Msanii matonya katoa wimbo mpya unaoitwa Hakijaeleweka..Nyimbo hii imenibamba na imenikumbusha matonya wa vaileth imaka ilee!This is the pure bongo flavor and i love it!
Ukijua kuendesha baiskeli hata ukae miaka bila kuendesha siku ukipewa lazima upige pedeli bila tabu ndicho alichofanya Matonya kwenye hii ngoma duh hii ndio bongo fleva yenyewe aiseeee.
Daah siku nyingine uwe specific kwenye tittle kwani nimejikuta naangalia vichele mfukoni mwangu nitoe nikidhani Matonya omba-omba! kumbe hawa wavaa hereni tu.
Wimbo mzuri Ila video queen kumuweka huyo mwanamke kumenifanya nione kinyaa bora ata angeweka mwanamke mwingine Ila sio huyo......leo ndo mwisho wa kuicheki video Ila Audio ntasikiliza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.