Watch "10 Richest African Musicians 2017 Forbes List" on YouTube

Naona wameanzia Dollar million 6 huku diamond yupo dollar million 4 so bado hata hao si wote kuna davido,na wengne wengi tu
 
timu Domo list mpya kabisa ya wasanii wenyewe pesa Africa sasa endeleeni kujitekenyenya pumbav zenu.

Dada hapo umewapatia haswa,wakikuuliza mbona kiba hayupo ..... waambie kiba si bwana'ko tena mlishaachana zamani sana,kwahiyo humshobokei tena.
 
Kama kwenye hiyo List Dimond hayumo ni ya uongo na tunaomba muipuuze..

Ndani ya masaa 24 tutawaletea list ya ukweli.Asanteni sana
 
Naona wameanzia Dollar million 6 huku diamond yupo dollar million 4 so bado hata hao si wote kuna davido,na wengne wengi tu
Tuliaminishwa jamaa yupo na kwa afrika mashariki ndo anaongoza bt nashangaa kumuona josee
 
watu ambao hata kwenye list hiyo tukiwekwa top trillion,au hata 1,000,000,000,000,000,000,000,000 hatumo kwanin tuna wivu? aya jilinganishe wew na diamond unamfikia kias ganiii? au una dollar ngapi,au nani anakufahamu hapa TZ tuu?
Mbona povu braaah
 
Back
Top Bottom