Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya China vimeriport kuwa Mtanzania aliekuwa anazuiliwa katika gereza moja huko China ametoweka na kuperekwa kusikojulikana. Habari zinasema mtanzania huyo alikuwa...
there are some very rich people hapa duniani, yani anapeperusha milioni milioni 200 kwa siku moja tu :teeth::thinking:
=======================================
<header> KIM KARDASHIAN...
Kuna baadhi ya watu maarufu ndani na nje ya bongo wenye majina makubwa kabisa lakini kazi zao ni kidogo au hazieleweki au hazilingani na uzito wa majina yao ktk jamii.
Kwa mawazo yangu nitalist...
Mara nyingi mwanaume huyu mwenye uzuri unaofanya watu waombe hata kuzaa nae huko Insta hamjawah kumsikia ana mahusiano yoyote ila hivi karibuni imebainika anamahusiano na aliekua video queen wa...
Baada ya hivi karibuni, staa na mwanamuziki mkongwe nchini, Ray C, kupitia ukurasa wake wa instagram, kupost picha ya baba mlezi wa mwanamitindo maarufu Kim Kardashian, Bruce Jenner (Caitlyn )...
Jennifer Lopez played a gig in front of 160,000 people at the Mawazine International Music Festival in Morocco on Friday and her performance caused quite a stir. Unfortunately for Lopez, it was...
Who are the richest people in Tanzania? Or who are the wealthiest people in the republic of Tanzania? Are some of the many questions asked by the people of Tanzania who want to know the kind of...
Watanzania tumeanza kutembea kifua mbele kwamba mziki wetu umekua hadi tunaanza kujiona tunaenda levo za wanigeria wakati si kweli.
Kwa mtazamo wangu naona bado sana, coz hadi sasa hivi msanii...
Ni ukweli ulio wazi kwamba umefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuvuka changamoto ya kuupeleka mziki wako ukubalike nje ya Tanzania. Hivi sasa mpenda muziki yeyote Africa anajua muziki wako na...
Katika gazeti la leo la Mwanaspoti 29/05 huyu Wema ametoa kauli za ajabu kabisa kuhusu Kajala.
Anasema hatokaa kumsamehe katika maisha yake yote na hata akifa Kajala asisogelee kaburi lake...
Kwa muda mrefu msanii AY hajatoa wimbo mkali levo za Zigo, huu wimbo ni noma aisee, club banger haswaa sichoki kuusikiliza, namshauri awe siriaz kwenye video unaweza kumfikisha mbali, ikiwezekane...
Unamkumbuka yule jamaa wakati timu ya taifa ya Brazil imekuja Tanzania kucheza na Taifa Stars aliingia katikati ya uwanja na kumkumbatia mchezaji KAKA wakati mechi ikiendelea?
Yule ndo boyfriend...
Christian Bella anaamini kuwa kikwazo cha wasanii wengi kukua kutokuwa na management. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kila msanii ana lengo la kwenda mbali zaidi lakini tatizo lipo kwenye management...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.