Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 270
- 377
Msanii mzuri utamjua katika kuandika nyimbo zenye maadili na zinazokubalika tu.
Hawa sijui amelowa, mara imwagie ndani hawana lolote there are there only to make money infact sio wasanii wazuri na ndo maana kazi zao za sanaa hazidumi ukilinganisha na zile za Ferooz, au prof J au Ngwair(mitungi na mikasi)
Hawa sijui amelowa, mara imwagie ndani hawana lolote there are there only to make money infact sio wasanii wazuri na ndo maana kazi zao za sanaa hazidumi ukilinganisha na zile za Ferooz, au prof J au Ngwair(mitungi na mikasi)
