KigaKoyo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 273
- 1,918
Hello Jamii People. Been a while lakini yote heri au siyo. The messages that I receive mostly zinaniulizia kuhusu more stories. So nikaamua walau kila wiki niwe naandika something. Naanza na hii Cheaters. Ni hadithi ya kutunga so haina uhalisia wowote. Wale mtakafurahia rukhsa kusifu, wale mtakaoona nazingua povu rukhsa pia maana tunajifunza kupitia vyote.
Hii ni kama series, so msiwe na papara nayo sana. Itakua inakuja kila jumamosi si zaidi ya saa 12. Leo kwa kuwa naizindua naiweka leo, then kesho pia ntaweka.
Ukisoma kwa ajili ya burudani ni sawa utaburudika, ukisoma kwa ajili ya chaputa kuna episodes zako, ukisoma kujifunza utapata mafunzo pia. Hasa why men and women cheat. Character akicheat kwenye hii story, jaribu kujiuliza mazingira yaliyopelekea kucheat, nadhani itakusaidia kwenye mahusiano yako hasa unapoona mazingira kama hayo yanajengeka.
Leo tuanze na mama la mama Zoya.
...............................
Zoya.
Wasalaam. Naitwa Zoya, ingawa hua napata sifa za ulimbwende, ila mi najiona wa kawaida sana, sana. Yani labda sura kwa mbaaaali, ila shepu, sio zile za kuongelewa mtaani, kawaida tu ( waeza nitazama kwenye picha zangu hapo chini kwanza then unambie kama nastahili hizo sifa au la).So as far as am concerned I’m just an ordinary woman. Kilichonisaidia ni kuwa somehow classy and composed.
Na hii imechangiwa na familia nlipolelewa. nimezaliwa katika familia ambayo walau unaeza sema ilikua na life standard nzuri. Of course sio zile standard za kusomeshwa IST au ISM na kufanya ma baccalaureate diploma hapana, nimesoma hapahapa tu, St Mary’s ya mama Rwakatare then Loyola High. Bt mazingira ya home yamenifanya ule usoft wa kishua uwe nami mpaka leo.
Kwetu nina kaka wawili mimi nikiwa wa mwisho kuzaliwa, brothers wao shule ziliwashinda, mmoja bangi zilimharibu mpaka leo haishi kugongea hela, utasikia sister nnadili moja hilo likitiki nimetoka, sema nini, nimepungukiwa milioni hivi nitoe basi mshkaji wangu hahaha.
Ndo hivyo tena kwa kuwa ni my big bro hua namsaidia sana, hasa kulea watoto wake maana anawatoto kila kona ya jiji. Naweza sema kilichomharibu huyu bro ni zile mali za mshua, maana wakati wa uteenager ule ndo mzee akawa anawaruhusu tu kutumia magari yake na sometimes ku invite friends over for a party. Bro mwingine yeye aliamuaga tu kuwa mfanyabiashara, ingawa hana biashara kubwa walau yeye amesettle na familia yake Mbeya huko.
So I am the only one ambaye kwetu nimejaliwa kupiga shule. Pamoja na uzuri ambao nasikia wananisifia, ila pia ni mkimya flani hivi. Yani kama sijakuzoea unaeza sema either naringa au mpole sana. Bt kwa watu tunaofahamiana wanajua hua naongea fresh tu sema sio kwa sana kama akina miss Buza.
Nimeanza kujua wanaume nikiwa second year chuo. Aliyenianzishia nadhani alinibaka (wanaume mnaita kula kimasihara nkt), na ilikua ni kwa influence ya my best friend kipindi hicho, tulikua marafiki haswa tukiitana wenyewe BFF. Nadhani itafika siku nisimulie ilikuaje. Ila kwa leo naanzia story ya jinsi nlivokutana na Ras.
Nlikua nshamaliza chuo nakumbuka kilikua kipindi cha harakati za harusi ya one of my cousins. Kwa kuwa mzee wangu ndo alikua Don kwenye familia yao, yeye akasema atabeba jukumu zima. Na si unajua wanaume wakijua kuna mteremko wanavyopenda kuserereka nao, yaani hadi shughuri za upande wa mwanaume wakawa wanamsukumia The Don ndo anazifinance.
Mume mtarajiwa wa causin alipanga kufanya kama bachelor’s party flani, sio ile ya kualika wadangaji, hapana alipanga akutane tu na washkaji zake na washkaji wa mkewe mtarajiwa wapeane shukrani kwa sapoti na kupanga mikakati, hivo, yani sijui hata kama ilikua na maana, ila ndo ikawa. The Don, yaani mzee wangu akatoa moja ya nyumba zake zilizoko kigamboni (beach house moja iliyotulia ambayo zamani ilikua ya serikali, shukrani ziende kwa Ben maana alimuuzia mzee kwa bei chee).
