Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa wale wapenzi wa Movie, kuna huu mzigo wa Netflix, The Gray Man..., Yes, kuna possibilty watu wengi wamekwisha itazama.., Sadly imepata reviews mbovu sana from Rotten Tomatoes na Critics...
0 Reactions
0 Replies
621 Views
Waungwana nimeuona huu mjadala huko kwa kina Chioma, nimeufuatilia kwa karibu lakini bado sijajua ni yupi yupo juu ya mwenzake. Kati ya Ronaldo na Beyonce ni nani maarufu na mwenye ushawishi...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
HADITHI YA NJIA YA KUKAMATA MWIZI ZAMANI za kale alikuwako mtu mmoja aliyekuwa na rasilmali yake, rupia elfu akazitia ndani ya mfuko akazifungia ndani ya sanduku lake. Hapana mtu aliyejua habari...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Salam wakuu, Straight to the point. Nimekaa sehemu flani hapa wanapaita Bambalaga, Dj amegonga magoma ya amapiano hapa watu wote wamewehuka kwa vishindo vya magoma. S.A kiukweli wameweza...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Yote ni aina ya muziki wa kiafrika kutoka mitaani wanakoishi Waafrika wa hali ya kawaida. Amapiano nasikia inatokea mitaa kama Soweto, Katlehong, Vosloorus ama Mamelodi huko Afrika Kusini. Tena...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninaitwa Ellisha James kutoka Arusha tuliwahi kuunda kundi moja na Motra the future,Raff Emcee na Sight Moe lililoitwa KINGS- Kijenge,Ngalimi na Sekei Hii hapa ni ngoma yangu mpya, inaitwa...
4 Reactions
9 Replies
44K Views
Ila nikikumbuka hizi nyimbo nafurahi Ila Kuna mda napata huzuni Kuna watu tulikua tunaimba nao sasa hivi ni marehemu time flies Wachuja nafaka yaleo Kali Hardman-tamala Adili ft Domo kaya pekee...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa sasa nipo bush na sina uhakika wa kurudi town hivi karibuni Je kuna yakuniwezesha kuangalia muvi hii?
0 Reactions
10 Replies
748 Views
Mwandishi wa kitabu: Peter Charlz Mchoraji: Peter Charlz Instagram / Twitter / Facebook: petercharlz255 Email: petercharlz255@gmail.com Shukrani za dhati kwa kila alieshiriki kuandaa kitabu hiki...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mtunzi Nyemo Chilongani sehemu ya 01 SEHEMU YA 01 Mvua kubwa ilikuwa ikinyesha, mitaro midogo ikaanza kujaa maji huku baridi likianza kupiga kwa nguvu ndani ya jiji la Dar es Salaam...
6 Reactions
161 Replies
27K Views
Verse 01: Kipyenga kimelia Mambo Magumu/ Mithili ya Sumu/ Uchungu na maumivu ambayo huwezi kuvumilia/ Kaa tulia/ Futa machozi msela inatusumbua hela/ Hatuna hata kitu kidogo Cha kupeleka...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
T
3 Reactions
0 Replies
388 Views
Habari wana JF.. katika kipindi cha hivi karibuni kama miaka 5 au 6 nyuma kwa wale wafatiliaji wa entertainment hizi mbili muhimu kwa nchi ya marekani nazungumzia muziki na movie wamenotice kua...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Hizi nyimbo wanatoa wakina HARMONIZE (HIGH SCHOOL), IBRA (THE KING OF NEW SCHOOL) .kwa upande wangu ni mkusanyiko wa nyimbo kali tu. na sio album. yale maneno ya ROMA MKATOLIKI kwenye nyimbo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Best Male West Africa Oxlade – Nigeria Kidi – Ghana Buju – Nigeria Black Sheriff– Ghana Fireboy– Nigeria Didi B – Ivory Coast Ruger – Nigeria Samba Peuzzi – Senegal Omah Lay – Nigeria Best...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Pharoah Sanders, mpiga saxophone wa Jazz wa Marekani, amefariki akiwa na umri wa miaka 81. Habari hizo zilithibitishwa na lebo ya Sanders, Luaka Bop, kwenye Twitter. "Tumesikitika kushiriki...
0 Reactions
0 Replies
467 Views
RIWAYA: BARUA KUTOKA JELA. MTUNZI: IBRAHIM GAMA SEHEMU YA KWANZA Ilikuwa ni Jumapili moja tulivu, majira ya asubuhi. Gereza la keko lilikuwa katika pilikapilika, kama ilivyo kawaida yake katika...
10 Reactions
308 Replies
115K Views
Msanii mzuri utamjua katika kuandika nyimbo zenye maadili na zinazokubalika tu. Hawa sijui amelowa, mara imwagie ndani hawana lolote there are there only to make money infact sio wasanii wazuri...
0 Reactions
4 Replies
616 Views
Wakubwa heshima kwenu,wadogo asante[emoji120] Leo nlikuwa natazama kipindi cha 'the story book' ambapo mada ya leo ilikuwa ina wahusu kabila fulani kule Africa magharibi,kabila hilo inasemekana...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, amesema anamshukuru Mungu kwa kumtendea muujiza, kwani mambo yake hivi sasa yanaenda vizuri. “Nafurahi mno mwezi huu, kwa sababu baadhi ya vitu vyangu...
1 Reactions
3 Replies
921 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…