Rapper wa bolingo

Rapper wa bolingo

babukijana

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
16,060
Reaction score
20,407
Kuna Bileku mpasi
Tutu Caludji,
Obrigado,
Kerosene
Chameleone
Amigos Adios
Vwala,

Hapa kwetu kuna Kitokololo Sauti ya Simba,

Mau santiago
toto ze bingwa,Nguza jr, ni Diouf tu na Banza na kalala jr wanaweza kushika hio mifupa.

Labda nikumbushe tu Banza aliimba TOT "mimi niseme na wewe useme nani atamskiliza mwenzie?

Kuna "mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe

Hiyo nyimbo ya Dr Remmy kwenye verse zake aliimba kwamba wote tukishona viatu nani atanunua vipya?

Tukinunua magari wote nani aendeshe taxi?
Wote tukijipikia nani atauza Mama ntilie?.
 
umemsahau nyoshi elsaadati
Sio rapper,
Nyoshi ni mwimbaji tupia mbali hawa kina patcho ,Nyoshi alimleta Ndanda Cosovo ,Marie stonch alikuwepo na wengine wengi tu.
Walitoka bogoss muzika Nairobi huko
Gizzelle alikua mke wangu,dansa wao alipigwa risasi mguuni huyu.
Wakamkataa.
Wasenge sana hii kabila,nimekuta analia kakata tamaa ndani ya ukumbi
Huku Nyoshi wanaimba hadijha sema basi mamaa"na ndio ilikua siku ya uzinduzi wa FM Musica pale langata kino.
Nilichoka niliyakuta wote kumbe Gizzelle ndio anawaremba woote,na King Dodoo labouche.
Gizzelle nilipomuacha alikua anakuja
Analia getini saa nzima kama Bundi.
Sikumuacha vibaya anyway badae kasonga,Alifungua Saloon pale studio kino.
 
Back
Top Bottom