Mi nlikuwa nimejipanga na boyfriend wangu Kaly anipitie home Upanga mida ya saa kumi na moja jioni. Ila kama kawa, Kaly alikua sio mtu wa kumtegemea sana. Mchana wake tu alikua ashalalamika hana nguo ya kwendea kwenye mtoko huo, so ikabidi nimtumie akanunue. Na sio kweli kuwa hakua nazo, najua ana nguo kibao maana nyingi mm ndo nlimnunulia. Kuna sometimes nlikua nawaza maybe Kaly yupo na mm sbb ya pesa nnazompa, ila kama mjuavyo mwanamke akipenda amependa kweli. So I was blinded by love.
That day nimesubiri mtu mpaka saa moja, mwanzo simu alikua anapokea ila mwishoni akazima kabisa na simu. Huku kwenye party ndo cousin kila saa anapiga uko wapi?. Nikawa nshaamua kuchukua taxi nisepe, nikawa nimempigia mzee Msimbe pale Palm beach aje anifuate. Bt kabla taxi haijaja nikapokea simu ya Kaly na excuses kibao, bt akasema nimpe dkk 20 atakua hapa.
Tumeingia kwenye party kama saa tatu hivi. Watu kibao. Ile nafika tu Cousin kanidaka, ingawa she was also a friend ila story zake mara nyingi zilikuaga zinaboa, ni mambo ya nguo na vipodozi. Bt ndo bi harusi, inabidi tu umsikilize. Kabla hatujachanganya na wengine akanambia, mdogo wangu kile kijamaa chako kinakupotezea muda tu, tafuta kijana anayejielewa hapa leo, si unaona mwenyewe walivyotokelezea,kazi kwako dogo. Sikupenda anavyomchukilia Kaly ila ndo sikutaka kubishana, nikawa namchekea tu. Sikua mnywaji sana so nikawa tunapiga story na cousin na other relatives huku nikitambaa na juice. Kwa kuwa watu ni wengi sikujua hata Kaly kapotelea wapi.
Baada kama ya nusu saa ndo Ras akaingia. Nadhani I was the only one who noticed him. Alikua ameambatana na wakaka wengine wawili. Nasema nadhani nilikua pekeyangu niliyemnotice maana hakua na muonekano ambao vijana wote hapa walikua nao. Kwanza alikua mwembamba, sio sana kama anaumwa, hapana, ila ule wembamba unaoonesha jamaa hajijali kwenye issue za msosi.
Then alikua ameachia ndevu ziote zinavyotaka, hazikua nyingi sana maana umri wake sio mkubwa bt hazikua zimepangiliwa. Nywele ndo usiseme, yaani zilikua nyingi alafu wala hakuhangaika kuzichana. Mikono yote kajivalisha cultures za aina mbalimbali, then kavaa mshati mkubwa ambao ukiangalia na jinsi alivyomwembamba unaeza either kumcheka au kumuonea huruma.
Wakati naendelea kutafakari how life is unfair, nikasikia kama vurugu. Kwenda nje kucheki namkuta Kaly anagombana, kisa kuna dem analalamika Kaly kamshika matako. So jamaa wa yule dem ndo kalianzisha varangati. Wote wamelewa so Kaly nae anataka kuzichapa.
Aliponiona akaanza kujitetea kabla hata sijauliza, “baby huyu mwanamke mi napita zangu anadai nimemshika tako, mi ndo ntakua wa kumtamani kinyago ka huyu akati nna dem mkali ka ww", yule manzi aliposikia anakandiwa nae kapandisha sauti, kiukweli nlikua namfahamu, ni ndugu flani wa kuvuta na kamba, bt ilibidi niingilie kati kumsaidia Kaly. Nikajidai na busara zangu za utoto “jamani si inawezekana kakugusa bahati mbaya, sasa kuna haja gani kufanya issue iwe kubwa hadi unataka haribu sherehe ya watu, baby twende ndani achana nae”, nikamchukua Kaly mpaka room.
Of course kindanindani nlikua kama roho inaniuma, maana yule dem tako alikua nalo, then mm ndo ile Mungu aliamua kunigawia kiasi tu. Bt nlikua siko tayari kumpoteza Kaly. Kaly was handsome. Alikua na macho flani akikuangalia unaeza itika, bt most of all nlipenda lips zake. Yaani hata aniudhi vipi, akinikiss moyo wangu hupoa.
Ni kati ya wanaume ambao mnaeza kiss nae hata siku nzima, ooh I loved those lips. Na kama alijua vile, maana tulivyofika room akanihug then akanisogezea lips, nikahisi kuloana. Nikasahau maswaiba aliyoyafanya. Kuja kushtuka kashanitoa chupi, nikamuwahi. “sio poa, watu nje watajua tunatiana" eti “achana nao bana, I want you now" na hivi alijua mi nishakufa kwake alijua siezi kataa.
