Nimeona leo watu wakimtakia happy birthday Faraja kwa kutimiza miaka 30 lakini mbona nahisi ni michache sana kwa mtu aliekuwa Miss Tanzania 2004? Isijekuwa kajipunguzia miaka kama wanavyofanya...
Mashosti wa kufa na kuzikana, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wanadaiwa kugombana baada ya Aunt ' kuposti ' kwenye ukurasa wake wa Instagram tangazo lililohusiana na pati ya...
An Indian court has sentenced Bollywood star Salman Khan to five years in jail for killing a homeless man in a 2002 hit-and-run driving incident in Mumbai.
The man was among five people who...
Siku chache baada ya ndoa ya Legendary wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ' Jide ' na mtangazaji mahiri nchini , Gardner Gabriel Habash ' G Habash' kudaiwa kuvunjika, gumzo limeibuka...
(CNN)This time it wasn't singer Chris Brown making the news for his own behavior. When Brown returned to his Agoura Hills, California, home on Wednesday evening, he found a female intruder in his...
Mwanzilishi na mmiliki wa kundi la Muziki la Yamoto band pamoja na TMK Wanaume Said Fella amesema atamualika na kumuomba rais Kikwete kuzindua nyumba za kisasa za vijana wa Yamoto band ifikapo...
Nimesikia huu wimbo wake unaitwa shuka, yaani anaimba kitoto kitoto sana.
Hata nyimbo zake 4 zilizopita nazo pia.
Huyu jamaa ni pure talent na anajua kinoma,since kitambo lakini anachoimba...
Kumbe! Imebainika kuwa maneno gold digger katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fursa na kuzitumia katika kufaiti kupata mafanikio (utajiri ) kwenye maisha.
Zarinah...
Wana Jamvi,
Katika vitu vya ajabu angekuwepo mashindano ya kupenda , wasanii wa kike wangeliongoza kwa mbio kali za kupenda, labda pengine ni kwa sababu ya mazoe aya kazi yao ya kuwa kwenye...
Mambo vp wanajamvi?nategemea mko poa na asante mungu kwa kutupa fursa na nafasi ya kukutana tena humu ndani,kiukweli wasanii wa muziki nchini inabidi wabadilike ili kuendana na soko la muziki...
Sina kumbukumbu sana kuhusu hili, hivi ni wasanii gani hapa bongo walioana pamoja na wanaishi pamoja mpaka sasa? Naomba kufahamu hao wasanii walioishi kwa pamoja mpaka leo.
Anayejua atujuze
The annual fundraising gala in New York costs $25,000-per-ticket
Beyonce ensured the best was saved till last as she was the final guest to arrive
It comes one year after the singer's husband Jay...
Wasalaam wana jamvi..
Wana jamvi ni wazi Duniani kuna vituko vingi lakini kwenye hivi vituko hatuwezi kuisahau tanzania kabisa! Lakini hivi karibuni msanii wa kizazi kipya H.baba baada ya kukosa...
Kuna ule msemo unasema kuna watu wanaishi na wengine wamekuja kusindikiza wanaoishi.. Yawezekana kukawa na ukweli ndani yake. Mtoto wa miaka miwili (2) wa Rapper wa kimarekani 50 Cent anayeitwa...
Anajulikana kwa jina la Seky, alikuwa muajiriwa tanzanite one.
Kafariki leo inasemekana alikalia stuli ya kioo ikapasuka na kumjeruhi mgongoni.
==========
Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga...
Last May, shortly after word began to spread that Dr. Dre had sold his eponymous headphone line to Apple AAPL -2.25%, the superproducer made a proclamation: rap's first billionaire was about to be...
Habari zilizoripotiwa na clouds kwenye page yao ya Instagram wanasema usiku wa kuamkia leo majambazi yamevamia nyumbani kwa Alli - Kunduchi, na kukomba kila kitu. Kwa bahati Nzuri, Kiba hakuwepo...
Achilia mbali umri kuwatupa mkono, achilia mbali mastaa hawa kuzaa ila bado mienokano yao inadai, namzungumzia mjasiriamali na mkurugenzi wa Bench Mark Production na founder wa BSS, Madam Ritha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.