Nash MC anafuata tamaduni za hip hop

gambada ynwa

JF-Expert Member
Nov 24, 2014
390
366
Nawasalimu kwa jina la hip hop
Nimekua nikifatilia muziki wa kughani yaani RAP MUSIC kwa muda mrefu. Huu ni muziki ambao una utamaduni wake tangu kale. Na una nguzo zake yaani zamani zilikua tano lakini zikaongezwa na sasa ziko nane

Nimekua nikimfatilia kwa ukaribu sana NASH MC na nimegundua kuwa huyu jamaa ni moja kati ya ma emcs wanaofata utamaduni wa HIP HOP yaani misingi na nguzo za muziki huu.
Pia ni mc ambaye hashoboki na medias uchwara kwani real hip hop is not in the media.
Asante NASH MC kwa kuendeleza harakati za kweli za muziki huu kwani kupitia wewe tutajifunza mengi. Sisi watu wa real HIP HOP tutakusapoti daima

Msikose kufatilia project yake mpya ya KINASA yaani KISWAHILI NA SANAA.
Keep on moving...holaaa NASH holaa TAMADUNI
 
Je? Ana pata pesa kwa uumini wake wq HIP HOP...Ama laa hafanyi mziki biashara.
We ndo mburura kabisa...nani kakwambia target ya kwnz ya mc ni kupata hela?? Unapaswa kujifunza maana ya hip hop ai kama vipi endelea kushabikia taarabu
 
in hip hop we dream in biggest not richest.

Ila mkuu kumbuka nguzo zilizoongezwa mwaka 2001 kwenye kongamano la hip hop intrepreneurial ilikuwa mojawapo buddy
Kama umesoma vizuri kuna sehem nimeandika mwanzo zilikua tano sasa ni nane na moja kati ya nguzo iliyoongezwa ni ujasiliamali na ndo maana siku hizi unaoma emcs wana print t-shirt mfano NASH na tamaduni kwa ujumla wanafanya sana hii kitu. Na emcs wanafanya project kibao za kiuchumi na kijamii pia. Lakini kuwa mjasliamali haimaanishi uvunje nguzo na misingi ili upate pesa. Haimaanishi uimbe upuuzi kisa tu upigwe kwenye radio na tv
Misingi itabaki pale pale na hakika huu ndo utofauti wa HIP HOP na muziki mwingine. Hii ndo inafanya muziki huu uishi milele na milele.
Japo kuna changamoto kwa baadhi ya watu kutaka kupotosha lakini hawataweza kamwe
Iam a conservative mc pale inapokuja swala la REAL HIP HOP
 
!
!
Msema Chochote.
Kwa maana iliyozoeleka upo sahihi mkuu.
Lakini katika hiphop neno mc au emcee lina historia kidogo. Kipindi hiphop ndio inashamiri state kuliibuka makundi ya waganaji wa aina tofauti tofauti. So, baadhi waliyokuwa wanaimba maisha halisi ya kutetea watu weusi wakawa wanajitofautisha na wengine. Marley ndio mmojawapo wa wasanii wa hiphop kujiita mc....hivyo kutokana na hiyo trend hilo jina likawa kama limesanifishwa katika utamaduni wa hiphop
 
Kwa maana iliyozoeleka upo sahihi mkuu.
Lakini katika hiphop neno mc au emcee lina historia kidogo. Kipindi hiphop ndio inashamiri state kuliibuka makundi ya waganaji wa aina tofauti tofauti. So, baadhi waliyokuwa wanaimba maisha halisi ya kutetea watu weusi wakawa wanajitofautisha na wengine. Marley ndio mmojawapo wa wasanii wa hiphop kujiita mc....hivyo kutokana na hiyo trend hilo jina likawa kama limesanifishwa katika utamaduni wa hiphop
Watu hawataki ukweli siku hizi. Wanapenda vitu vya muda tuu. Ndo maana watu tumepoteza hata asili yetu. Kuanzia lugha, nguo, na hata rangi ya ngozi yetu.
Hii kitu imehamia kwenye muziki watu wanataka ifanya hip hop ionekane kama muziki wa kawaida tuu kama singeli zao wanazoimba. Hawajui HIP HOP si muziki HIP HOP ni utamaduni na uhalisia wa maisha yetu ya kila siku tunayoishi.
Ukiwa na pumzi usichoke kuusema ukweli na hakika utakuwa huru buddy
 
Hip hop siyo dini ndugu yangu...wenyewe wamarekani hiyo misingi wameinyuti! Watu wanaangalia pesa...na kwasababu si dini, basi hakuna dhambi ukiacha!!! [HASHTAG]#MZIKIPESA[/HASHTAG]
Wamarekani wapi wameacha misingi mkuu?? Wamarekani unaowasikiliza wewe ndo wameacha misingi ila ninaowasikiliza mimi hawajaacha hata msingi ama nguzo moja.
Hata huku tz kuna watu wanafata misingi. Hao ndo wataendelea kusimamia ukweli hadi mwisho. Hata akibaki mc mmoja anayefata misingi dunia nzima kwangu mimi ni bora kuliko rapper bilioni wasiofata utamaduni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom