Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Irene Uwoya leo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM ameabandika picha akiwa anakula- MAKANDE na kuandika kuwa hicho ndio chakula anachokipenda kuliko...
Wadau nashindwa kuelewa kwanini tuna jikuta tunaingia kwenye mahusiano ya kipuuzi namna hii hivi kweli ni maadili ya afrika ndo yamefikia huku kweli jaman mkwe wa mbunge wa mbeya ,mjini sugu...
PNC AKIMWOMBA MSAMAHA USTAZ JUMA - YouTube
Mimi kama mdau wa muziki wa kizazi kipya napinga na kulaani huu udhalilishaji wanaofanyiwa wasanii wetu.
Nimestushwa kuona hii video inayosambaa kwenye...
Jamani ukweli uko hivi OMMY DIMPOZ anamfunika Diamond kwa kutoa nyimbo kali na video bomba zaidi.
Jamaa anajua kuimba hatari na kila nyimbo anayotoa ni nouma sana.Kama unabisha njoo hapa uzungumze.
Staa wa Bongo Movies Faiza Ally ambae ni mzazi mwenza wa Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu' amebandika hili andiko hili mtandaoni, hebu chukua muda wako kulisoma andiko hili, kuna punje utazipata...
Ndo producer aliyetengeneza hits kibao hapa bongo kwenye huu muziki wetu! Leo anatimiza miaka mingi hivi!! Kama Wewe mpenzi wa huu muziki wetu, katika miaka yote aliyoishi studio,ni biti gani...
Long before the Kenya /Uganda railway and its world famous man eating lions took off from Mombasa and landed in Kisumu in 1901, a railway line in Zanzibar had ran on the lure of beautiful women...
Kutoka kwenye Account ya Instagram, Mwanadada Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee (Komando Jide) ameamua kutangaza rasmi yeye ni shabiki wa msanii Ali Kiba. Hii inakuja mara baada ya Ali Kiba...
Wale Mastaa waliodaiwa kuingia kwenye bifu zito, Zamaradi pamoja na Ray C, na baadae kupatana, huku chanzo cha bifu kikidaiwa kuwa ni mwanaume, bifu hilo limeibuka tena, huku chanzo kikidaiwa kuwa...
MWANAMUZIKI wa miondoko ya mduara ambaye pia ni msanii wa filamu, Zuwena Mohamed ‘Shilole' amefunguka kuwa kwa alichokiona, amekoma kutumia mkorogo.
Akipiga stori na Ijumaa, Shilole...
HII ni habari ya kutisha! Takriban miaka mitatu imekatika tangu kifo cha aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Steven Kanumba huku watu wawili wakifariki dunia kwa nyakati tofauti lakini nyuma ya...
Ni rahisi mno ingiza number hizo hapoo 👇👇👇 kwenye attachments moja kwa moja iwe miongoni contact zako halafu nenda kwenye watsap yako kisha uandike KTMA HALAFU FUATA...
Mi ni team Ali Kiba forever ila jamaa anazingua na sijui anajisikia au vipi maana kila siku anaambiwa hasikii kama atataka kushindana na Diamond naona kachelewa sana.
Katoa audio ya chekecha...
Jamani mtakubaliana nami kuwa Kanumba aliwabeba sana kina Patcho Mwamba na Sengo mpaka wakajulikana kila kona, aliwashirikisha sana. Lakini baada ya kufariki, kina Patcho Mwamba nao wamedumbukia...
Katika ulimwengu wa wapendanao kuna changamoto nyingi ambazo wapenzi hukutana nazo huku wengine wakizishinda na baadhi kushindwa.
Wapo wapenzi walioshindwa kuendelea na uhusiano wao mara baada...
Kwa taarifa zilizotufikia ni kuwa bosi wa Tip Top Connection, Abdul Bonge ameaga dunia leo hii. Rip bonge.
Update:
Tasnia ya muziki wa kizazi kipya leo imepata pigo baada ya muasisi wa kundi...
Niko Old Bagamoyo road nasikia ving'ora vinapigwa kutoka kwenye gari inabidi kuweka gari pembeni nikihisi ni Mheshimiwa au mgonjwa anapita nashangaa kuona Hummer nyekundu na msururu wa magari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.