Diamond akabidhiwa Bendera na waziri Nape kuelekea ufunguzi wa Afcon2017

brave one

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
4,876
7,366
Waziri Nape nauye amemkabidhi bendera ya Tanzania msanii Diamond platnumz ambae kesho anaondoka kwenda nchini Gabon kutumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa michuano ya AFCON itayoanza weekend hii.

Diamond na msanii maarufu Mohombi mwenye asili ya Congo wameshirikiana kutunga official song ya michuano ya Afcon2017 na watatumbuiza nyimbo hiyo kwa Mara ya kwanza siku ya ufunguzi Jumamosi.

Diamond anaweka record ya kuwa msanii wa kwanza kutoka Africa mashariki kutumbuiza kwenye michuano hiyo tangu ianzishwe.

FB_IMG_1484134228277.jpg


Habari hii imetumika ktk JamiiLeo
 
MR. ICON DIAMOND PLATINUMZ. Hongera kwa kuwasomesha namba wanamajungu. Bendera ya taifa imekupenda na imekukaa katika hii fani ya muziki. Ila ujitahidi kupiga show vinzuri ujue lile luwanja ni likubwa linabeba watu wengi halafu ufunguzi wenyewe wa Afcon utakuwa unatazamwa na watu wengi duniani.
 
Waziri Nape nauye amemkabidhi bendera ya Tanzania msanii Diamond platnumz ambae kesho anaondoka kwenda nchini Gabon kutumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa michuano ya AFCON itayoanza weekend hii.

Diamond na msanii maarufu Mohombi mwenye asili ya Congo wameshirikiana kutunga official song ya michuano ya Afcon2017 na watatumbuiza nyimbo hiyo kwa Mara ya kwanza siku ya ufunguzi Jumamosi.

Diamond anaweka record ya kuwa msanii wa kwanza kutoka Africa mashariki kutumbuiza kwenye michuano hiyo tangu ianzishwe.

View attachment 458127
Tuwakilishe
 
Waziri Nape nauye amemkabidhi bendera ya Tanzania msanii Diamond platnumz ambae kesho anaondoka kwenda nchini Gabon kutumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa michuano ya AFCON itayoanza weekend hii.

Diamond na msanii maarufu Mohombi mwenye asili ya Congo wameshirikiana kutunga official song ya michuano ya Afcon2017 na watatumbuiza nyimbo hiyo kwa Mara ya kwanza siku ya ufunguzi Jumamosi.

Diamond anaweka record ya kuwa msanii wa kwanza kutoka Africa mashariki kutumbuiza kwenye michuano hiyo tangu ianzishwe.

View attachment 458127
Huyoooo c Joti
Naye anaenda au?
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom