Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ile RR aliyopost jana naamin ilkua ni moja ya gari zitakazotumika kwenye hii video wabongo tukasema kanunua"
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Baada ya Lil Wayne kutangaza kuacha mziki wasanii wenzake wengi wahuzunika na kupingana na uamuzi huo , wengi wao walijaribu kumshawishi arudi tena kwenye game lakini suala hilo limegonga...
3 Reactions
21 Replies
6K Views
Nawasalimu kwa jina la hip hop Nimekua nikifatilia muziki wa kughani yaani RAP MUSIC kwa muda mrefu. Huu ni muziki ambao una utamaduni wake tangu kale. Na una nguzo zake yaani zamani zilikua tano...
4 Reactions
26 Replies
9K Views
Huyu dada anajitambua saana na namkubali wadau muangalieni yupo live Supersport 9 live sasa hivi...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Ms Maria Seguar Metzgar mwenye umri wa miaka 105 inasemekana ndiye mtumiaji wa facebook mwenye umri mkubwa kuliko wote duniani Ms Maria alisherehekea miaka 105 wiki moja iliyopita huku akiwa...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Habariniiii.....Siku za hivi karibuni msanii wa Hip hop laini toka kwa Weusi alitoa wimbo unaitwa Perfect Kombo alio mshirikisha Chidima wa Nigeria ni wimbo mzuriiiii sawa lakini vipiiii mbona...
1 Reactions
55 Replies
12K Views
Leo ndio uzinduzi wa Msimu wa kipindi cha Maisha Plus East Africa 2016 Kwa wale wadau na wapenzi wa kipindi hiki,tunaweza kukutana hapa kwa muda wa hizo wiki 8 ambazo washiriki watakuwa ndani ya...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari. wana jamvi leo nataka tufahamu kuhusu wanajeshi warembo zaidi duniani 1: Romania 2:Russia 3: Poland 4:Greece 5:Israel 6:Finland 7:Sweden...
3 Reactions
74 Replies
34K Views
Wakuu angalieni hiyo clip ya mopao, halafu mnisaidie kunijuza
5 Reactions
38 Replies
51K Views
Binti Brave Cassidy Hooper (17) anatarajiwa atolewe mfupa wa ubavu wake ili utumike kutengenezea paji la aq uso wake , mfupa huo pia utatumika kama kiunganishi cha pua yake mpya atakayo wekewa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mkali wa 'Singeli' Manfongo amesema muziki anaofanya umemkomboa kwani alikuwa 'mkabaji' siku za nyuma. Naona kaamua kuchagua fungu jema kabla ya zile siku 40 za kuvishwa tairi na kupigwa na...
7 Reactions
95 Replies
15K Views
Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanae Foundation pamoja na Yamoto Band, Mkubwa Fella amesema tayari ameshampata mtu sahihi ambaye atamwachia mikoba yake ya kusimamia wasanii pale atakapostaafu. “Kusema...
2 Reactions
39 Replies
9K Views
Wakuu, Kuna muda unafika maishani inabidi you make right decisions yani namkumbuka Mr Blue zile enzi namuelewa sana. Amepita na mademu wazuri wote Wema, Naj na hata nina uhakika Zari angekuwa...
3 Reactions
32 Replies
7K Views
picha yake imezua gumzo kaonekana mama k je mimba ya mbunge sadifa au walivyoachana alipata kiburudisho kingine ila dada kama kweli si una watoto wa3 sijui wa 4 kwa nini usingepumzika tu kuzaa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wana jamvi? Natumai wote mu wazima leo nataka tujadiliane kuhusu hawa dada zetu kwa nini wanapenda kupiga picha zisizo na maadili /ATTACH]
0 Reactions
43 Replies
26K Views
Mkurugenzi wa Mawingu ameshaslimu, hii ni katika maandalizi ya ndoa kati yake na baby mother ambae ni mtangazaji wa kituo hicho. Chanzo cha habari hii ni waliohudhuria harusi ya Shamsa Ford jana.
13 Reactions
164 Replies
17K Views
Nakumbuka EATV waliwahi kumhoji Nature juu ya KR kuhamia UNYAMANI ...Nature alimsihi KR aangalie namna ya kukwepa kuingia kwenye mkumbo. Japo Nature alikua yuko tungi lakini alitoa tahadhari ya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,ushahidi huu upo lwenye page ya mbea maarufu soudy brown huko instagram ambapo zaidi ya nusu ya wafuatiliake wake ni vidume mjini!Jamaa anakaribia kufikisha...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom