Hii hapa rap ya karne kwa African Hip Hop

Hii hapa rap ya karne kwa African Hip Hop

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,317
Reaction score
139,035

View: https://youtu.be/UiIa2i29PZ4

R.I.P Father Nelly wa Xplastaz
Nimesikiliza hii nyimbo tangu nikiwa bwana mdogo mpaka leo nimekuwa broo!
Nafikiri tukubaliane sasa kwamba kwa Hip Hop hii ndio rap bora zaidi kwa karne hii kwa African Hip Hop. Hii ngoma ilizingatia vigezo vyote. Mistari inaeleweka, inafunza, inahoji na kufikirisha. Beat ni ya rap halisi. Video inaakisi kinachoimbwa.

Hata waliouza bandari wanaweza kusikilizishiwa hii ngoma.

Ni kigezo gani cha ubora kinapelea hapo? Sijaona
 
Back
Top Bottom