Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 8,507
- 10,715
Hivi yule mganga wa diamond aliishia wapi jameni? naye ni celebrity ujue, tangu siku ile naona kimya no updates kwenye magazeti pendwa hata radios.Mwenye taarifa/updates zake atujuze nmemkumbuka ghafla maana alitikisa balaa kwene vichwa va habari mara ya mwisho nlimuona kene hotmix ya eatv