Kuna wimbo unaitwa "Huu Mwaka".
Kiukweli huu wimbo leo ndio mara yangu ya kwanza kuusikia. Nimeshangaa sana kusikia muimbaji akisema "Kudanga Danga sana ila usisahau kujenga kibanda"
Wimbo kama huu unawezaje kuachiwa uchezwe kwenye vyombo vya habari na wakati unahamasisha Umalaya/Kudanga kwenye jamii yetu.
RC Chalamila amekuwa anapambana kutokomeza biashara ya ngono, ameshindwaje kuuzuia huu wimbo usichezwe kwenye vyombo vya habari kwenye jamii yetu.?
Huu wimbo mtoto mdogo akiusikia unamjenga au unambomoa kimaadili?
NB: Mimi sisikilizaji Bongo Fleva ndio maana nimechelewa kujua kilichoimbwa kwenye huo wimbo.
Written by Mjanja M1
Kiukweli huu wimbo leo ndio mara yangu ya kwanza kuusikia. Nimeshangaa sana kusikia muimbaji akisema "Kudanga Danga sana ila usisahau kujenga kibanda"
Wimbo kama huu unawezaje kuachiwa uchezwe kwenye vyombo vya habari na wakati unahamasisha Umalaya/Kudanga kwenye jamii yetu.
RC Chalamila amekuwa anapambana kutokomeza biashara ya ngono, ameshindwaje kuuzuia huu wimbo usichezwe kwenye vyombo vya habari kwenye jamii yetu.?
Huu wimbo mtoto mdogo akiusikia unamjenga au unambomoa kimaadili?
NB: Mimi sisikilizaji Bongo Fleva ndio maana nimechelewa kujua kilichoimbwa kwenye huo wimbo.
Written by Mjanja M1