Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mfukuze mbali shetani anayekuambia huwezi..
4 Reactions
22 Replies
5K Views
Juma Nature anaamini kuwa akiamua kugombe ubunge wa Temeke ataupata kirahisi. Nature ameiambia XXL ya Clouds FM kuwa alishafuatwa na baadhi ya viongozi wamkita agombee nafasi hiyo...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari za muda huu, Jana nilikua naangalia hii filamu 'The Shock' huyu dada aliegiza kama demu wa pembeni wa Kanumba si mchezo, 'ameumbwa na akaumbika'. Tena nahisi Mola alimuumba asubuhi na...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
"My best #Tbt kwa mara ya kwanza napanda ndege asee na Alienitoa ushamba ni baby wangu mwenyewe japo kazaliwa igunga na mimi mtoto wa dar lakini kanipandisha ndege ahahaha ...Usimdharau Mtu...
0 Reactions
52 Replies
11K Views
Atleast wao wanaimba kwa mafumbo sana kiasi kwamba watoto na vichwa maji kama mimi hatuwezi kuelewa kinachoongelewa, ila huyu brother wao Mh Temba alikuwaga noma tena naona sikuhizi kapunguza. Leo...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
When some of us aren't having any sex at all, Kim Kardashian is having too much of it. Lucky woman...lol. The reality star said she'd been warned by her doctor to cut down on how much sex she's...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
asante sana masanja mkandamizaji kwa kutuonyesha... Mimi mwenyewe nilikuwa najiuliza namfananisha na nani ... Kweli duniani wawili wawili
0 Reactions
34 Replies
12K Views
Kwa nini Suge knight anapewa bond kubwa na Robert Durst serial killer wanamwachia kila siku .Robert durst alikiri kumkatakata mtu na kumtupa baharini.Mie naona Rap music ndio inasababisha yote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Muda huu sasa hv, leo tarehe 21/03/2015 naangalia mahubili ya mzee wa upako,hahahahaaaaa huyu mzee ana mapambio mapya maana sijawah kuyasikia sehemu yoyote, hili la leo ndo limeniacha hoi...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Habar wakuu, Katika maisha, kila mtu huishi kwa njia tofauti, na wengine huishi kwa kuamini kuwa ipo siku watatoka na kufanikiwa kimaisha kupitia kitu flani (live 4 ur dream).. Binafsi mimi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amedaiwa kuwa na tabia ya kumpiga mizinga (kuomba fedha) mume mtarajiwa wa mwigizaji Wastara Juma, Mark Edi. Staa wa sinema za Kibongo...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
NYOTA wa filamu za Kibongo, Haji Adamu Rajabu ‘Baba Haji' amefunguka kuwa, soko la filamu Bongo kwa sasa linashuka siku hadi siku na sababu kubwa ni wasanii kutopenda kwenda shule...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wanaJF Kuna mambo yanayoendelea kwenye social media huwa yananishangaza sana. . Nayo ni haya mambo ya kuwasema vibaya sana hawa celebs. . Nakiri kuwa kwenye kosa ni muhimu kukosoa, na...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Msanii Dudubaya aka Kapafona aka Mapafu ya mbwa ameingia katika Skendo nyingine baada ya kushutumiwa kutaka kuiba simu ya mdau mkubwa wa Twanga pepeta ajulikanae kama Mapao ambae alikuwa amekaa...
4 Reactions
39 Replies
6K Views
Mwanamuziki wa bongo flavor ajulikanaye kama Ney wa Mitego ametangaza kuwa baada ya kujipatia watoto watatu, hana tena mapenzi na mama watoto hao bali ana mapenzi na watoto hao. Kwa kauli hiyo...
0 Reactions
113 Replies
16K Views
Baada ya kuonekana video kwenye account zao Wema Sepetu na Millard ayo na wakitaka watu wabashiri inahusu nini hiyo video "the package", Leo imejulikana ni tangazo la gari jipya aina ya Mitsubishi...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Daah Naona Jamie Fox anamla x-wife wa Tom Cruize Katie Holmes and Jamie Foxx dance at Hamptons event in Summer 2013 (WireImage) August 2013: Jamie and Katie dance, drink, and flirt at a...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
UTAJIRI wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji' ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wACanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo...
0 Reactions
32 Replies
17K Views
Bi dada Wema Sepetu ambae ni mwigizaji katika tasnia ya Bongo Movie amefunguka na kuweka wazi kuwa urembo au kupendeza tu haitoshi katika maisha ya binadamu bali jambo kubwa na la msingi katika...
1 Reactions
37 Replies
8K Views
Jana nimemsikiliza Happiness Magese Clouds TV, anadai anafanya awareness ya tatizo la uzazi ambalo amekumbana nalo yeye binafsi, anadai anafanya hivyo kwa sababu anaamini wamama wengi wa kiafrica...
10 Reactions
113 Replies
22K Views
Back
Top Bottom