Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wale wapenzi wa burudani nawaletea filamu zilizochezwa vizuri na wasanii wa hipop (rappers) Tuanze kutililika[emoji94] [emoji419]2pac:juice [emoji419]Ice cube:boyz N the wood [emoji419]Dmx:belly...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Hello. Wana jamii naomba mnisaidie majina ya hizi movie au link nizi download.
0 Reactions
2 Replies
992 Views
...
5 Reactions
20 Replies
5K Views
My mother used to cook beans, but before she cooked the beans, she picked the bad and dirty beans and threw them at our backyard and only cooked the good beans. But when the rain came, the dirty...
2 Reactions
2 Replies
516 Views
Binafsi huwa nikikutana na movi za aina hii basi natafuta njia nyingine kuzikwepa. Walioweka kiswahili wananogesha hadi wanaharibu. Angalau waweke subtitles.
4 Reactions
7 Replies
6K Views
Kichwa cha uzi juu kinajieleza 1. Noorah a.k.a Baba Starz 2. Albert Mangwair "Ngwair" Kama wapo na wengine ongezea ila hawa ni koma kabisa [emoji28]
1 Reactions
4 Replies
874 Views
Ni kwaya ama ni nini? Jide my sista are u serious? Kwaya? Mwaka 2023? It is high time now wakongwe wa bongo fleva waambiwe ukweli. 2023 is not 2003. Mambo yamebadilika. Something which was...
2 Reactions
4 Replies
584 Views
Achana na watu wanao komenti kwa kukuogopa kwenye page yako huko instagram. Ukweli ni kwamba wimbo wako sio mzuri na hauendani na nyakati zilizopo. Nakushauri ufanye tena research yako vizuri...
0 Reactions
2 Replies
995 Views
  • Poll Poll
MICHEZO: Kampuni inayojihusisha na michezo ya mieleka duniani maarufu kama "WWE" World Wrestling Entertainment ina mpango wa kuandaa pambano kati ya nyota wa klabu ya Al Nassr Cristiano Ronaldo...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Hello members, Wale wapenzi wa movies za teknolojia ya mbeleni kama vile time traveling. Trending Monsters Movies, movies za kuruka viunzi kama vile No Escape, Current Vampire and Zombies Movies...
2 Reactions
2 Replies
666 Views
Battle hili hapa la walio kuwa kundi moja na baadae kuvunjika na kuunda Tmk wanaume family na Tmk wanaume halisi. Makundi yote haya mawili yali bahatika kutoa mikwaju mikali way back naweka...
4 Reactions
59 Replies
6K Views
MAJUTO NI MJUKUU Dada zangu kuna kitu cha kujifunza hapa Niliolewa na mwanaume mpole sanaaaaaa miaka mitano iliyopita, yani nikisema mpole ni mpole mno, hakunifatilia hata siku moja, hakuniuliza...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
KWA WALIMU WOTE Sikilizeni wimbo huu: Nilipokuwa mtoto niliitwa Chacha Kwa matamshi yangu ya sasa Nilipokuwa kijana niliitwa Chaupele Nilipokuwa mtu mzima niliitwa Manywele Nilipokuwa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Nipo nafatilia hili tamasha la wasafi festival live hii show ya Songea. Jamaa wamejitahidi sana kwenye promotion lakini ukija kwenye ubora wa matangazo ya live ni very poor. Hii...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa Rhumba hili Kali 'Se Yo' lake Fally Ipupa 'Decaprio" itoshe tu kisema Shikamoo Fally Ipupa popote pale ulipo. Mpinzani wako mkubwa Ferre Gola ana Kazi ya ziada ya Kukujibu kwani ni Wimbo...
7 Reactions
56 Replies
4K Views
1. Jay Mo moja ya msanii bora wa hiphop kwa 2010 kurudi nyuma, alikua mbaya sana haswa kwenye featuring moja ya feallturing kali ni baina yake na Ngwair 2. Sugu ni Legend na Godfather wa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Album zake ni 1.Tokooos 2.Arsenal de Belles Melodies 3.Droit Chemin 4.Tokooos II 5.Power "Kosa Leka" 6.Control 7.Formule 7. Kwangu album kalii kutoka kwake ni control...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Good morning jobless wenzangu natumai mko salama na matumaini ya kuijenga himaya kubwa siku za usoni japo mbele kuna kiza kinene. Twende hapa tujifurahishe Weka dhanio unatakiwa kutoa sare...
0 Reactions
0 Replies
304 Views
Siku za Juzi kati msanii wa Bongofleva mwenye Sauti yake hapa Mjini Daresalade alimchamba Majizzo na kumtuhumu kumuomba Rushwa ya Ngono na mambo mengine kadha wa kadha. Kitu ambacho kiliibua...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MKASA WA KWELI KILICHONIKUTA IYOLE SITOKAHA NISAHAU MWANDISHI: ZUBERI MARUMA Whatsupp: 0759427653 01 "Jina langu kamili ni Samson Ezekiel ila wengi upenda kunihita Sir Ezikiel, tahaluma yake...
12 Reactions
175 Replies
26K Views
Back
Top Bottom