BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,812
- 5,765
Ile RR aliyopost jana naamin ilkua ni moja ya gari zitakazotumika kwenye hii video wabongo tukasema kanunua"
Utasikia...Jamaa ana bahati hiyo scene ya pili aliyeshuka kwenye hiyo gari mtu mweusi maana kuwaweka walinzi weusi alafu anatoka na kimwana cheupe ingenikera sana, wamezidi kuportray watoto weupe hawa jamaa as if success == white lady.
Kazi nzuri, Ne~Yo kachezeshwa ngoma za kiafrika, ukitoa shooting na Platnumz uko kwenye hatari ya kufunikwa vibaya sana kwenye sekta nzima ya dance.
Utasikia...
"Huyo sio mwanamuziki,huyo ni dansa"
Lkn kuna watu wanapinga ilo mkuu..Ila diamond ni symbol of hope kwa vijana kajitahidi sana kwangu namuona ni darasa tosha.
Yah huwa naona hako kaubishi ila mi mtizamo wangu umejikita kwenye uhalisia hasa ukiangalia alipoanzia bahati nzuri video zipo na hapa alipo amefanya mambo makubwa ambayo yote ukiangalia ni yametokana na bidii yakeLkn kuna watu wanapinga ilo mkuu..