Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Miaka ya 1990 mpaka mwanzoni mwa mwaka 2000 tulipata kusikia nyimbo tamu sana kutoka Ughaibuni, nyimbo kama "Hold On" ya mwamba Wilson Phillips, au "It Must Have Been Love" kutoka kwa bendi ya...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Kabla sijaanza naomba niwahakikishe kwamba hii story nimepewa ruhusa na mwandishi kupost humu. Kila siku ntakua napost na nawahakikishia story itaisha kabisa. Pia hadithi kama hizi zinapatikana...
7 Reactions
500 Replies
127K Views
Kilio cha majonzi kimeibuka katika jumuiya ya wachezaji wa Call of Duty baada ya kitendo cha kipuuzi na cha kibaguzi kufanyika ndani ya mchezo wa Black Ops 2. Yaan kuna majamaa mapuuzi yaliobeba...
1 Reactions
0 Replies
164 Views
Kuanzia mwaka 2009 mpaka 2018 walituburudisha sana, vipaji vikubwa sana kutoka kwa Marcus Kibukosya, Benoît Kanema, Matthew Wakhungu pamoja na kadada karembo Karungari Mungai. Kwa wale ambao...
5 Reactions
41 Replies
1K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!. Watanzania wengi wameshakata tamaa ya maisha na hii si kwa wasiyo nacho tu, bali hata kwa walionacho!. Kila mtu anatafuta pesa kwa njia anayoifahamu yeye...
47 Reactions
378 Replies
104K Views
NGWEA - ZAWADI ___________________ JEAH! MOJA KWA MOJA TOKA CHAMBER NGWEA NA EAST ZOO YOU DOJO KAYA FELOO VERSE 1 __________ UZURU WAKO WA TABIA UMBO NA SURA NDO ULIONIFANYA...
1 Reactions
3 Replies
849 Views
Kuelekea x-mass, ningependa tufahamishane ngoma kali ambazo husikilizwa sana december for christmass holiday.
1 Reactions
4 Replies
146 Views
GT Mwendo ni huo. Kama hawa sasa wanataka tusikilize nyimbo zao wafe. Hatuwezi kuwa na wasanii wasiojitambua. Ikumbukwe bila mashabiki hata hao maCCM wasingewaona. Tumewainua sisi lazima...
5 Reactions
8 Replies
246 Views
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza rasmi kuahirishwa kwa hafla ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) 2025, ambayo mwanzo ilikuwa imepangwa kufanyika tarehe 13 Desemba 2025. Kupitia taarifa...
2 Reactions
27 Replies
954 Views
Mbilia bell akiongoza kwa hits kama Nakei na Nadina, ye Tshala mwana aki-hits kwa Massuwa na Dezo dezo. Ni kati ya wanamuziki wa kike wa Congo waliowahi kutamba miaka ya 80 mpaka 90 na mpaka...
0 Reactions
68 Replies
13K Views
Wakuu habari zenu Nawiwa kufanya sanaa ya kuigiza hapa nyumbani ( Bongo Movie). Hivyo naomba msaada kidogo kuhusu haya: a. Nataka kujua kampuni nzuri ninayoweza kuitumia kushoot movie yangu kwa...
4 Reactions
6 Replies
421 Views
"Aliyepata ziro form 4 mnamsukumia VETA, mnaamini umeme wa magari unahitaji MAZEZETA?" roma mkatoliki huyu jamaa ni fundi wa mistari... Hajawahi kuboronga..KKK
4 Reactions
157 Replies
29K Views
Muigizaji Mkongwe na Producer Cary-Hiroyuki Tagawa amefariki dunia jana Disemba 4, akiwa na miaka 75 Santa Barbara, California Marekani. Tagawa amefariki mbele ya familia yake baada ya kuugua kwa...
2 Reactions
4 Replies
420 Views
Miaka ya mwanzoni mwa 2010 ilikuwa zama za dhahabu kwa mashabiki wa filamu za Marvel Cinematic Universe (MCU). Kila filamu iliyotoka ilikuwa tukio la kusisimua. Kuanzia Iron Man (2008), The...
1 Reactions
14 Replies
594 Views
Leo nilikuwa job katika story za hapa na pale, wadau wakaanza kubishana juu ya movie kali ya kibongo 2025 on my side, movie kali ni PRESSURE Vip kwa upande wenu JF-members
1 Reactions
5 Replies
579 Views
Nimetokea kuikubali sana hii series Maisha ya Daudi akiwa mchungaji wa kondoo huko milimani akipambana na wanyama wakali huku kaka zake wakiwa nyumbani Maisha ya mfalme Sauli aklivyolewa sifa...
3 Reactions
8 Replies
699 Views
Binafsi sio mfuatiliaji sana wa nyimbo hasa ambazo sielewi lugha yake Mwanzoni nilianza kuona wimbo wa makombolela kwenye page mbalimbali za instagram, baadaye kila aliyepost au kupiga wimbo huo...
2 Reactions
9 Replies
590 Views
Imebaki siku moja tu kabla ya kuonyeshwa duniani kote, Netflix wameachia trela ya kwanza kabisa ya Sean Combs: The Reckoning, mfululizo wa documentari ya sehemu nne (four-part docuseries)...
0 Reactions
1 Replies
245 Views
We and Dem” is Bob Marley’s warning about division, injustice, and oppressive systems, and a call for unity and awareness. It reflects the struggle of ordinary people against corrupt powers that...
1 Reactions
1 Replies
157 Views
Katika kupitia maoni ya JF members, nimekutana na post ya Roman Israel Esq ambayo kutokana na upeo wangu kuwa mdogo nimeshindwa kumuelewa Tosh. Sijui shida yake ilikuwa ni nini. Je, hakutaka...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom