Unakumbuka fiesta mwanza wasanii wote watakao tumbuiza walitangazwa ila kuna msanii mmoja alitumbuiza kama bonus au surprise
Hali hiyo ilijitokeza tena jana mjini mombasa ,mwanzo chama cha odm...
Leo nimehudhuria Fiesta ya Muleba nimeshangaa sana, yule mzee wa amsha popo a.k.a mfalme wa singeli anaperform raia wamekula bati hadi nikamuhurumia. Nikajua labda ikifika zamu ya hit yake...
Nimejaribu kuwaangalia hawa mastaa kwa dhana ya kioo cha jamii,naona wanatofauti kubwa sana..Wakati wengine wakiwa bize na picha za utupu,starehe na mitoko ya shopping..Wengine wako bize na...
wako wapi hawa?
buibui
tox star
sagna
c sir madini
cheleman
z anto
aby skills
dr. kumpeneka
J.I
kigwema
d knob
hussein machozi
sam wa ukweli
hafsa kazinja
hawa
joslin
spark
pingu
p n c
berry...
KUNA MSTARI NIMEUPENDA SANA HAPA. Pretending to be hard, oh my God, check your temperature
Some people are actors, don't believe on what you see just go deep!
Ndo mkali wangu of all time, Mfalme...
[emoji121]
SASA ONENI HADI KAKA'ANGU #CRAZY_G.K
NA KIGUGUMIZI CHAKE KILICHOMPA BONGE LA PUSH NA IDENTITY KWENYE HIPHOP
LEO ANAKUJA KUIMBA SIJUI MIONDOKO YA *ZUKU*,
SIJUI *ZUMBUKUKU*,
SIJUI NINI...
Leo hii chama cha CORD kinachoongozwa na kinara Raila Odinga kinaadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa.
Sherehe hii inayokwenda kwa jina la #ODM10at10Mombasa inatazamiwa kuisha kwa mbembwe za...
Msanii wa maigizo na mziki Snura Mushi amedai kuwa katika maisha yake kamwe hawezi kutoka na mwanaume aliye mzidi umri hata siku moja kama wasanii wenzake wa kike wanavyofanya
Snura ameelezea...
tupeane taarifa wakuu mitaani mwetu kuna wasanii wanaishi maisha ya shida sana lakin media zinatuaminisha kuwa wanaishi maisha ya juu kuna wasanii wamekufa na tulikuwa tunawapenda hakuna...
Kuna msemo unasambaa sana mitandaoni unasema eti Tanzania imebarikiwa sana coz kwenye hivi vitengo vya kimataifa zaidi.
Mpira: Mbwana Samatta
Mziki: Diamond Platnumz
Majungu: Ali Kiba
Je, kuna...
Shilole na Nuh Mziwanda walikutana kwenye basi walipokuwa wanaenda Fiesta, wasanii hawa wamekuwa na bifu na walichuniana walipokutanishwa kwenye kipindi cha tv clouds na wamekuwa wakipigana...
Wakuu...
Mwenyewe nimeboreka join hii nikawa naperuzi michuzi baada ya kuchoka my daily job (ku monitor what Magus govt has been up to) mara BOOOOM!
Naona video yake....Gawwwwwgeym. Najua...
HII NI TRACK ILIYOMTAMBULISHA HUYU NDUGU MWISHONI MWA MIAKA YA 90.
KWA YEYOTE ALIYEKUWA NAYO NAOMBA MSAADA
NIM_PM NAMBA YA WHATSAPP ANITUMIE HII OLD HIT.
Habarin wakuu
Karibuni Eid nyumbani kwangu!
Maelezo mafupi ili ufike kwangu
Panda gari hapo ubungo! Ni mwendo wa masaa ma4 then ukishuka msamvu stand moro unapanda dalala nauli 400 unashuka mjini...
Dj fetty ndiyo mtangazaji atakae kuja kulipwa mshahara mkubwa kuliko wote Barani Africa na kati anatarajia kusaini mkataba huo na Clouds fm! Baada ya mkataba wake kuisha!
Kwanza kabisa alipopata pesa na umaarufu akaanza kufwata na wasanii wa kike wa bongo wengi wao waigizaji, jamaa bila kupoteza mda akawatafuna wote naaminisha akawa akawa na uhisiano wa kimapenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.