PENZI LA NYOKA MTU
MTUNZI:HAKIKA JONATHAN
WHATSAP:0629905923
*SEHEMU YA KWANZA**
Msitu wa Ukijani ulikuwa kimya sana,ukimya uliopelekea sauti za ndege kusikika kila pembe ya msitu huo.Ndege...
tory za kusisimua.
Simulizi: 'MKUFU WA MALIKIA WA KIJINI'
Mtunzi: Meteck Derthod
SEHEMU YA--- 01
Shukurani kwa:-
1> Mungu aliyeniumba na kunifanya niendelee
kuishi mpaka muda huu.
2>Wote wanaotoa...
Huu utakuwa ufafanuzi rahisi was kitu ama Muda.
Je inawezekana kwenda miaka ya mbele ama kurudi nyuma kwa akina Yesu na Yuda Eskaroti?
Sasa hapa utapata ufafanuzi wa time travel.
Ipo ama haipo...
Onyo: simulizi hii ni kazi ya ubunifu (fiction). Wahusika, matukio, majina ya kampuni (isipokuwa yale yanayojulikana sana, mfano 'Dar es Salaam)na taasisi za kisiasa zilizotajwa hapa ni za...
Jimmy Cliff alikuwa mwanamuziki wa Reggae kutokea Kingston Jamaica na ndiye aliyekuwa mashindani mkubwa sana wa Bob Marley. Wote Jimmy Cliff na Bob Marley walivuma sana miaka ya 70 kabla Bob...
Kama mtunzi hii ni simulizi yangu ya kwanza kuandika na kuitangaza nje ya jukwaa husika. Mimi ni mwandishi wa simulizi kutoka jukwaa la fasihinet.com ya boss singanojr 😁
Nisielezee sana kuhusu...
Mamtoni Kuna ranking za verse Kali za Hip hop ambazo vesi kama zifuatazo zimepata kupewa hadhi ya juu mara nyingi,
NY state of mind verse 1- Nas
Shook one verse 1 - Prodigy - Mob Deep
Loose your...
Waandaaji wa SolFest ya bendi ya Sauti sol imetangaza kuhairisha tamasha lao la Solfest Tanzania Pre-Party, lililokuwa limepangwa kufanyika tarehe 22 Novemba jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya...
[MPYA 2024]
FROM ISRA TO ISRA.
Sehemu ya..............01
Mtunzi: Saul David
Simu: 0756862047
Email: saulstewarty@gmail.com
UTANGULIZI...
Ulikuwa ni mchana wa jua kali, Mwanaume mmoja...
[Intro]
Yeah, farewell
Uh, uh, uh, uh
Hey, farewell
Hey, all my niggas, farewell
Fayettenam
Look
Yeah, yeah, yeah, look
[Verse 1]
Some niggas let they dirt out, some just keep it all in 'em
So...
Nimeona ni share hii Hadith yangu fupi ya utotoni.
Nilipo kuwa mdogo, miaka karibu 4–5, nilienda na watoto wenzangu kuogelea mtoni. Tulivua nguo kama kawaida. Mimi, kwa udogo wangu, sikuwahi...
Wadau wa Games, kuanzia PC hadi consoles. Rockstar Games wamesogeza zaidi muda wa kuzindua GTA-6 kutoka May hadi Nov 2026.
Pata muda wa kununua PS5 yako au upgrade PC yako mapema.
SEASON-1
EPISODE 01
Ilikuwa ni siku ya furaha kwa kila mmoja wetu kwa kufika hatua hiyo ya kumaliza elimu ya upili baada ya kumaliza mitihani ya kidato cha sita.
Kilichobaki kwa wakati huo...
Mitandao ya kijamii imekuwa chombo kikuu cha mawasiliano, burudani na hata ajira duniani kote. Hata hivyo, kwa Afrika hususani Tanzania, mitandao hiyo mara nyingi inageuzwa uwanja wa vituko badala...
THIS SONG TRANSLATED
lingala: Aee nakomitunaka
english: Aee I ask myself
li: Nzambe nakomitunaka
en: God I ask myself
li: Poso mwindo ewutande wapi ?
en: Where did black skin come from?
li: koko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.