SEHEMU YA 01
Nilikuwa kwenye usingizi mzito mno ambapo nikaamshwa na sauti ya mwanaume aliyekuwa anagonga dirisha langu na kuniita.
"Ederra! Ederra!"
Bado sikujua alikuwa nani. Alijaribu kuita...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi Annunaki naomba mtu yeyote ambaye anajua ninawezaje kupata hii movie ikiwa HD anielekeze niweze kuipata haraka iwezekanavyo.
Na
Gwamaka Mwamasage “Maestro"
Mawasiliano:
+255764806251
+255620152422
SURA YA KWANZA: NAITWA ALMAS HOBELA
Hali ya anga ilikuwa tulivu kabisa, ni utulivu uliofanana na asubuhi ama jioni lakini...
Hiki ni kisa cha mchungaji ambaye yeye alikuwa akimwamini Mungu kiasi kwamba alishindwa kutambua njia anazotumia Mungu kusaidia mtu anapokuwa kwenye tatizo.
Mchungaji huyu alikuwa anaamini kwamba...
Hiki ni kisa cha marafiki wawili ambao walikuwa wakifanya kazi kwa bidii lakini mmoja wao tu ndiye aliyepandishwa cheo.
Yule mwingine aliona kama hakutendewa haki hivyo alienda kulalamika kwa...
CHINI YA MPARACHICHI.
1 Kivuli chake kitamu, mfaidi hafaidi
parachichi zake tamu, wengine wanafaidi
matunda yake ni sumu, tiba yao makuadi
Chini ya mparachichi, nadondokewa na mawe.
2 Matunda...
HEKALU LA WACHAWI sehemu ya 3
Mtunzi@NijoSenso.
Inaendelea.... Sitasahau siku bibi aliponiita ndani na kunikalisha kwenye ngozi nyeusi pale chumbani kwake. Siku hiyo ndiyo iliyobadilisha maisha...
Hiki ni kisa cha mtu aliyechelewa safarini. Alipofika kwenye stesheni ya treni alipanda treni ya kwanza kuwasili mbele yake. Na kwa sababu ya uchovu alisinzia kwa muda na kisha baadae kuamka...
Tupo wengi humu, uzi upi unaofuatilia humu JF ulio na mafunzo ndani yake na wenye kuburudisha? Au ni riwaya gani unaifuatilia humu ni nzuri na yenye mafunzo na maadili mazuri?
Karibu unijuze
Wakuu kwema? Poleni na majukumu.
Nimetafuta sana Lyrics ya ngoma ya Marehemu Godzilla.
Ngoma inaitwa Get off my way.
Kama kuna mdau anayo Lyrics plz naomba aitume hapa.
forgive me
Kati ya filamu Bora za mwaka huu basi filamu ya PREY ipo IPO katika chart za juu haswa hii chuma IPO Chini ya kampuni ya 20 Century
Director wa hii movie ni Dan Trachtenberg na Story ya movie...
Dc Comics na Marvel ni washindani wakubwa katika vibonzo au comics lakini pia katika kutengeneza Filamu na hata vikaragosi au cartolns pia.
MARVEL wamewaacha mbali DC katika filamu hasa katika...
Hii ngoma hapa mmiliki wake ni artificial robot aliyekuwa signed na record label kubwa.
It is all AI naona ufake umeingilia mziki.
Soon tutaona artificial movies
Nyimbo za Singeli ziliibuka miaka ya 2013 na msanii mkongwe Dogo Niga Simela kutoka mburahati akivuma na kupendwa na wengi wanaseme Niga ndio muasisi wa Singeli kipindi hicho Singeli ilipendwa mno...
Gereza la Kifo
Mtunzi - HAMISI KIBARI
UTANGULIZI
Hamisi Hussein Kibari ni mtunzi wa riwaya na mashairi, mwandishi mkongwe wa habari nchini na mtengeneza filamu. Kwa kipindi cha takribani miaka...
RIWAYA; MZIGO
MTUNZI; AHMAD MNIACHI
SEHEMU YA KWANZA
Niliwasili Dar es salaam saa tisa na nusu alasiri,
ilikuwa ni mapema zaidi kuliko nilivyotarajia. Mvua
ambayo ilinyesha masaa kadhaa...