Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Finally Msanii Harmonize ameuachia wimbo wake wa "I made it" ambao kawashirikisha wasanii Bien wa kenya na Bobby Shmurda toka States. Huu wimbo ulikuwa unasogezwa siku mbele kuachiwa, sio mara...
2 Reactions
2 Replies
872 Views
Wakuu Kitambo Fulani pale Kenya ulihit sana wimbo kwa jina la Stella .. Wimbo huo ulioimbwa na mtu aitwaye freshley mwamburi ni kisa cha msichana aliyeitwa Stella , ambaye alipelekwa japan na...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
SIMULIZI YA MAISHA : Mzigo wa Bosi uliharibu maisha yangu. MWANDISHI: Gilbert Evarist Mushi PHONE: +255621249611 SEHEMU YA 01 Kwa Majina Naitwa Gilbert Mwaitika, Nina umri wa miaka 25...
4 Reactions
116 Replies
42K Views
Nimekaa kwenye ofisi na siyo ofisi ndogo,ofisi kubwa sana,Tena ninaimiliki mwenyewe iliyosheheni furniture za thamani na kila kitu nilichokuwa nakitamani muda wote wa maisha yangu,ninayo Amani ya...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Sehemu ya kwanza Habari za wakati huu, Niite Mark ni mtu mzima nilikuwa na mke na watoto 6. Nimzaliwa wa mkoani Kilimanjaro, moshi mjini Njoro. Elimu yangu ilikuwa ya kulenga kwa manati...
13 Reactions
86 Replies
14K Views
Kwa wapenzi wakuangalia Movies, ni Kampuni gani kati ya hizi ukiiona kwenye movie unakuwa na hamu ya kuangalia hiyo Movie. Mimi ni WB (Warner Bros) Boqin Naomba ubadilishe Thread Title...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Hi guys nyimbo Kali nyingi zilitungwa kipindi hicho kama vile 1)Dynamite ya taio Cruz 2)International love ya pitbull ft Chris brown 3)Coconut tree ya mohombi 4)Bumpy ride ya mohombi 5)Moves like...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
LANGA alikuwa Msanii wa Hip-hop hapa Bongo,Alijulikana sana kupitia mashindano ya Coca-cola Pop Star akiwa na wenzie,1.Sarah Kaisi - Shaa2. Witnes Mwaijage - Witness3.Langa Kileo - LangaNgoma yao...
12 Reactions
22 Replies
4K Views
Hapa Bambo kule Kingwendu nani kaangusha Melodies kali zaidi?
0 Reactions
7 Replies
624 Views
Kulikuwa na bifu lililotikisa miaka ya mwanzoni ya 2000 kati ya TMK na east coast, kipindi hiko watoto wengi wa 2000 ndo walikuwa wakitungwa so hawajui lolote. Gk kupitia truck yake kali ya hii...
1 Reactions
3 Replies
594 Views
Let me go bare knuckles. Our majirani (Tanzanian) are needful lot. They depend on The Storybook, a show on Wasafi TV, hosted by Jamal April who translates Wikipedia stories to Swahili while...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Binafsi nmeona vitu vitatu Kwa la masimba dangote 1. Baada ya zile tuhuma za Kwamba mwamba anawavimbia wasanii wa kibongo Sasa kaamua kuwapa airtime wabongo ...mind you alianza na jux.....Gnako...
13 Reactions
138 Replies
10K Views
Hapa ni maduu, mabitozi na machizi wa kipindi hiyo. Hili goma la mtu mzima joslin lina kukumbusha wapi na tukio gani ? Hili goma lina historia nami nzito sana kila nikikumbuka huwa nabaki...
3 Reactions
6 Replies
476 Views
Hapa nasikiliza mahaba ya alikiba ngoma inayo fata ni burnaboy common person
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuna wimbo unaitwa "Huu Mwaka". Kiukweli huu wimbo leo ndio mara yangu ya kwanza kuusikia. Nimeshangaa sana kusikia muimbaji akisema "Kudanga Danga sana ila usisahau kujenga kibanda" Wimbo kama...
7 Reactions
64 Replies
3K Views
...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
https://youtu.be/FFY_B6PuMA8? si=K7BnBmCJjhhaSPot I dedicate to my boo my husband to be my lovely only one . I LOVE U SO MUCH
9 Reactions
231 Replies
7K Views
Back
Top Bottom