Finally Msanii Harmonize ameuachia wimbo wake wa "I made it" ambao kawashirikisha wasanii Bien wa kenya na Bobby Shmurda toka States.
Huu wimbo ulikuwa unasogezwa siku mbele kuachiwa, sio mara...
Wakuu
Kitambo Fulani pale Kenya ulihit sana wimbo kwa jina la Stella ..
Wimbo huo ulioimbwa na mtu aitwaye freshley mwamburi ni kisa cha msichana aliyeitwa Stella , ambaye alipelekwa japan na...
SIMULIZI YA MAISHA : Mzigo wa Bosi uliharibu maisha yangu.
MWANDISHI: Gilbert Evarist Mushi
PHONE: +255621249611
SEHEMU YA 01
Kwa Majina Naitwa Gilbert Mwaitika, Nina umri wa miaka 25...
Nimekaa kwenye ofisi na siyo ofisi ndogo,ofisi kubwa sana,Tena ninaimiliki mwenyewe iliyosheheni furniture za thamani na kila kitu nilichokuwa nakitamani muda wote wa maisha yangu,ninayo Amani ya...
Sehemu ya kwanza
Habari za wakati huu,
Niite Mark ni mtu mzima nilikuwa na mke na watoto 6. Nimzaliwa wa mkoani Kilimanjaro, moshi mjini Njoro. Elimu yangu ilikuwa ya kulenga kwa manati...
Kwa wapenzi wakuangalia Movies, ni Kampuni gani kati ya hizi ukiiona kwenye movie unakuwa na hamu ya kuangalia hiyo Movie.
Mimi ni WB (Warner Bros)
Boqin Naomba ubadilishe Thread Title...
Hi guys nyimbo Kali nyingi zilitungwa kipindi hicho kama vile
1)Dynamite ya taio Cruz
2)International love ya pitbull ft Chris brown
3)Coconut tree ya mohombi
4)Bumpy ride ya mohombi
5)Moves like...
LANGA alikuwa Msanii wa Hip-hop hapa Bongo,Alijulikana sana kupitia mashindano ya Coca-cola Pop Star akiwa na wenzie,1.Sarah Kaisi - Shaa2. Witnes Mwaijage - Witness3.Langa Kileo - LangaNgoma yao...
Kulikuwa na bifu lililotikisa miaka ya mwanzoni ya 2000 kati ya TMK na east coast, kipindi hiko watoto wengi wa 2000 ndo walikuwa wakitungwa so hawajui lolote.
Gk kupitia truck yake kali ya hii...
Let me go bare knuckles.
Our majirani (Tanzanian) are needful lot. They depend on The Storybook, a show on Wasafi TV, hosted by Jamal April who translates Wikipedia stories to Swahili while...
Binafsi nmeona vitu vitatu Kwa la masimba dangote
1. Baada ya zile tuhuma za Kwamba mwamba anawavimbia wasanii wa kibongo Sasa kaamua kuwapa airtime wabongo ...mind you alianza na jux.....Gnako...
Hapa ni maduu, mabitozi na machizi wa kipindi hiyo.
Hili goma la mtu mzima joslin lina kukumbusha wapi na tukio gani ?
Hili goma lina historia nami nzito sana kila nikikumbuka huwa nabaki...
Kuna wimbo unaitwa "Huu Mwaka".
Kiukweli huu wimbo leo ndio mara yangu ya kwanza kuusikia. Nimeshangaa sana kusikia muimbaji akisema "Kudanga Danga sana ila usisahau kujenga kibanda"
Wimbo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.