Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Binafsi nmeona vitu vitatu Kwa la masimba dangote
1. Baada ya zile tuhuma za Kwamba mwamba anawavimbia wasanii wa kibongo Sasa kaamua kuwapa airtime wabongo ...mind you alianza na jux.....Gnako ...Jana kaja na Mr blue na jay melody.
2. Kaanza kufanya empowerment nje ya WCB Ili kubalance mziki wa bongo kama mnakumbuka ...hapa bongo graph ya mziki ilibend Kwa wasafi tu since record label zote zilikuwa Chali hivyo mziki wa bongo ulikuwa dominated na WCB
3. Ngoma ni Kali sana....wanyama wameua na ilisubiliwa Kwa hamu ....fulsa ya jay melody kuanza kuwika hapa east Africa kwasababu ukitoa wimbo na la masimba dangote Africa yote itakujua ... rather than ukitoa wimbo na kiba, vanboy na konde ...utaishia tu huko Ukerewe
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
1. Baada ya zile tuhuma za Kwamba mwamba anawavimbia wasanii wa kibongo Sasa kaamua kuwapa airtime wabongo ...mind you alianza na jux.....Gnako ...Jana kaja na Mr blue na jay melody.
2. Kaanza kufanya empowerment nje ya WCB Ili kubalance mziki wa bongo kama mnakumbuka ...hapa bongo graph ya mziki ilibend Kwa wasafi tu since record label zote zilikuwa Chali hivyo mziki wa bongo ulikuwa dominated na WCB
3. Ngoma ni Kali sana....wanyama wameua na ilisubiliwa Kwa hamu ....fulsa ya jay melody kuanza kuwika hapa east Africa kwasababu ukitoa wimbo na la masimba dangote Africa yote itakujua ... rather than ukitoa wimbo na kiba, vanboy na konde ...utaishia tu huko Ukerewe
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app