Waziri Nape nauye amemkabidhi bendera ya Tanzania msanii Diamond platnumz ambae kesho anaondoka kwenda nchini Gabon kutumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa michuano ya AFCON itayoanza weekend...
Huyu kijana wa hip hop nimesikiliza ngoma zake kadhaa kama makaveli, nipende, shots, kuntu na leo nimesikia ngoma yake mpya inaitwa "stay true", nakiri huyu dogo anaweza sana. Ana rhymes, lyrics...
Wakuu kama hii imetokea marekani Chriss Brown na Soulja boy watakinyunda kule dubai. Wataingiza pesa mingi. Nchini hapa promota achukue wazo. Pay for views tutapata wengi. Team diamond vs team...
Imezoeleka hadi mtu afe ndo sifa zake zinatamalaki na nyimbo zake kupigwa redioni muziki unabadilika watu wanakuja na kuondoka katika Industry ya Hip Hop ya Bongo kwa sasa Nick Mbishi & One(uno)...
Diamond platnumz ameuanza mwaka 2017 kwa kishindo baada ya Jana kushinda tuzo nchini Nigeria kama most searched personality across Africa.
Habari njema kwake tena ni kwamba weekend hii ameshinda...
Alianza Simba Diamond Platnumz, mara Rayvanny, Harmonize na Mavoko wakatia timu pande zile na week hii kaibuka wakuitwa King Kiba nae anaanza tour Ulaya na Marekani na mpaka muda huu Malaika wa...
Mchumba wa Lady Jaydee kutoka Nigeria amesema anaitwa Spice kutoka Nigeria amesema yeye ni mwanamuziki na wanampango wa kufanya mambo makubwa na ady Jaydee ambayo hakuyataja ila akasema watu...
Utadhani hili ni jambo la kawaida kwa msanii kutoka ardhi ya Tanzania akapewa heshima ya kutumbuiza uzinduzi wa mashindano makubwa kuliko yote Africa.
Diamond ameipa heshima Tanzania kwa kuwa...
Baada ya Wimbo wa Muziki kukonga mashabiki wengi hapa nchini, mashabiki wa muziki nchini Kenya wametoa kilio chao na kuomba Darassa akafanye show nchini mwao.
Msanii wa muziki nchini Kenya...
Habari Wadau Wa Jukwaa Hili,
- Leo Nimeona Niongelee Kuhusu Huyu Msanii Anayejichukulia Ni Msanii Mkubwa Sana Lakini Hawajielewi Hususani Kwenye Mambo Ya Msingi Zaidi Ya Kutanguliza Umwinyi
-...
Napenda kuwashauri uongozi wa TV1 kuhusu kipindi kimoja anachowekaa vichekesho huyu mtangazaji wenu Mc Pilipili(the clip).
Mshaurini huyu kijana aandae vichekesho vyake mwenyewe ili kukiongezea...
Mwanadada mrembo wa sura na mvuto wa hali ya juu wa kimapenzi anayetikisa bongo nzima kwa uzuri ambaye anatoka kimapenzi na rapper Young Dar es Salaam au young d aitwae Tunda hatimaye aamua...
Msanii matonya katoa wimbo mpya unaoitwa Hakijaeleweka..Nyimbo hii imenibamba na imenikumbusha matonya wa vaileth imaka ilee!This is the pure bongo flavor and i love it!
Baada ya kufanya parody ya filamu maarufu ya Afrika Kusini, Sarafina, mchekeshaji wa Kenya, Eric Omondi anarejea tena na parody ya filamu maarufu ya ‘The Gods Must Be Crazy.’ Omondi ameiita...
Wanabodi,
Napenda vya Nyumbani sanaaa... Na Ningependa watu kama kina Pilipili wawe wanafanya vitu vya level Hizi..
Kimsingi Omondi hapa kafunika sana.. Kipaji cha hali ya juu..
Hii ni...