Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Irene Uwoya leo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM ameabandika picha akiwa anakula- MAKANDE na kuandika kuwa hicho ndio chakula anachokipenda kuliko...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wadau nashindwa kuelewa kwanini tuna jikuta tunaingia kwenye mahusiano ya kipuuzi namna hii hivi kweli ni maadili ya afrika ndo yamefikia huku kweli jaman mkwe wa mbunge wa mbeya ,mjini sugu...
3 Reactions
68 Replies
15K Views
PNC AKIMWOMBA MSAMAHA USTAZ JUMA - YouTube Mimi kama mdau wa muziki wa kizazi kipya napinga na kulaani huu udhalilishaji wanaofanyiwa wasanii wetu. Nimestushwa kuona hii video inayosambaa kwenye...
1 Reactions
188 Replies
60K Views
Jamani ukweli uko hivi OMMY DIMPOZ anamfunika Diamond kwa kutoa nyimbo kali na video bomba zaidi. Jamaa anajua kuimba hatari na kila nyimbo anayotoa ni nouma sana.Kama unabisha njoo hapa uzungumze.
0 Reactions
48 Replies
8K Views
Staa wa Bongo Movies Faiza Ally ambae ni mzazi mwenza wa Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu' amebandika hili andiko hili mtandaoni, hebu chukua muda wako kulisoma andiko hili, kuna punje utazipata...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Ndo producer aliyetengeneza hits kibao hapa bongo kwenye huu muziki wetu! Leo anatimiza miaka mingi hivi!! Kama Wewe mpenzi wa huu muziki wetu, katika miaka yote aliyoishi studio,ni biti gani...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Napenda kujua kama Wema Sepetu ni Mzanzibari kwa sababu mzee wake (baba) alipofariki alipelekwa Zanzibar kwa kuzikwa.
0 Reactions
34 Replies
17K Views
Long before the Kenya /Uganda railway and its world famous man eating lions took off from Mombasa and landed in Kisumu in 1901, a railway line in Zanzibar had ran on the lure of beautiful women...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Inasemekana huyu jamaa ni muha wa kibondo kigoma yeye mwenyewe amekiri hilo
0 Reactions
54 Replies
9K Views
Kutoka kwenye Account ya Instagram, Mwanadada Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee (Komando Jide) ameamua kutangaza rasmi yeye ni shabiki wa msanii Ali Kiba. Hii inakuja mara baada ya Ali Kiba...
5 Reactions
109 Replies
19K Views
Wale Mastaa waliodaiwa kuingia kwenye bifu zito, Zamaradi pamoja na Ray C, na baadae kupatana, huku chanzo cha bifu kikidaiwa kuwa ni mwanaume, bifu hilo limeibuka tena, huku chanzo kikidaiwa kuwa...
3 Reactions
168 Replies
36K Views
MWANAMUZIKI wa miondoko ya mduara ambaye pia ni msanii wa filamu, Zuwena Mohamed ‘Shilole' amefunguka kuwa kwa alichokiona, amekoma kutumia mkorogo. Akipiga stori na Ijumaa, Shilole...
0 Reactions
108 Replies
19K Views
HII ni habari ya kutisha! Takriban miaka mitatu imekatika tangu kifo cha aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Steven Kanumba huku watu wawili wakifariki dunia kwa nyakati tofauti lakini nyuma ya...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Ni rahisi mno ingiza number hizo hapoo 👇👇👇 kwenye attachments moja kwa moja iwe miongoni contact zako halafu nenda kwenye watsap yako kisha uandike KTMA HALAFU FUATA...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mi ni team Ali Kiba forever ila jamaa anazingua na sijui anajisikia au vipi maana kila siku anaambiwa hasikii kama atataka kushindana na Diamond naona kachelewa sana. Katoa audio ya chekecha...
3 Reactions
87 Replies
11K Views
Jamani mtakubaliana nami kuwa Kanumba aliwabeba sana kina Patcho Mwamba na Sengo mpaka wakajulikana kila kona, aliwashirikisha sana. Lakini baada ya kufariki, kina Patcho Mwamba nao wamedumbukia...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Katika ulimwengu wa wapendanao kuna changamoto nyingi ambazo wapenzi hukutana nazo huku wengine wakizishinda na baadhi kushindwa. Wapo wapenzi walioshindwa kuendelea na uhusiano wao mara baada...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Kwa taarifa zilizotufikia ni kuwa bosi wa Tip Top Connection, Abdul Bonge ameaga dunia leo hii. Rip bonge. Update: Tasnia ya muziki wa kizazi kipya leo imepata pigo baada ya muasisi wa kundi...
0 Reactions
83 Replies
27K Views
Niko Old Bagamoyo road nasikia ving'ora vinapigwa kutoka kwenye gari inabidi kuweka gari pembeni nikihisi ni Mheshimiwa au mgonjwa anapita nashangaa kuona Hummer nyekundu na msururu wa magari...
1 Reactions
225 Replies
45K Views
Back
Top Bottom