Wakati mabinti wengine wakijikita katika matumizi ya mikorogo na kukimbilia wanaume wenye pesa hali ni tofauti kwa mwanamama zari hassan (the boss lady ) ambaye amekiri wazi kuwa kitu anachopenda...
Rapa Solo Thang ameposti video akiwa na Rapa Chid Benz ambaye walikutana usiku na kuongea baadhi ya mambo, lakini kutokana na hali aliyokuwa nayo Chid Benz Solo Thang alisema hawezi kumuhukumu...
Hakika naomba niweke ninaloliona juu ya Darasa. Mziki wake unampenda kuliko yeye anavyoupenda mziki.
Sioni akiupa promo ya kutosha mziki huu ulikonga nyimbo za watanzania na wapenda burudani...
Karrueche Tran ni mwanamke ambaye Chris Brown hatokuja kumsahau kamwe. Sijui alimpa lini lakini tunachofahamu ni kuwa pamoja na kuachana, bado hitmaker huyo wa Party amekuwa akifuatilia kila...
hili nyomi halijawahi kutokea hii ndo show kubwa ya funga mwaka
Diamond si mtu mzr kbsa bado anaendelea kuwajambisha majirani
======
Usiku wa Disemba 25, 2016 wakali wa Mziki wa Bongo Fleva...
Kwa mujibu wa shabiki nguli wa alikiba ,jana aligoma kufanya show dodoma katika clab ya perugina baada ya kutomaliziwa malipo yake.
Jana kulikuwa na show ya ally kiba dodoma perugina club kwa...
Baada ya kuondoka ITV na Radio alienda Redio Dutch Welle. Huko nako amekuwa kimya sana. Maryland na maeneo jirani hatumuoni tena, sijui yuko wapi siku hizi. Mwenye info atujuze.
Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza Meneja wa Diamond Sallam Sk Mendez Akihojiwa na XXL Live pale mlimani City alisema wanapanga kupandisha gari Jukwaani na kulipiga kiberiti live watu...
MWAKILISHI wa Tanzania katika mashindano ya Miss Afrika, Julitha Kabete ameondoka leo kuelekea nchini Nigeria katika fainali ya michuano hiyo inayofanyika Novemba 26 mwaka huu huku akiwaahidi...
habari waungwana,nasikia mtangazaji mkongwe katika bongo yetu Julius Nyaisanga maarufu kama anko j ameacha kazi radio one na ITV na nimefuatilia vipindi vyake kuanzia mambo mseto na radio one...
mitaani wanasema maneno tofauti. Mara ya mwisho nasikia msanii dimond anaumwa ila sijasikia kazidiwa au anapumua vibaya. tupeni maendeleo yake coz watu washaanza kulia. Mia
December 26, 2016
Sauti ya Mmanyema ikivuma Ulaya lakini haifahamiki nyumbani Tanzania ya mwanamuziki maarufu wa Kitanzania kwa jina Saidi Tumba a.k.a Saidi Kanda aliyekuwa mpiga tumba maarufu wa...
huyu jamaa alikuwa kiboko ya mabishoo...tungo zake zilikuwa zina elimisha na pamoja na kuburudisha..
nyimbo ya starehe ilimpa mpaka miradi ya ngo za ukimwi..kwa mpunga aliochota tu kwa ajiri ya...
Tunda bhana ni msichana au video queen pekee anaye jielewa TZ nzima tofauti na video queens wengine kama Masogange, Amber Lulu, Gigy money nk
Sifa kuu inayomtofautisha Tunda na video queens...
Mwaka huu 2016 ulikuwa mwaka wa wcb wasafi kwenye burudani hapa bongo. Wasafi ni kama bongofleva sasa imekuwa kama ya kwao jinsi wanavyoitawala wanavyotaka.
Angalia kila ngoma walioachia kwao...
AJE aly kiba
PERFECT COMBO joh makini
KAJIANDAE ommy dimpoz
NITAMPATA WAPI dimond platnums
SKENDO mo music
MBOGA SABA mr blue
TOO MUCH darasa
NISAMEHE baraka the prince
KWETU rayvanny...