Katika pita pita zangu katika mitandaoni nimekutana na huu ujumbe katika page Shilole kuomba msaada achangiwe ina maana mziki haumlipi.?
Au ndo kuna matapeli wanatumia fursa.?
Mwenzenu sikuwahi kuwa na mazoea ya kuangalia movie zetu za hapa nyumbani kwa maana mara nyingi huwa actors wana overdo hadi nikawa naboreka. sasa last weekend kwa kufuata ushabiki wa watoto...
Hatimaye staa wa bongo Nassibu Abdul (Diamond) awa baba baada ya mchumba wake Zari kujifungua mtoto wa kike asubuhi hii.
====
====
Ama kweli dunia ina mambo! Wakati wengine wapo Instagram...
Rest in peace a Brooklyn MC Sean Price, who died in his sleep. Kama utakuwa mfuatiliaji mzuri wa Hip Hop huyu jamaa ni one if the illest MC na kuna wasanii wa nyumbani kama kina Nikki Mbishi...
Wakuu,
Nimekuta hii post kwenye account ya fb ya Mganga huyu maarufu wa kienyenyi nchini TZ Manyaunyau, baadhi ya picha zinamuonyesha akiwa kwenye mjengo wake wakisasa na nyingine akiwa...
Nilipata kumsikia one day akihojiwa kwenye kituo x cha redio akisema "you know,mimi ni kioo cha jamii"
Hivi wewe binti unaelewa maana ya kioo cha jamii?
Kuonesha miguu yako ya rangi mbili mpaka...
Binafsi sijawahi kusikia inshu hii ya website-kupotea kisa wingi wa kura anazopigiwa msanii, Kitendo hichi kimetokea Leo baada ya website ya NEA AWARDS kupotea hewani kutokana na wingi wa kura...
Muigizaji na muongozaji wa filamu, Jacob Stephen aka JB amesema amesikitishwa na mfumo wa elimu ya Tanzania baada ya kushindwa kumpata mtanzania wa kushika nafasi ya masoko kwenye kampuni mpya...
Wakuu habari zenu: Hii ni list ya wasanii wanaongiza pesa nyingi Africa Mashariki..
1.Daimond
2.Saut sol
3.christina shusho
4.Ali kiba
5.Bahati
6.Lady wanjara
7.jose chameleone
8.Bahati
Ila mimi...
Wanamwita mzee wa zaidi ya habari. Napenda uchambuzi wake kwenye kipindi cha Morning Magic. Ni mchambuzi na mtafiti wa kweli. Wadau tupeni details za huyu mwanahabari. Anaweza kuwa role model wangu
Habari zilizosambaa leo kutoka kwenye gazeti moja zinasema familia ya Diamond pamoja Na marafiki walishangazwa na kitendo cha Diamond kuzipeleka tuzo saba alizoshinda kwa Wema Sepetu badala ya...
Kuna jamaa wa B-hits anitwa Deddy, mimi nikimsikiliza naona anajua sana, hata ukisikiliza nyimbo alizoshirikishwa ana style yake flani ya tofauti. Amesikika kwenye ngoma ya Mabeste ya Ndole...
Akiwa anazungumza kwa madaha katika kituo cha Magic fm kipindi katika kipindi chao cha michezo huku muda mwingi akitumia kuiponda Simba, na haswa viongozi wake na haswa akimlenga msemaji mwenzie...
ATLANTA -
Channel 2 Action News has learned Bobbi Kristina Brown, 22, daughter of the late Whitney Houston, has died.
Her aunt, Pat Houston, told Channel 2 Action News in a statement:
"Bobbi...
Nimekuwa kwenye wasiwasi na hii mikufu ya dhahabu wanayovaa Macelebrity wetu hapa Bongo, wachanga na wakubwa. Tena kwa size mbali mbali mpaka nyingine zinaelemea shingoni, ndiyo ni fashion ya sasa...
Ni wasanii gani Tanzania wanaoishi maisha ya ukweli kwenye mitandao ya kijamii? Ni wapi pia ambao wana hadhi ya kuitwa superstars? Manake kila msanii hujiita superstar sijui kwa kutumia vigezo vipi?
Apata followers 304,000 sasa akiwapiku wale waliokuwa wakimupiku ambapo JM KIKWETE alikuwa akioza na kwa sasa ana followers 303,000 akifuatiwa na ZITTO mwenye followers 300,000 ila kwa EAST AFRICA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.