Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ngoma gani ilikufanya useme Michael Jackson ni moja kati Msanii bora kuwahi kutokea. Mimi---Thriller🙌🙌🙌 Vipi kuhusu ww mdau. #forgive Me
6 Reactions
37 Replies
5K Views
SEHEMU YA 01 Nilikuwa kwenye usingizi mzito mno ambapo nikaamshwa na sauti ya mwanaume aliyekuwa anagonga dirisha langu na kuniita. "Ederra! Ederra!" Bado sikujua alikuwa nani. Alijaribu kuita...
2 Reactions
7 Replies
5K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi Annunaki naomba mtu yeyote ambaye anajua ninawezaje kupata hii movie ikiwa HD anielekeze niweze kuipata haraka iwezekanavyo.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Napenda Sana mziki wao Sema sijaona mwenzelezo wa mtindo wa masahi hip hop
0 Reactions
3 Replies
518 Views
Na Gwamaka Mwamasage “Maestro" Mawasiliano: +255764806251 +255620152422 SURA YA KWANZA: NAITWA ALMAS HOBELA Hali ya anga ilikuwa tulivu kabisa, ni utulivu uliofanana na asubuhi ama jioni lakini...
5 Reactions
36 Replies
6K Views
Hiki ni kisa cha mchungaji ambaye yeye alikuwa akimwamini Mungu kiasi kwamba alishindwa kutambua njia anazotumia Mungu kusaidia mtu anapokuwa kwenye tatizo. Mchungaji huyu alikuwa anaamini kwamba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hiki ni kisa cha marafiki wawili ambao walikuwa wakifanya kazi kwa bidii lakini mmoja wao tu ndiye aliyepandishwa cheo. Yule mwingine aliona kama hakutendewa haki hivyo alienda kulalamika kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
PUNDA. 1 Mzigo ukimzidia, haraka anatembea tajiri humfaidi, jashole kufurahia hata akijitahidi, atazidi kuumia Punda hawezi faidi, jasho lake hasilani 2 Viboko anatandikwa, atembee kwa haraka...
0 Reactions
0 Replies
340 Views
CHINI YA MPARACHICHI. 1 Kivuli chake kitamu, mfaidi hafaidi parachichi zake tamu, wengine wanafaidi matunda yake ni sumu, tiba yao makuadi Chini ya mparachichi, nadondokewa na mawe. 2 Matunda...
0 Reactions
0 Replies
394 Views
HEKALU LA WACHAWI sehemu ya 3 Mtunzi@NijoSenso. Inaendelea.... Sitasahau siku bibi aliponiita ndani na kunikalisha kwenye ngozi nyeusi pale chumbani kwake. Siku hiyo ndiyo iliyobadilisha maisha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hiki ni kisa cha mtu aliyechelewa safarini. Alipofika kwenye stesheni ya treni alipanda treni ya kwanza kuwasili mbele yake. Na kwa sababu ya uchovu alisinzia kwa muda na kisha baadae kuamka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tupo wengi humu, uzi upi unaofuatilia humu JF ulio na mafunzo ndani yake na wenye kuburudisha? Au ni riwaya gani unaifuatilia humu ni nzuri na yenye mafunzo na maadili mazuri? Karibu unijuze
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Wakuu kwema? Poleni na majukumu. Nimetafuta sana Lyrics ya ngoma ya Marehemu Godzilla. Ngoma inaitwa Get off my way. Kama kuna mdau anayo Lyrics plz naomba aitume hapa. forgive me
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kati ya filamu Bora za mwaka huu basi filamu ya PREY ipo IPO katika chart za juu haswa hii chuma IPO Chini ya kampuni ya 20 Century Director wa hii movie ni Dan Trachtenberg na Story ya movie...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Dc Comics na Marvel ni washindani wakubwa katika vibonzo au comics lakini pia katika kutengeneza Filamu na hata vikaragosi au cartolns pia. MARVEL wamewaacha mbali DC katika filamu hasa katika...
8 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii ngoma hapa mmiliki wake ni artificial robot aliyekuwa signed na record label kubwa. It is all AI naona ufake umeingilia mziki. Soon tutaona artificial movies
0 Reactions
1 Replies
814 Views
Nyimbo za Singeli ziliibuka miaka ya 2013 na msanii mkongwe Dogo Niga Simela kutoka mburahati akivuma na kupendwa na wengi wanaseme Niga ndio muasisi wa Singeli kipindi hicho Singeli ilipendwa mno...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
15 Reactions
208 Replies
88K Views
Gereza la Kifo Mtunzi - HAMISI KIBARI UTANGULIZI Hamisi Hussein Kibari ni mtunzi wa riwaya na mashairi, mwandishi mkongwe wa habari nchini na mtengeneza filamu. Kwa kipindi cha takribani miaka...
16 Reactions
301 Replies
50K Views
RIWAYA; MZIGO MTUNZI; AHMAD MNIACHI SEHEMU YA KWANZA Niliwasili Dar es salaam saa tisa na nusu alasiri, ilikuwa ni mapema zaidi kuliko nilivyotarajia. Mvua ambayo ilinyesha masaa kadhaa...
1 Reactions
54 Replies
33K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…