Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Nakumbuka EATV waliwahi kumhoji Nature juu ya KR kuhamia UNYAMANI ...Nature alimsihi KR aangalie namna ya kukwepa kuingia kwenye mkumbo.
Japo Nature alikua yuko tungi lakini alitoa tahadhari ya busara kwa best yake.
Leo..amepost hiyo picha huko Insta.