Tukutane kesho....
Picha zote ni kwa msaada wa google.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kama series, so msiwe na papara nayo sana. Itakua inakuja kila jumamosi si zaidi ya saa 12. Leo kwa kuwa naizindua naiweka leo, then kesho pia ntaweka.
Ukisoma kwa ajili ya burudani ni sawa utaburudika, ukisoma kwa ajili ya chaputa kuna episodes zako, ukisoma kujifunza utapata mafunzo pia. Hasa why men and women cheat. Character akicheat kwenye hii story, jaribu kujiuliza mazingira yaliyopelekea kucheat, nadhani itakusaidia kwenye mahusiano yako hasa unapoona mazingira kama hayo yanajengeka.
Leo tuanze na mama la mama Zoya.
...............................
Zoya.
Wasalaam. Naitwa Zoya, ingawa hua napata sifa za ulimbwende, ila mi najiona wa kawaida sana, sana. Yani labda sura kwa mbaaaali, ila shepu, sio zile za kuongelewa mtaani, kawaida tu ( waeza nitazama kwenye picha zangu hapo chini kwanza then unambie kama nastahili hizo sifa au la).So as far as am concerned I’m just an ordinary woman. Kilichonisaidia ni kuwa somehow classy and composed.
Na hii imechangiwa na familia nlipolelewa. nimezaliwa katika familia ambayo walau unaeza sema ilikua na life standard nzuri. Of course sio zile standard za kusomeshwa IST au ISM na kufanya ma baccalaureate diploma hapana, nimesoma hapahapa tu, St Mary’s ya mama Rwakatare then Loyola High. Bt mazingira ya home yamenifanya ule usoft wa kishua uwe nami mpaka leo.
Kwetu nina kaka wawili mimi nikiwa wa mwisho kuzaliwa, brothers wao shule ziliwashinda, mmoja bangi zilimharibu mpaka leo haishi kugongea hela, utasikia sister nnadili moja hilo likitiki nimetoka, sema nini, nimepungukiwa milioni hivi nitoe basi mshkaji wangu hahaha.
Ndo hivyo tena kwa kuwa ni my big bro hua namsaidia sana, hasa kulea watoto wake maana anawatoto kila kona ya jiji. Naweza sema kilichomharibu huyu bro ni zile mali za mshua, maana wakati wa uteenager ule ndo mzee akawa anawaruhusu tu kutumia magari yake na sometimes ku invite friends over for a party. Bro mwingine yeye aliamuaga tu kuwa mfanyabiashara, ingawa hana biashara kubwa walau yeye amesettle na familia yake Mbeya huko.
So I am the only one ambaye kwetu nimejaliwa kupiga shule. Pamoja na uzuri ambao nasikia wananisifia, ila pia ni mkimya flani hivi. Yani kama sijakuzoea unaeza sema either naringa au mpole sana. Bt kwa watu tunaofahamiana wanajua hua naongea fresh tu sema sio kwa sana kama akina miss Buza.
Nimeanza kujua wanaume nikiwa second year chuo. Aliyenianzishia nadhani alinibaka (wanaume mnaita kula kimasihara nkt), na ilikua ni kwa influence ya my best friend kipindi hicho, tulikua marafiki haswa tukiitana wenyewe BFF. Nadhani itafika siku nisimulie ilikuaje. Ila kwa leo naanzia story ya jinsi nlivokutana na Ras.
Nlikua nshamaliza chuo nakumbuka kilikua kipindi cha harakati za harusi ya one of my cousins. Kwa kuwa mzee wangu ndo alikua Don kwenye familia yao, yeye akasema atabeba jukumu zima. Na si unajua wanaume wakijua kuna mteremko wanavyopenda kuserereka nao, yaani hadi shughuri za upande wa mwanaume wakawa wanamsukumia The Don ndo anazifinance.
Mume mtarajiwa wa causin alipanga kufanya kama bachelor’s party flani, sio ile ya kualika wadangaji, hapana alipanga akutane tu na washkaji zake na washkaji wa mkewe mtarajiwa wapeane shukrani kwa sapoti na kupanga mikakati, hivo, yani sijui hata kama ilikua na maana, ila ndo ikawa. The Don, yaani mzee wangu akatoa moja ya nyumba zake zilizoko kigamboni (beach house moja iliyotulia ambayo zamani ilikua ya serikali, shukrani ziende kwa Ben maana alimuuzia mzee kwa bei chee).
