Dendu isaya
New Member
- Mar 27, 2023
- 2
- 1
Habarini, ndugu mimi ni muandishi wa script za movie ninaejifunza.Nimepata changamoto ya kujua.Jinsi ya kuandika script za Series yaani filam zenye muendelezo.Ninapenda kujua vitu vifuatavyo;
1.Series inatakiwa iwe na episode ngapi ili ikamilike?
2.Je kila episode inatakiwa iwe na scene ngapi?
3.Kuna tofauti yoyote kati ya Filam fupi na yenye muendelezo? Asanteni
1.Series inatakiwa iwe na episode ngapi ili ikamilike?
2.Je kila episode inatakiwa iwe na scene ngapi?
3.Kuna tofauti yoyote kati ya Filam fupi na yenye muendelezo? Asanteni