Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ni maneno ya King of all bongo social media LE MUTUZ LIVE STRAIGHT TALK:- Morning Guys I love music na ninaujua music sibahatishi ninajua kupiga vyombo vya music I have been DJ all my life...
3 Reactions
24 Replies
5K Views
King of Afropop aliyeibuka kinara siku ya jana baada ya kuwagaragaza wasanii wenzake na kuibuka na ushindi wa hattrick yaani tuzo tatu huko dallas nchini marekani, aliamua kufunguka kuhusiana na...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Muimbaji huyo aliyeshinda tuzo tatu za Afrimma Jumapili hii ameiambia ya XXL ya Clouds FM kuwa amefanya hivyo kwa sababu mafanikio yake yanachangiwa na mtoto wake huyo. “Unajua ilikuwa ni moja...
4 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni kifo cha mtafsiri wa filamu DERICK MUKANDARA RUFUFU "rufufu"
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mamu (yule wa ulaya) na Kiba na Jokate Hii ilidakwa insta wafuasi na Mamu wakionyesha kuwa bado yupp kwenye picha aaaaggghhh Hii juzi walipoamua kujionyesha na pozi za kuiga ila...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Sikuona haja ya kuleta wasanii kuja kusindikiza onyesho la final la BSS 2015! Christian Bella hongera zake nyingi na kwa walioona live watakubaliana nami kwa jinsi Bella alivyotoka na kitita...
1 Reactions
46 Replies
7K Views
Wanajf, habari zenu!! Nimetokea kumpenda sana Bi Zainab Chondo wa Azam TV na kabla ya hapo alikuwa ITV. Kila nikimuona atangazapo, moyo wangu huwa kwatuuu!! Ni mzuri wa sura, umbo...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Tuzo tatu alizoshinda Diamond Platnumz. Diamond Platnumz akiwa na moja ya tuzo alizoshinda pamoja na mchekeshaji kutoka Nigeria Basketmouth. Ommy Dimpoz Inaweza ikawa siyo mara ya kwanza...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
BIASHARA imekwisha ! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia ‘kapo’ ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz ’ na Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kudaiwa kuwa waliweka misingi ya penzi...
0 Reactions
46 Replies
14K Views
Hakika huyu ni nembo ya Taifa na Afrika Mashariki, anazidi kutuwakilisha vizuri na leo ameshinda tuzo tatu. -Best Male East Africa -Best dance in a video- nana) ft. Mr. Flavour -Artist of the...
4 Reactions
47 Replies
11K Views
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa mrembo na miss tanzania wa mwaka 2006 Mungu akubariki Madame uwe na maisha marefu, atimize haja za moyo wako... Japo kuna kila aina ya mashambulizi yanayoelekezwa...
5 Reactions
35 Replies
7K Views
Kama ulikua hujui nakupenyezea hii taratiiiibu kwamba msaani maarufu A.Y ndie anaekimiliki kile kipindi matata cha MKASI. Kinachoendeshwa na Salama Jabir.
0 Reactions
31 Replies
9K Views
Ule usemi wa Mwanaume ni Mwanaume tu, Umetimia leo baada ya Makeke yote na Mbwembwe zote za Flora Mbasha Kumuishia na Kujikuta amekua mdogo kama piriton mbele ya Mumewe. Nikakumbuka ule usemi wa...
2 Reactions
91 Replies
25K Views
Katika pita pita yangu kwenye social media nimeona rundo la mastaa wa tz Marekani nikagundua ni Afrima Awards. .ila nika check nominations nikaona Kiba yuko kwenye category nyingi ..ila sasa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Makampuni makubwa hayajatangaza kupitia picha za kwanza za Diamond Platnumz, Latiffah hivi hivi. Kwa mujibu wa staa huyo ni ubunifu wake na proposal nzuri ndizo zimeyavutia. Diamond ameiambia...
1 Reactions
45 Replies
9K Views
Mimi kila nikitaka kusikiliza nyimbo za zamani za bongofleva nasikiliza kile kizazi kilichotamba miaka ya 2000 hadi 2003 hivi, kwa upande wangu ndo naamini kulikuwa na ngoma kali sana, sijui nipo...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Dada Aunti Ezekiel, Jaribu kuangalia mbele, heshimu wakubwa, Mh. Lowassa ni zaidi ya Baba yako, hustahili hata chembe kumtukana binti. Kumbuka hayo matusi hayana muda mrefu, mwisho wake ni...
11 Reactions
28 Replies
6K Views
Wasanii tubaki kuwa wahamasishaji tu kuanzakukashfu viongozi utadhani labda nawewe umekua mwanasiasa au Mgombea itakujakutu Cost baadae'. ‘Huwa najiuliza cjui wanalipwa shiling ngapi maana...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Mwanzo nilimuheshimu sana kutokana ukongwe wake na mashairi yake lakini kwa hili kajivunjia heshima kwa kitendo cha kutoa wimbo kwa minajiri ya kumjibu Roma, Viva Roma Viva! Jamaa kaimba wimbo...
0 Reactions
51 Replies
12K Views
Ni stori ya kisiasa ambayo ilianza kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu wasanii wawili wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Vicent Kigosiaka Ray kuondoka UKAWA na kuhamia chama cha...
1 Reactions
60 Replies
10K Views
Back
Top Bottom