Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Waziri Nape nauye amemkabidhi bendera ya Tanzania msanii Diamond platnumz ambae kesho anaondoka kwenda nchini Gabon kutumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa michuano ya AFCON itayoanza weekend...
20 Reactions
84 Replies
11K Views
Huyu kijana wa hip hop nimesikiliza ngoma zake kadhaa kama makaveli, nipende, shots, kuntu na leo nimesikia ngoma yake mpya inaitwa "stay true", nakiri huyu dogo anaweza sana. Ana rhymes, lyrics...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kama hii imetokea marekani Chriss Brown na Soulja boy watakinyunda kule dubai. Wataingiza pesa mingi. Nchini hapa promota achukue wazo. Pay for views tutapata wengi. Team diamond vs team...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimealikwa leo kwa kupewa kipeperushi ila nimeshangaa kuona jina la flora lilivyoandikwa sio kama zamani.
4 Reactions
57 Replies
9K Views
Nani mkali wa flow kati ya hawa A-list MCs in bongo
4 Reactions
167 Replies
21K Views
Imezoeleka hadi mtu afe ndo sifa zake zinatamalaki na nyimbo zake kupigwa redioni muziki unabadilika watu wanakuja na kuondoka katika Industry ya Hip Hop ya Bongo kwa sasa Nick Mbishi & One(uno)...
4 Reactions
28 Replies
7K Views
Roma enzi zile mr presdent,pastor na nyingine na huyu wa KIWALANI K yupi unamkubali
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Diamond platnumz ameuanza mwaka 2017 kwa kishindo baada ya Jana kushinda tuzo nchini Nigeria kama most searched personality across Africa. Habari njema kwake tena ni kwamba weekend hii ameshinda...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Alianza Simba Diamond Platnumz, mara Rayvanny, Harmonize na Mavoko wakatia timu pande zile na week hii kaibuka wakuitwa King Kiba nae anaanza tour Ulaya na Marekani na mpaka muda huu Malaika wa...
1 Reactions
51 Replies
5K Views
Mchumba wa Lady Jaydee kutoka Nigeria amesema anaitwa Spice kutoka Nigeria amesema yeye ni mwanamuziki na wanampango wa kufanya mambo makubwa na ady Jaydee ambayo hakuyataja ila akasema watu...
1 Reactions
83 Replies
15K Views
Utadhani hili ni jambo la kawaida kwa msanii kutoka ardhi ya Tanzania akapewa heshima ya kutumbuiza uzinduzi wa mashindano makubwa kuliko yote Africa. Diamond ameipa heshima Tanzania kwa kuwa...
18 Reactions
66 Replies
7K Views
Baada ya Wimbo wa Muziki kukonga mashabiki wengi hapa nchini, mashabiki wa muziki nchini Kenya wametoa kilio chao na kuomba Darassa akafanye show nchini mwao. Msanii wa muziki nchini Kenya...
9 Reactions
33 Replies
4K Views
Inasemekana kalipa mahari thanamani ya shilingi milion 4 kwa tz,
1 Reactions
103 Replies
23K Views
Habari Wadau Wa Jukwaa Hili, - Leo Nimeona Niongelee Kuhusu Huyu Msanii Anayejichukulia Ni Msanii Mkubwa Sana Lakini Hawajielewi Hususani Kwenye Mambo Ya Msingi Zaidi Ya Kutanguliza Umwinyi -...
16 Reactions
163 Replies
15K Views
Napenda kuwashauri uongozi wa TV1 kuhusu kipindi kimoja anachowekaa vichekesho huyu mtangazaji wenu Mc Pilipili(the clip). Mshaurini huyu kijana aandae vichekesho vyake mwenyewe ili kukiongezea...
6 Reactions
84 Replies
15K Views
Mwanadada mrembo wa sura na mvuto wa hali ya juu wa kimapenzi anayetikisa bongo nzima kwa uzuri ambaye anatoka kimapenzi na rapper Young Dar es Salaam au young d aitwae Tunda hatimaye aamua...
1 Reactions
45 Replies
7K Views
Msanii matonya katoa wimbo mpya unaoitwa Hakijaeleweka..Nyimbo hii imenibamba na imenikumbusha matonya wa vaileth imaka ilee!This is the pure bongo flavor and i love it!
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Baada ya kufanya parody ya filamu maarufu ya Afrika Kusini, Sarafina, mchekeshaji wa Kenya, Eric Omondi anarejea tena na parody ya filamu maarufu ya ‘The Gods Must Be Crazy.’ Omondi ameiita...
1 Reactions
73 Replies
18K Views
Wanabodi, Napenda vya Nyumbani sanaaa... Na Ningependa watu kama kina Pilipili wawe wanafanya vitu vya level Hizi.. Kimsingi Omondi hapa kafunika sana.. Kipaji cha hali ya juu.. Hii ni...
11 Reactions
131 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…