Habari wana Jamiiforums, Karibuni kusikiliza EP yangu mpya niliyotengeneza Kwa AI inaitwa Street codes, Ngoma Karibu zote ni melodic rap
Track 1: Hustle everyday
Track 2: life is simple...
Nyote mnaopenda riwaya pendwa nadhani mnawajua Joram Kiango ambaye alikuwa muhusika wa mwandishi Ben R Mtobwa, huku Willy Gamba akiwa muhusika wa Elvis Musiba.
Hawa walikuwa wanabaadhi ya sifa...
Nikiri wazi: tangu nimeacha kusikiliza muziki wa hawa wasanii chawa, moyo wangu una amani sana.
Nimengundua muziki wa zilipendwa umejaa madini na hekima nyingi sana, usiochosha kusikiliza.
Muziki...
Habari wanajamvi!
Nakumbuka mwishoni mwa miaka ya 80, nilibahatika kusoma riwaya moja ikijulikana kwa jina la PETE. Nahisi ni riwaya ya kimkondo wa Kifalsafa.
Ninachokumbuka kwa haraka ni kuwa...
Watu wengi wamekua wakiuskiliza huu na umewahudumia sana lakini bila kujua ukweli ya kuwa huu wimbo umetengenezwa kwa AI. Ukiangalia kuanzia mpangilio wa sauti, mguso wa hisia na namna ulivyokaa...
“Watu waliopiga kura milioni 31 wameshindwa hata ku-view nyimbo za wasanii wao 😂😂
Demokrasia online imegoma kufanya kazi 🤣”
WE NANI ANA NAMBA
ZA MAMA
AMPIGIE KUNA WATU WANAVIPAJI
VYA...
KISA CHA MSAFIRII
_____________________
Mwaka 2000 katika ukumbi wa Mambo Club (baadae ukaitwa Maisha Club) uliopo pale Oysterbay jijini Dar, lilifanyika tukio kubwa la kihistoria la muziki wa...
Epiphyllum Dream:
hii movie ina story line bora sana katika movie zote za china nlizowahi kuziona, Sjajua mtunzi na director ni nani ila walifanya kazi moja kubwa sana hapa, japo ni ya mda kidogo
Bongo Star Search (BSS) ni moja ya mawazo makubwa na bora sana kuwahi kuzaliwa katika tasnia ya burudani Tanzania. Tangu kuanzishwa kwake hadi sasa, BSS imekuwa zaidi ya shindano la kuimba...
Dunia ya muziki wa hip hop mara nyingi hukumbwa na misukosuko ya wasanii kuwa kwenye kutokuelewana ama bifu, lakini mashabiki wengi sasa wanaamini ni muda sahihi kwa Disasta Vina kumfungulia tena...
Inasemekana hii ndiyo moja filamu nzuri iliyowahi kupendwa hapa duniani. Imetengenezwa mwaka 1972 na mara ya kwanza ilikuwa riwaya lilioandikwa na mwanafasihi wa Kiitalia Mario Puzo.
Hii filamu...
Binafsi namkumbuka Tagawa kwenye filamu ya Bridge of Dragons, humu alicheza kama General Ruechang, moja uhusika katili sana, jamaa alikuwa "acheki na wowote" Kwenye hii filamu alimpa mahangaiko...
The series’ primary villain also returns: Col. Miles Quaritch (Stephen Lang), now wholly comfortable as a 9-foot-tall avatar embedded with his human memories. His hatred for Jake remains...
Anaitwa Bouro Mpela Geco Mwanamuziki wa muda mrefu na Kinara wa Bendi ya Quarter Latin yake Koffi Olomide.
Kaka yake anaitwa Alain Mpela Afande ambaye nae alikuwa Mwanamuziki tegemeo wa Bendi ya...
wakuu kuna movie mpya inatamba kwasasa inaitwa sisu. Ni movie nzuri ila ina uongo wa kushato wazee.
Kwanza mzee sisu anazuia risasi kwa bakuli la bati sijui, anazama ndani ya maji na kuvuta pumzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.