Mi nlikuwa nimejipanga na boyfriend wangu Kaly anipitie home Upanga mida ya saa kumi na moja jioni. Ila kama kawa, Kaly alikua sio mtu wa kumtegemea sana. Mchana wake tu alikua ashalalamika hana nguo ya kwendea kwenye mtoko huo, so ikabidi nimtumie akanunue. Na sio kweli kuwa hakua nazo, najua ana nguo kibao maana nyingi mm ndo nlimnunulia. Kuna sometimes nlikua nawaza maybe Kaly yupo na mm sbb ya pesa nnazompa, ila kama mjuavyo mwanamke akipenda amependa kweli. So I was blinded by love.
That day nimesubiri mtu mpaka saa moja, mwanzo simu alikua anapokea ila mwishoni akazima kabisa na simu. Huku kwenye party ndo cousin kila saa anapiga uko wapi?. Nikawa nshaamua kuchukua taxi nisepe, nikawa nimempigia mzee Msimbe pale Palm beach aje anifuate. Bt kabla taxi haijaja nikapokea simu ya Kaly na excuses kibao, bt akasema nimpe dkk 20 atakua hapa.
Tumeingia kwenye party kama saa tatu hivi. Watu kibao. Ile nafika tu Cousin kanidaka, ingawa she was also a friend ila story zake mara nyingi zilikuaga zinaboa, ni mambo ya nguo na vipodozi. Bt ndo bi harusi, inabidi tu umsikilize. Kabla hatujachanganya na wengine akanambia, mdogo wangu kile kijamaa chako kinakupotezea muda tu, tafuta kijana anayejielewa hapa leo, si unaona mwenyewe walivyotokelezea,kazi kwako dogo. Sikupenda anavyomchukilia Kaly ila ndo sikutaka kubishana, nikawa namchekea tu. Sikua mnywaji sana so nikawa tunapiga story na cousin na other relatives huku nikitambaa na juice. Kwa kuwa watu ni wengi sikujua hata Kaly kapotelea wapi.
Baada kama ya nusu saa ndo Ras akaingia. Nadhani I was the only one who noticed him. Alikua ameambatana na wakaka wengine wawili. Nasema nadhani nilikua pekeyangu niliyemnotice maana hakua na muonekano ambao vijana wote hapa walikua nao. Kwanza alikua mwembamba, sio sana kama anaumwa, hapana, ila ule wembamba unaoonesha jamaa hajijali kwenye issue za msosi.
Then alikua ameachia ndevu ziote zinavyotaka, hazikua nyingi sana maana umri wake sio mkubwa bt hazikua zimepangiliwa. Nywele ndo usiseme, yaani zilikua nyingi alafu wala hakuhangaika kuzichana. Mikono yote kajivalisha cultures za aina mbalimbali, then kavaa mshati mkubwa ambao ukiangalia na jinsi alivyomwembamba unaeza either kumcheka au kumuonea huruma.
Wakati naendelea kutafakari how life is unfair, nikasikia kama vurugu. Kwenda nje kucheki namkuta Kaly anagombana, kisa kuna dem analalamika Kaly kamshika matako. So jamaa wa yule dem ndo kalianzisha varangati. Wote wamelewa so Kaly nae anataka kuzichapa.
Aliponiona akaanza kujitetea kabla hata sijauliza, “baby huyu mwanamke mi napita zangu anadai nimemshika tako, mi ndo ntakua wa kumtamani kinyago ka huyu akati nna dem mkali ka ww", yule manzi aliposikia anakandiwa nae kapandisha sauti, kiukweli nlikua namfahamu, ni ndugu flani wa kuvuta na kamba, bt ilibidi niingilie kati kumsaidia Kaly. Nikajidai na busara zangu za utoto “jamani si inawezekana kakugusa bahati mbaya, sasa kuna haja gani kufanya issue iwe kubwa hadi unataka haribu sherehe ya watu, baby twende ndani achana nae”, nikamchukua Kaly mpaka room.
Of course kindanindani nlikua kama roho inaniuma, maana yule dem tako alikua nalo, then mm ndo ile Mungu aliamua kunigawia kiasi tu. Bt nlikua siko tayari kumpoteza Kaly. Kaly was handsome. Alikua na macho flani akikuangalia unaeza itika, bt most of all nlipenda lips zake. Yaani hata aniudhi vipi, akinikiss moyo wangu hupoa.
Ni kati ya wanaume ambao mnaeza kiss nae hata siku nzima, ooh I loved those lips. Na kama alijua vile, maana tulivyofika room akanihug then akanisogezea lips, nikahisi kuloana. Nikasahau maswaiba aliyoyafanya. Kuja kushtuka kashanitoa chupi, nikamuwahi. “sio poa, watu nje watajua tunatiana" eti “achana nao bana, I want you now" na hivi alijua mi nishakufa kwake alijua siezi kataa.
Tukutane kesho....
Picha zote ni kwa msaada wa google.com
Sent using Jamii Forums mobile app