Jana nimemsikiliza Happiness Magese Clouds TV, anadai anafanya awareness ya tatizo la uzazi ambalo amekumbana nalo yeye binafsi, anadai anafanya hivyo kwa sababu anaamini wamama wengi wa kiafrica...
Mwanamuziki Kamikaze Amefunguka kuhusu Kumnyang'anya Demu Bob Junior na Video iliyovuja akiwa na Mrembo Sabby Chumbani Huku Mrembo huyo ambae ni Demu wa Bob Junior Akijinadi Kwa kumwita Kamikaze...
VIKKY KAMATTA DADA MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA
Nimesoma kwenye gazeti moja hivi kwenye page ya katikati inaeleza kuwa uyu dada yeye anamafanikio makubwa sana kwaville amemaliza masters ya uingereza...
Monday, February 23, 2015
LINDA BEZUIDENHOUT INVITED TO PARTICIPATE IN THE 16th ANNUAL OSCAR VIEWING PARTY
Press Release
Beverly Hills, CA February 22, 2014
FASHION DESIGNER LINDA BEZUIDENHOUT...
Nimejaribu kukaa na kutafakari matusi anayopewa Diamond na team Wema, kisha katika pitapita zangu nikakutana na hili jamaa linajiita King Lawrence (Lawrence Muyanga). Huyu jamaa nadhani amekuwa...
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nuh Mziwanda, ametoa kali ya mwaka kwa kudai kwamba kitendo cha kupigwa mara kwa mara na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole', kinampa furaha na ufahamu...
Kampeni kubwa ya ZamuYako2015 yenye lengo la kuhamashisha vijana kushiriki katika zoezi kujiandikisha kupiga kura, imeendelea kupamba moto ikiendelea kuungwa mkono na wasanii mbalimbali.
msanii...
KUFUATIA madai kuwa staa wa filamu Bongo , Aunt Ezekiel amejifungua, ndugu , jamaa na marafiki kibao walijazana nyumbani kwake , Mwananyamala jijini Dar es Salaam juzi Alhamisi ili kumpa pongezi ...
wadau
Hivi hawa wenzetu wanapokua huko majuu ni kwa nini most of them huwa wanafanya ulimbukeni tuuu instead ya kutumia nafasi wanazozipata kujiendeleza na kuiwakilisha vema tanzania, natoa mfano...
Mchezaji nyota wa Real Madrid ya Uhispania na Ureno Christiano Ronaldo ndiye binadamu maarufu zaidi duniani kwenye Facebook.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 30 amempiku Mwanamuziki maarufu kwa...
Ubuyu Kutoka Insta Leo hii unamuhusu Mcheza Filamu Rammy. Page ya Mrekebisha Tabia wamemrusha na kufichua makubwa, Jisomee Mwenyewe Hapo chini:
============
"Jamani rammygalis hata wewe...
Mimi ni mshabiki wa Dina Marios napenda sana utangazaji na ubunifu wake wa vipindi. Alipotoka martenity alituahidi kurudi kazini kupitia clouds Tv yaani atakuwa anaonekana kwenye runinga na si...
Hii ndo kauli ya Ney wa mitego, Mr_Nay Baba wa watoto watatu... Sina #Mke I mean #Sijaoa na Cna mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke yoyote Yule... Kati ya niliozaa nao. Nawapenda watoto wangu...
Jamanii hii ni tetesi lakini nimeamua kuifanya utafiti na nimegundua nyimbo za Diamond zimepungua kupigwa kwenye kituo cha Television na radio cha Clouds baada ya msanii huyu kukataa mchongo wa...
Mtangazaji maarufu, na aliyekuwa mume wa mwanamuziki lady Jaydee, Gadner G habash, hivi karibuni ametoa kauli tata baada ya kuulizwa swali na mwandishi kuhusu Lady Jaydee, ambapo bila hiyana...
Kweli Alikiba anapendwa jamani,
Nimetumia muda wangu wa kupumzika kusikiliza mpambano wa wasanii Radio1 ambapo Alikiba alikuwa akishindanishwa na Ommy dimpoz.
Matokeo ni kwamba katika simu 30 za...
Jokate, mmoja kati ya wanawake waliofanikiwa kutokana na kujihusisha katika nyanja mbalimbali ikiwemo Ujasiliamali, ameweza kutoboa kimaisha baada ya kuingia mkataba na Wachina kwa kampuni yake ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.