Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,818
- 11,542
Zamani hip hop ndiyo ilidominate charts maredioni mpaka mitaani...enzi za kina prof j, Afande sele, Ngwea nk.
Leo hii amapiano, Bongofleva (copy za kinaijeria) na singeli ndio zinadominate kupigwa maredioni mpaka mitaani.
Sikuhizi hakuna wasanii wa hip-hop wanaoshikilia soko kwa kuuza nyimbo au kutoa hit kama zamani.
Karibia wote wamepoa, wametulia hata wakitoa ngoma inabuma au unakuwa chini ya kiwango.
Tatizo nini? Je ni ukosefu wa Ubunifu kwa wasanii au nini? Au hip-hop kama genre imeshakuwa zilipendwa sikuhizi vijana wanataka mziki wa kucheza tu?
Msanii gani wa hip-hop saivi anatrend au anafanya vizuri ambaye watu wanasubiria kazi zake kwa hamu?
Young killer? Young lunya? Rapcha? Darasa? Stamina?
Mbona hao wote hawamfikii hata Dulla makabila?
Tatizo nini?
Leo hii amapiano, Bongofleva (copy za kinaijeria) na singeli ndio zinadominate kupigwa maredioni mpaka mitaani.
Sikuhizi hakuna wasanii wa hip-hop wanaoshikilia soko kwa kuuza nyimbo au kutoa hit kama zamani.
Karibia wote wamepoa, wametulia hata wakitoa ngoma inabuma au unakuwa chini ya kiwango.
Tatizo nini? Je ni ukosefu wa Ubunifu kwa wasanii au nini? Au hip-hop kama genre imeshakuwa zilipendwa sikuhizi vijana wanataka mziki wa kucheza tu?
Msanii gani wa hip-hop saivi anatrend au anafanya vizuri ambaye watu wanasubiria kazi zake kwa hamu?
Young killer? Young lunya? Rapcha? Darasa? Stamina?
Mbona hao wote hawamfikii hata Dulla makabila?
Tatizo nini?