Miaka ya 1990 mpaka mwanzoni mwa mwaka 2000 tulipata kusikia nyimbo tamu sana kutoka Ughaibuni, nyimbo kama "Hold On" ya mwamba Wilson Phillips, au "It Must Have Been Love" kutoka kwa bendi ya...
Kabla sijaanza naomba niwahakikishe kwamba hii story nimepewa ruhusa na mwandishi kupost humu. Kila siku ntakua napost na nawahakikishia story itaisha kabisa.
Pia hadithi kama hizi zinapatikana...
Kilio cha majonzi kimeibuka katika jumuiya ya wachezaji wa Call of Duty baada ya kitendo cha kipuuzi na cha kibaguzi kufanyika ndani ya mchezo wa Black Ops 2.
Yaan kuna majamaa mapuuzi yaliobeba...
Kuanzia mwaka 2009 mpaka 2018 walituburudisha sana, vipaji vikubwa sana kutoka kwa Marcus Kibukosya, Benoît Kanema, Matthew Wakhungu pamoja na kadada karembo Karungari Mungai.
Kwa wale ambao...
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
Watanzania wengi wameshakata tamaa ya maisha na hii si kwa wasiyo nacho tu, bali hata kwa walionacho!.
Kila mtu anatafuta pesa kwa njia anayoifahamu yeye...
NGWEA - ZAWADI
___________________
JEAH!
MOJA KWA MOJA TOKA CHAMBER
NGWEA NA EAST ZOO YOU DOJO KAYA
FELOO
VERSE 1
__________
UZURU WAKO WA TABIA UMBO NA SURA NDO ULIONIFANYA...
GT
Mwendo ni huo. Kama hawa sasa wanataka tusikilize nyimbo zao wafe. Hatuwezi kuwa na wasanii wasiojitambua.
Ikumbukwe bila mashabiki hata hao maCCM wasingewaona. Tumewainua sisi lazima...
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza rasmi kuahirishwa kwa hafla ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) 2025, ambayo mwanzo ilikuwa imepangwa kufanyika tarehe 13 Desemba 2025.
Kupitia taarifa...
Mbilia bell akiongoza kwa hits kama Nakei na Nadina, ye Tshala mwana aki-hits kwa Massuwa na Dezo dezo.
Ni kati ya wanamuziki wa kike wa Congo waliowahi kutamba miaka ya 80 mpaka 90 na mpaka...
Wakuu habari zenu
Nawiwa kufanya sanaa ya kuigiza hapa nyumbani ( Bongo Movie). Hivyo naomba msaada kidogo kuhusu haya:
a. Nataka kujua kampuni nzuri ninayoweza kuitumia kushoot movie yangu kwa...
"Aliyepata ziro form 4 mnamsukumia VETA,
mnaamini umeme wa magari unahitaji MAZEZETA?"
roma mkatoliki huyu jamaa ni fundi wa mistari...
Hajawahi kuboronga..KKK
Muigizaji Mkongwe na Producer Cary-Hiroyuki Tagawa amefariki dunia jana Disemba 4, akiwa na miaka 75 Santa Barbara, California Marekani.
Tagawa amefariki mbele ya familia yake baada ya kuugua kwa...
Miaka ya mwanzoni mwa 2010 ilikuwa zama za dhahabu kwa mashabiki wa filamu za Marvel Cinematic Universe (MCU). Kila filamu iliyotoka ilikuwa tukio la kusisimua. Kuanzia Iron Man (2008), The...
Leo nilikuwa job katika story za hapa na pale, wadau wakaanza kubishana juu ya movie kali ya kibongo 2025
on my side, movie kali ni PRESSURE
Vip kwa upande wenu JF-members
Nimetokea kuikubali sana hii series
Maisha ya Daudi akiwa mchungaji wa kondoo huko milimani akipambana na wanyama wakali huku kaka zake wakiwa nyumbani
Maisha ya mfalme Sauli aklivyolewa sifa...
Binafsi sio mfuatiliaji sana wa nyimbo hasa ambazo sielewi lugha yake
Mwanzoni nilianza kuona wimbo wa makombolela kwenye page mbalimbali za instagram, baadaye kila aliyepost au kupiga wimbo huo...
Imebaki siku moja tu kabla ya kuonyeshwa duniani kote, Netflix wameachia trela ya kwanza kabisa ya Sean Combs: The Reckoning, mfululizo wa documentari ya sehemu nne (four-part docuseries)...
We and Dem” is Bob Marley’s warning about division, injustice, and oppressive systems, and a call for unity and awareness.
It reflects the struggle of ordinary people against corrupt powers that...
Katika kupitia maoni ya JF members, nimekutana na post ya Roman Israel Esq ambayo kutokana na upeo wangu kuwa mdogo nimeshindwa kumuelewa Tosh.
Sijui shida yake ilikuwa ni nini. Je, hakutaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.