Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya China vimeriport kuwa Mtanzania aliekuwa anazuiliwa katika gereza moja huko China ametoweka na kuperekwa kusikojulikana. Habari zinasema mtanzania huyo alikuwa...
0 Reactions
109 Replies
17K Views
Wadau wenye update kesi ya lulu leo 23/04/2012 watupe!! Nawasilisha
2 Reactions
46 Replies
13K Views
there are some very rich people hapa duniani, yani anapeperusha milioni milioni 200 kwa siku moja tu :teeth::thinking: ======================================= <header> KIM KARDASHIAN...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna baadhi ya watu maarufu ndani na nje ya bongo wenye majina makubwa kabisa lakini kazi zao ni kidogo au hazieleweki au hazilingani na uzito wa majina yao ktk jamii. Kwa mawazo yangu nitalist...
1 Reactions
141 Replies
22K Views
Kumbe diamond kamzidi Nuhu kwa yai!
1 Reactions
76 Replies
17K Views
Mara nyingi mwanaume huyu mwenye uzuri unaofanya watu waombe hata kuzaa nae huko Insta hamjawah kumsikia ana mahusiano yoyote ila hivi karibuni imebainika anamahusiano na aliekua video queen wa...
0 Reactions
106 Replies
26K Views
Baada ya hivi karibuni, staa na mwanamuziki mkongwe nchini, Ray C, kupitia ukurasa wake wa instagram, kupost picha ya baba mlezi wa mwanamitindo maarufu Kim Kardashian, Bruce Jenner (Caitlyn )...
0 Reactions
88 Replies
11K Views
Mke wa Waziri Mkuu wa Uingereza ajulikanaye kama Bw.Kameruni akionekana kwenye picha hapo chini akiwa likizo huko Ibiza!
2 Reactions
70 Replies
15K Views
Jennifer Lopez played a gig in front of 160,000 people at the Mawazine International Music Festival in Morocco on Friday and her performance caused quite a stir. Unfortunately for Lopez, it was...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Ni baada ya kupost pic akiwa kavalia kinguo chepesi kilichomuonesha umbo lake kwa mbele na kuzua mtafaruko wa tamaa huko instagram
1 Reactions
50 Replies
12K Views
Who are the richest people in Tanzania? Or who are the wealthiest people in the republic of Tanzania? Are some of the many questions asked by the people of Tanzania who want to know the kind of...
1 Reactions
33 Replies
73K Views
Jamani kipindi hiki cha Dina Marious mbona hakisikiki au amefukuzwa kazi Clouds. Mwenye taarifa zaidi anipe taarifa.
0 Reactions
55 Replies
19K Views
Watanzania tumeanza kutembea kifua mbele kwamba mziki wetu umekua hadi tunaanza kujiona tunaenda levo za wanigeria wakati si kweli. Kwa mtazamo wangu naona bado sana, coz hadi sasa hivi msanii...
4 Reactions
43 Replies
4K Views
Ni ukweli ulio wazi kwamba umefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuvuka changamoto ya kuupeleka mziki wako ukubalike nje ya Tanzania. Hivi sasa mpenda muziki yeyote Africa anajua muziki wako na...
4 Reactions
90 Replies
7K Views
Katika gazeti la leo la Mwanaspoti 29/05 huyu Wema ametoa kauli za ajabu kabisa kuhusu Kajala. Anasema hatokaa kumsamehe katika maisha yake yote na hata akifa Kajala asisogelee kaburi lake...
3 Reactions
25 Replies
6K Views
Bado anakataa kutaja umri wake licha ya mtangazaji na wasikilizaji kutaka ataje ila kagoma anadai ni maisha yake binafsi
0 Reactions
66 Replies
32K Views
Kwa muda mrefu msanii AY hajatoa wimbo mkali levo za Zigo, huu wimbo ni noma aisee, club banger haswaa sichoki kuusikiliza, namshauri awe siriaz kwenye video unaweza kumfikisha mbali, ikiwezekane...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Unamkumbuka yule jamaa wakati timu ya taifa ya Brazil imekuja Tanzania kucheza na Taifa Stars aliingia katikati ya uwanja na kumkumbatia mchezaji KAKA wakati mechi ikiendelea? Yule ndo boyfriend...
1 Reactions
115 Replies
29K Views
Christian Bella anaamini kuwa kikwazo cha wasanii wengi kukua kutokuwa na management. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kila msanii ana lengo la kwenda mbali zaidi lakini tatizo lipo kwenye management...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom