Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nimeona leo watu wakimtakia happy birthday Faraja kwa kutimiza miaka 30 lakini mbona nahisi ni michache sana kwa mtu aliekuwa Miss Tanzania 2004? Isijekuwa kajipunguzia miaka kama wanavyofanya...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Mashosti wa kufa na kuzikana, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wanadaiwa kugombana baada ya Aunt ' kuposti ' kwenye ukurasa wake wa Instagram tangazo lililohusiana na pati ya...
1 Reactions
91 Replies
17K Views
An Indian court has sentenced Bollywood star Salman Khan to five years in jail for killing a homeless man in a 2002 hit-and-run driving incident in Mumbai. The man was among five people who...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Siku chache baada ya ndoa ya Legendary wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ' Jide ' na mtangazaji mahiri nchini , Gardner Gabriel Habash ' G Habash' kudaiwa kuvunjika, gumzo limeibuka...
0 Reactions
121 Replies
19K Views
(CNN)This time it wasn't singer Chris Brown making the news for his own behavior. When Brown returned to his Agoura Hills, California, home on Wednesday evening, he found a female intruder in his...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Mwanzilishi na mmiliki wa kundi la Muziki la Yamoto band pamoja na TMK Wanaume Said Fella amesema atamualika na kumuomba rais Kikwete kuzindua nyumba za kisasa za vijana wa Yamoto band ifikapo...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Nimesikia huu wimbo wake unaitwa shuka, yaani anaimba kitoto kitoto sana. Hata nyimbo zake 4 zilizopita nazo pia. Huyu jamaa ni pure talent na anajua kinoma,since kitambo lakini anachoimba...
2 Reactions
32 Replies
5K Views
Kumbe! Imebainika kuwa maneno ‘gold digger ’ katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fursa na kuzitumia katika ‘ kufaiti’ kupata mafanikio (utajiri ) kwenye maisha. Zarinah...
1 Reactions
210 Replies
36K Views
Wana Jamvi, Katika vitu vya ajabu angekuwepo mashindano ya kupenda , wasanii wa kike wangeliongoza kwa mbio kali za kupenda, labda pengine ni kwa sababu ya mazoe aya kazi yao ya kuwa kwenye...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mambo vp wanajamvi?nategemea mko poa na asante mungu kwa kutupa fursa na nafasi ya kukutana tena humu ndani,kiukweli wasanii wa muziki nchini inabidi wabadilike ili kuendana na soko la muziki...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sina kumbukumbu sana kuhusu hili, hivi ni wasanii gani hapa bongo walioana pamoja na wanaishi pamoja mpaka sasa? Naomba kufahamu hao wasanii walioishi kwa pamoja mpaka leo. Anayejua atujuze
0 Reactions
57 Replies
12K Views
The annual fundraising gala in New York costs $25,000-per-ticket Beyonce ensured the best was saved till last as she was the final guest to arrive It comes one year after the singer's husband Jay...
0 Reactions
21 Replies
10K Views
Wasalaam wana jamvi.. Wana jamvi ni wazi Duniani kuna vituko vingi lakini kwenye hivi vituko hatuwezi kuisahau tanzania kabisa! Lakini hivi karibuni msanii wa kizazi kipya H.baba baada ya kukosa...
1 Reactions
63 Replies
10K Views
Kuna ule msemo unasema kuna watu wanaishi na wengine wamekuja kusindikiza wanaoishi.. Yawezekana kukawa na ukweli ndani yake. Mtoto wa miaka miwili (2) wa Rapper wa kimarekani 50 Cent anayeitwa...
3 Reactions
44 Replies
15K Views
Wakuu naomba kuuliza huyu jamaa yuko wapi?
0 Reactions
24 Replies
13K Views
Anajulikana kwa jina la Seky, alikuwa muajiriwa tanzanite one. Kafariki leo inasemekana alikalia stuli ya kioo ikapasuka na kumjeruhi mgongoni. ========== Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga...
3 Reactions
1K Replies
315K Views
Last May, shortly after word began to spread that Dr. Dre had sold his eponymous headphone line to Apple AAPL -2.25%, the superproducer made a proclamation: rap's first billionaire was about to be...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zilizoripotiwa na clouds kwenye page yao ya Instagram wanasema usiku wa kuamkia leo majambazi yamevamia nyumbani kwa Alli - Kunduchi, na kukomba kila kitu. Kwa bahati Nzuri, Kiba hakuwepo...
0 Reactions
85 Replies
22K Views
Achilia mbali umri kuwatupa mkono, achilia mbali mastaa hawa kuzaa ila bado mienokano yao inadai, namzungumzia mjasiriamali na mkurugenzi wa Bench Mark Production na founder wa BSS, Madam Ritha...
0 Reactions
95 Replies
24K Views
Back
Top Bottom