George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,018
- 4,909
Kuthibitisha kuwa kijana bado ana njaa ya mafanikio,tarehe 22 July ataachia project aliyoifanya na msanii kutoka Marekani,Future.
Diamond Platnumz ameyasema hayo kupitia account yake ya instagram,sasa sijui ni kweli au ni kiki za hawa vijana wa WCB,muda ndio msema kweli.
Diamond Platnumz /SIMBAAAA
Future
Diamond Platnumz ameyasema hayo kupitia account yake ya instagram,sasa sijui ni kweli au ni kiki za hawa vijana wa WCB,muda ndio msema kweli.
Future