babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,133
- 16,045
Kwenye swala la muziki ,wera namuelewa sana toka bcbg kitambo tu.
Wera yuko vizuri sana kwenye utunzi, pilika za jukwaani hawezi, nakumbuka bcbg adolph domingez na Emilia walikua wanamtoa jukwaani mapema tu.
Sasa yuko
Ferre, Le padre parazullia.
Huyu dogo alikua mbeba makoti ya Jibe Mpiana,chawa wa wenge bcbg ukipenda ita besebejee.
Sasa leo ni anaimba kuna live moja kaimba nyimbo zote za wakongwe.
Viktoria eleyson, Papa Wemba, Defao, Pepe kalle, Franco makiadi, Tabu ley, Sam Mangwana acha hizo za bcbg.
Na sebene linaendelea.
Werra siku hizi kapoa ila vijana wake wanaamsha sana.
Jibe yuko na wazee wake walewale hawataki kustaafu.
(usisahau wenge kinois)
Hao nao balaa
Fally huwa naona anatingisha matako tu hana jipya
Wera yuko vizuri sana kwenye utunzi, pilika za jukwaani hawezi, nakumbuka bcbg adolph domingez na Emilia walikua wanamtoa jukwaani mapema tu.
Sasa yuko
Ferre, Le padre parazullia.
Huyu dogo alikua mbeba makoti ya Jibe Mpiana,chawa wa wenge bcbg ukipenda ita besebejee.
Sasa leo ni anaimba kuna live moja kaimba nyimbo zote za wakongwe.
Viktoria eleyson, Papa Wemba, Defao, Pepe kalle, Franco makiadi, Tabu ley, Sam Mangwana acha hizo za bcbg.
Na sebene linaendelea.
Werra siku hizi kapoa ila vijana wake wanaamsha sana.
Jibe yuko na wazee wake walewale hawataki kustaafu.
(usisahau wenge kinois)
Hao nao balaa
Fally huwa naona anatingisha matako tu hana jipya