Wasafi TV wana shida gani?

Wasafi TV wana shida gani?

Full charge

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
1,712
Reaction score
1,661
Wakubwa heshima kwenu,wadogo asante[emoji120]
Leo nlikuwa natazama kipindi cha 'the story book' ambapo mada ya leo ilikuwa ina wahusu kabila fulani kule Africa magharibi,kabila hilo inasemekana hula nyama za binadam (canibals).

Cha kushangaza wasafi wameomba radhi kuwa maudhui ya leo hayakuwa sahihi,hivyo wameomba radhi kwa yeyote aliye kerwa au kuudhiwa na maudhui hayo.

Maswali yangu juu ya uongozi wa vipindi:
1.Kipindi hakikukaguliwa kabla ya kuruka?
2.Mbona kina ushahidi wa video kabisa?
3.Je mtangazaji kapoteza umahiri wake?
4.Je wameogopa nini katika nchi husika?
5.Je video zile huwa ni real au scripted?[emoji120]
Screenshot_20220916-205119_Instagram.jpg
 
The content is too explicit.

wangesema kipindi kitazamwe na watu wenye umri wa miaka flani na kuendelea.

na waseme yaliyomo yanatisha.

Ndio maana wameomba msamaha
na koment wametia kufuri[emoji16]
 
Mimi sio muangaliaji wa TV hiyo,kuna siku nilienda kwa jamaa yangu nikakuta wanaangalia Wasafi TV,tena kipindi hiko hiko cha Story book na walikuwa wanaongelea kuhusu WORMHOLE....sasa cha kusikitisha huyo host ambaye anajiita profesa alikuwa na ubao na chaki,katika uchambuzi wake wa hilo jambo akachukua chaki akaandika ubaoni WORMHALL..nikasema huyu anafafanua kuhusu wormhole kwenye TV lakini yeye mwenyewe hajui inaandikwaje,pili kipindi kina timu kubwa sana ya maandalizi,mpaka kinaruka hewani hakuna hata mtu mmoja aliyegundua profesa wao kakosea kuandika neno wormhole.
 
Jana majira Kama ya saa mbili usiku niliwasha Tv nikaamua kuweka wasafi Tv niangalie maudhui yao nikakutana na kipindi kimoja kimeunganishwa Live wasafi Radio watangazaji wamevaa t-shirts za zambarau alafu wako wengi sana studio na kila mtu anaongea lake bila kupeana nafasi nikajikuta ndani ya dakika 15 kipind kinaniongezea hasira na stress tu maana ni kelele Kama wako sokoni sijui hata Kama wana usimamizi sahihi wale nikabadili channel Wala hata sitamani kuwafatilia maana hiii Ni Mara ya tatu nakutana na vitu vya hovyo kila nikiweka hiyo channel
 
Back
Top Bottom