HARD BLASTERS CREW FT. LB GENIUS
( TUKO NYUMA)
Chorus.
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo
Tuko nyuma
Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira...
⚔️ TRAVIS MATUPA — MBEBA MWENGE WA MWISHO
---
🌑 Asili yake
Travis Matupa hakuzaliwa kama shujaa.
Alizaliwa katika kijiji kidogo kilichokuwa kandokando ya Msitu wa Nyota.
Tangu akiwa mtoto...
Wadau hamjamboni nyote?
Niwe muwazi mimi ni muumini wa Kanisa la Waadvetista wasabato ila napenda sana kusiliza nyimbo za kwaya za Kanisa Katoliki
Hivyo siku ya leo kwa heshima kubwa naomba...
Madrassa Vingunguti - Yatima Albayana
Nur Fauqa Ya Nour
Kiumbe Acha Ubaya
Kuna Qasida ilikua inatumika kama Soundtrack (Background) ya Kipindi cha Safina , Radio Sauti ya Quran miaka ya 2009-2010 hivi
Kwenye pita pita zangu mtandaoni, Mjanja M1 nikakutana na post hii kutoka kwa 50 cent akiipigia chapuo Movie aliyoigiza na Mel Gibson.
Mjanja M1 nikawasha Smart Tv yangu na kui-play online...
Mimi kama mpenzi wa movie huwa sichagui genre. Naangalia zote kuanzia Action, Romance, Horror, Thriller, Drama za aina zote hadi za High School.
Huwa naangalia movie za USA (Hollywood) na za...
Mpo salama!
Huyu jamaa kwa mara ya Kwanza niliangalia picha yake ya Kwanza Miaka ya 2009/2010 huko katika Series Moja iitwayi IRIS. Hapo ndio mwanzo wa kuzipenda na kuanza kufuatilia baadhi ya...
R. Kelly anachunguzwa na mamlaka za shirikisho baada ya nambari ya simu ya mkuu wa gereza aliyestaafu kupatikana katika daftari lake katika gereza la North Carolina.
Mwimbaji huyo wa R&B...
MAKABURI YA WASIO NA HATIA (GRAVES OF THE INNOCENTS)- 1
JINA langu naitwa Togolai Mahimba, ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba wa baba yetu, Sinai Mahimba ambaye kwa sasa ni marehemu. Baba...
Ukiniuliza Vip mambo..?/
Nitakujibu mambo poa/
Ashishi Pafu mbili nashangaa unakohoa/
Mchezo unaocheza tuliucheza zamani/
Usiniulize mimi na nani..?
Labda na Kaka ako /
Au Uncle Au labda na Baba...
PROFESSOR JAY.
MAGEREZA yanawaka moto Wafungwa ndani ya msoto/
Wanaume wanavyocheza Baba na mama kama watoto/
Ni ukweli usiofichika mfungwa hachagui gereza/
Wote wana haki sawa sio tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.