wala hajui kuhusu utashi wako wala hisia zako zipo wapi, hata unapokuwa katika mazingira ambayo kikawaida ulitakiwa kusisimkwa kimahaba unajikuta unashindwa kusisimka. Hii ni kwa sababu unakuwa sio wewe bali yeye.

Mfano mzuri unakuta mwanaume katika siku zap nyuma akiwa faragha na mke wake halafu mke wake akawa katika hali ya ufaragha, basi mwanaume “ atakasirika “ kweli kweli na atafanya tendo la ndoa vizuri kabisa.

Lakini cha ajabu ghafla hali inaanza kuwa tofauti, upo na mkeo faragha halafu jogoo anashindwa kuwika. Na wewe unadhani una stress au labda una kisukari au ulifanyaga sana punyeto ulipokuwa shuleni au una lehemu mbaya nakadhalika.

Sababu ya kushindwa kwako ni hiyo, kuna roho chafu imekaa kwenye nafsi yako, hiyo roho ndio inayo control hisia zako na utashi wako. Haijui kama wewe ni mwanaume au mwanamke, haijui unapenda nini haupendi nini, haijui hisia zako zipo wapi ndio maana unapokutana na mke wako, unashindwa kufanya unacho takiwa kufanya.


Wakati mwingine jinni huyu mbali na kutokukujua lakini pia anaweza kuwa hapendi kabisa ngono ya aina yoyote ile iwe ni ngono halali yani mke na mume au ngono haramu yani mwanaume na mchepuko.

Hivyo unapokuwa unataka kufanya tendo la ndoa, jinni huyu anakuwa anakuzuia kwa kukata mawasiliano yako kwenye ubongo na kukuondolea msisimko.

Hii ni kwa sababu jinni huyu sasa ndio anaekumiliki kama chombo chake na hawezi kukuacha mpaka siku unaondoka duniani au labda itokee aondolewe kwa nguvu.

Tendo la ndoa linakuwa linampa kero kubwa . Anakuwa hapendi kukuona ukiwa unafanya tendo hilo, hivyo akiona unataka tu kufanya anakuzuia kwa njia niliyo ieleza hapo juu, matokeo unaishia kupoteza hamu ya tendo la ndoa na hata ikitokea umefanya unafanya kwa muda mfupi na kumaliza na kushindwa kurudia kabisa huku ukimuacha mwenzi wako akiwa bado hajapanda mlima.

Wakati mwingine jinni huyu anaweza kuwa jinni mahaba ambae anakuwa amefungishwa ndoa nawewe bila ridhaa yako.

Jinni huyu atakuwa anafanya mapenzi na wewe na kumaliza nguvu zako zote. Na kwa kuwa jinni huyu atakuwa anakupenda na kuwa na wivu na wewe ili kukuzia usiende nje basi atafunga nguvu zako za kiume.


TIBA YA TATIZO HILI NI KWANZA KUMUONDOA HUYU JINI, KUONDOA UCHAFU AMBAO UMEPANDWA KWENYE MWILI WAKO, KUONDOA UUME WA KICHAWI AMBAO UMEPANDWA KWENYE MWILI WAKO KAMA MBADALA WA UUME WAKO ULIO CHUKULIWA NA KISHA KUKUSAFISHA HALAFU MWISHO KUKUPIKIA DAWA MAALUMU AMBAYO ITARUDISHA NGUVU ZAKO NA KUKUFANYA UFURAHIE MAISHA YAKO YA NDOA KAMA ZAMANI.


MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA DOKTA MUNGWA KABILI. ANAPATIKANA KWA SIMU NAMBA

0744 - 000 473

KUSOMA MAKALA ZAKE MBALIMBALI KUHUSU ULIMWENGU USIO ONEKANA, TEMBELEA : www.mungwakabili.blogspot.com

CHANZO : MUNGWA KABILI BLOG
 
Dawa pekee ya uchawi na shetani ni Yesu Kristo.
Haya mambo yapo nawasihi sana watu wamtafute Yesu Kristo kwani ndie uponyaji pekee kwa nguvu za kichawi.
 
Back
Top Bottom