Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

DIAMOND'S CAMP SAY UNBOTHERED OVER BABAY'S DNA Dar es Salaam. Life on the fast lane has its price as socialite Zari Hassan and Bongo Flava star Diamond Platinumz would testify. After the birth...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hatimaye lile bifu lililodumu kwa miaka kadhaa baina ya mastaa wawili wa muziki waliounda Top Band , TID na Q-CHIEF llimezikwa rasmi leo ndani ya studio za CLOUDS FM. Mastaa hao wamehaidi kuja na...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Kuna mwana dada anaitwa ladynaa alipost tuhuma kwamba Diva anajikomba kwa petitman kwa kumtumia sms za kimahaba Diva akaja juu na kukanusha hajawasiliana na kutishia anakwenda polisi...
2 Reactions
44 Replies
11K Views
Kumekucha Instagram ni vijembe kwa kwenda mbele wanawake wenye mivuto ya kipekee zari na chagga bebe wapo ulingoni kila mmoja akijitapa kivyake sijui ndo kumgombania Ivan. Mie sijui nani mchokozi...
6 Reactions
422 Replies
68K Views
Nimetazama Marudi ya Matukio ya wiki, huyu dada mtajwa anatangaza akiwa ameficha pete kwa vidole vya mkono mwingine. Kwanini?
0 Reactions
72 Replies
19K Views
Tangu nilivyokuona Star Tv mwanzoni ulikuwa na weusi mzuri wa asili. Siku zinavyokwenda umekuwa zaidi ya mzungu, unadhani kuwa mzungu ni ishu. Jua weusi ukitoka ukirudi ni makovu. Ushamba...
3 Reactions
83 Replies
26K Views
Ulimwengu una maajabu mengi na mitandao ya kijamii inatusaidia kuyafahamu. Uhusiano wa Diamond na Zari the Bosslady haujawahi kupokelewa vizuri na ex wake Ivan aliyezaa naye watoto watatu wa...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Kupitia mtandao maarufu wa picha wa kijamii, mwanadada Kajala amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuweka picha ya simu aina ya samsung galaxy note 4 kwenye account yake kuwa anamiliki simu hiyo...
3 Reactions
76 Replies
16K Views
Jay Z‘s got a (bubbly) new product hitting the market, and it comes at a hefty price. Last November, the mogul purchased the Armand de Brignac champagne brand, taking control of one of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nilitaka kujua wadau kuhusu hawa jamaa wawili yaani KING GK kwa hapa bongo na NE-YO kule unyamwezini, hawa jamaa toka nianze kuwafahamu, iwe kwenye interviews au videos, au picha, sijawahi kuona...
0 Reactions
43 Replies
8K Views
The late Tomy Mboya alikuwa ni muumini mkubwa wa ujamaa ambaye alitamani kuiona Kenya ikiwa socialist country hata hivyo mpaka anaivuta pumzi yake ya mwisho ndoto yake haikutimia. Siku za hivi...
0 Reactions
0 Replies
44K Views
Diamond Platnumz anaendelea kupata nominations za tuzo mbalimbali ndani na nje ya Afrika, ambapo hivi sasa amechaguliwa kuwania tuzo mbili za International Reggae and World Music Awards (IRAWMA)...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Nakupa ushauri mdogo wangu Nikki wa II. Nimeona nikupe taarifa mapema kabla hujapotoka. Katika kipindi hiki kuwa makini, hata kama unapenda sana CCM au umeahidiwa chochote. Muziki wako...
8 Reactions
50 Replies
9K Views
Nyumba anayoishi Ali Kiba,Kunduchi. (Picha kwa hisani ya Millard Ayo) Ali Kiba ametimuliwa katika nyumba ambayo alipewa aishi maeneo ya Kunduchi, Dar es Salaam na mmiliki wa nyumba hiyo ambaye ni...
4 Reactions
483 Replies
68K Views
Msanii Mzee Mussajee Karimjee,aliyecheza movie ya Uwa La Matumaini(flower of hope),amefariki na kuzikwa leo Tanga. Alicheza kwenye nafasi ya Ubunge,na baba wa mtoto wa kike aliyependana na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hivi huyu jamani kama navaa viwalo vya 8m kwa mujibu wa yeye mwenyewe je kumtokea unahitaji uwe na ngawira kiasi gani? Hapo hajaongelea uwekezaji kwenye makalio, chuchu, na hata nani hii....
0 Reactions
73 Replies
16K Views
Back
Top Bottom